Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

Please be adequately informed that I did these postings without bias.
In addition,cover up your outrageous accusations with an even greater accusation to distract from your previous accusation.

Just ignore him. Anacheza mdundiko wa CCM. Nimefurahi sana kwa Kitila kuupotezea huu upuuzi
 
Kwa taarifa yako mpasuko umeanzia mwanza , Wenje kamshikia mtu pisto Mbele ya Katibu wenu Mkuu huyo. Sasa sijui nani atasuluhisha wakati Wenje yuko upande wa Mbowe na ndiyo maana alimdharau SLAA na kuamua kutoa pisto.

Mkuu, kumbe uwezo wako wa kuelewa na kuchambua mada ni mdogo sana! Pole sana.
 
Just ignore him. Anacheza mdundiko wa CCM. Nimefurahi sana kwa Kitila kuupotezea huu upuuzi

Mkuu Albedo nadhani ni bora akaja akasema neno japo moja tu kwamba ndiyo ama hapana. Hapa JF tumezoeza kuona viongozi wa CDM wakijitokeza na kujibu hoja ziwe za kweli ama majungu lakini hivi karibuni naona wamekuwa wakisita. Hii ina maana gani? Kwamba propaganda za CCM zimekuwa kubwa humu ndani kiasi kwamba zinaanza kuwazidi viongozi wa CDM na kupoteza ule ushujaa wa kujibu hoja? Au tuseme hivi karibuni kumekuwa na uvujaji mkubwa wa siri za CDM kiasi kwamba kinachosemwa hapa huwa kina ukweli wake na watu huwa wana data za kutosha kiasi kwamba wahusika wanachelea kujibu ili yasije yakalipuka mengine?

Kumbuka uongo ukiachwa ukaendelea unaweza kuaminiwa na watu kuwa ni ukweli.
 
Hili jukwaa linaanza kupoteza mvuto kwa habari kama hizi zisizo na mshiko wala ukweli wa kina!
 
Kwa taarifa yako mpasuko umeanzia mwanza , Wenje kamshikia mtu pisto Mbele ya Katibu wenu Mkuu huyo. Sasa sijui nani atasuluhisha wakati Wenje yuko upande wa Mbowe na ndiyo maana alimdharau SLAA na kuamua kutoa pisto.

WanaJF,
Hivi mtu unapoandika jambo usilojua ukaliandika tu kwa ushabiki huoni kuwa linakushushia hadhi? Kama kweli una nia ya kujua kwanini usiulize kilichojiri?
Nasikitishwa na hali hii ya kufanya mambo kwa ushabiki. Kikao kinachohusika ni kikao cha Kamati Tendaji mbili za wilaya ya Nyamagana na Ilemela. Mimi ndiye niliyeitisha kikao hicho. . Nimeshuhudia yaliyojiri, hakuna swala la makambi ya Mbowe na Slaa. Wala hakuna swala la wenje kutishia mtu ni taarifa iliyopikwa. Mimi nilimtoa kwenye kikao kijanaaliyesimamishwa baada ya mchakato hadi kufikia CC. Akagoma kutoka. Wala hakutishwa alitolewa na vijana.
 
WanaJF,
Hivi mtu unapoandika jambo usilojua ukaliandika tu kwa ushabiki huoni kuwa linakushushia hadhi? Kama kweli una nia ya kujua kwanini usiulize kilichojiri?
Nasikitishwa na hali hii ya kufanya mambo kwa ushabiki. Kikao kinachohusika ni kikao cha Kamati Tendaji mbili za wilaya ya Nyamagana na Ilemela. Mimi ndiye niliyeitisha kikao hicho. . Nimeshuhudia yaliyojiri, hakuna swala la makambi ya Mbowe na Slaa. Wala hakuna swala la wenje kutishia mtu ni taarifa iliyopikwa. Mimi nilimtoa kwenye kikao kijanaaliyesimamishwa baada ya mchakato hadi kufikia CC. Akagoma kutoka. Wala hakutishwa alitolewa na vijana.
Dr. Slaa...

Si lazima kujibu kila tuhuma/uzushi unaoenezwa hapa JF.....

Mengine uwe unayapuuzia tu maana daima kukaa kimya ni jibu kwa mjinga....
 
WanaJF,
Hivi mtu unapoandika jambo usilojua ukaliandika tu kwa ushabiki huoni kuwa linakushushia hadhi? Kama kweli una nia ya kujua kwanini usiulize kilichojiri?
Nasikitishwa na hali hii ya kufanya mambo kwa ushabiki. Kikao kinachohusika ni kikao cha Kamati Tendaji mbili za wilaya ya Nyamagana na Ilemela. Mimi ndiye niliyeitisha kikao hicho. . Nimeshuhudia yaliyojiri, hakuna swala la makambi ya Mbowe na Slaa. Wala hakuna swala la wenje kutishia mtu ni taarifa iliyopikwa. Mimi nilimtoa kwenye kikao kijanaaliyesimamishwa baada ya mchakato hadi kufikia CC. Akagoma kutoka. Wala hakutishwa alitolewa na vijana.

afadhali dr. Slaa umemjibu. Kudos rais wangu
 
Dr. Slaa...

Si lazima kujibu kila tuhuma/uzushi unaoenezwa hapa JF.....

Mengine uwe unayapuuzia tu maana daima kukaa kimya ni jibu kwa mjinga....
Uko sahihi mkuu, Kitila Mkumbo alikuwa hapa online na akaamuwa kuipotezea tu hii thread nadhani Dr Slaa anapaswa kuchukuwa huu ushauri wako makini. kudos!
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo
Wanjamvi, tuna bahati ya kuwa na ukumbi na kukutana na baadhi ya viongozi, watu wenye uzoefu mbali mbali, taaluma n.k. Ni dhima yetu kuhakikishia tunaitumia fursa hii kujadiliana mambo yanayolisaidia taifa ikiwa ni pamoja na ukuaji wa demokrasia kwa ujumla.

Ukisoma mada utaona ina mapungufu. Kitila kuwepo Uingereza tarehe hizo inaweza au kutoweza kuwa kweli.
Mtoa mada ameandika ili kujenga hoja yake kwa mashiko lakini tarehe peke yake hazijengi hoja.

Nilitaraji angetueleza aliyoyasema Kitila ''miongoni mwa mambo aliyotueleza..' yangekuwa ima ya mkutano, kikao au mkusanyiko fulani rasimi au usio rasimi na hata mahali na muda. Mtoa mada hajasema hayo! Ameweka tarehe kama hoja.

Nikikutana na Kitila Mwenge halafu nikaweka uzi kuwa 'amesema' sidhani kuwa tutakuwa tunawatendea watu haki.
Ikifika hapo kila atakayepeana mkono na Dr au Nape au Kitila anaweza kuzushiwa uzi tu kwahiyana au hata kwa heri.

Mtoa mada angeileta kama 'analysis' kwa kutumia maneno hayo bila kumnukuu mtu kusingekuwa na tatizo.
Tatizo ni pale alipomnukuu bila kutuwekea vithibitisho vingine halafu anataka umma uamini kile anachosema.

Tujifunze kuwa na Source, simple research, presentation skills, independent analysis n.k. Tusifanye ukumbi kama kituo cha majungu. Hata ukweli usioweza kuwakilishwa vizuri ni majungu tu.

Kwa maoni yangu, ninawaomba wote waliotajwa wasijibu chochote. Hii itasaidia sana katika kulinda heshima ya jamvi na jamii kwa ujumla. Ninasema hivi nikiamini uhuru wa kujieleza, lakini kila uhuru una mipaka yake.

Kujibiwa tuhuma kama hizi kuta encourage watu kuzusha mambo yasiyo na maana kwasababu tu watu fulani wapo hapa Jamvini.
Si ajabu siku nitakaposalimiana na Halima Mdee basi ikawekwa tarehe, saa na mahali halafu ikawekwa habari ya uchafu.

Tutumie fursa hizi kubadilishana mawazo, kupingana, kukubaliana kwa mustakabali wa taifa. We must have health debate based on constructive criticism. Majungu ni silaha muhimu sana kwa wasiowerevu.
 
Kwa jinsi ninavyofahamu uadilifu wa Kitila, nitashangaa sana kama aliweza kuwaeleza ninyi hizo siri za ndani za chama. Na kama amefanya hivyo basi inawezekana aliwaamini watu wasio waaminifu, wasio na kifua cha kutunza mambo, ambao mwisho wa siku wameamua kuweka habari hizo mtandaoni kama hivi. Ni aibu sana kujua kwamba habari za chama zimevuja kupitia kwa mtu fulani ambaye anaheshima kubwa ndani ya chama. Tutayaongea haya kwenye vikao vyetu.

mtu mkubwa kama huyo? chama kipo kwenye mapambano arumeru na yeye akibomoe kiasi hicho? mmh! labda iwe steven wassira alifanyiwa plastic surgery ndiye alikuja huko mkadhani ni kitila! voice chord ilisikika ni kitila kweli? hakusingizia kuwa anamafua ili msishtuke?

 
WanaJF,
Hivi mtu unapoandika jambo usilojua ukaliandika tu kwa ushabiki huoni kuwalinakushushia hadhi? Kama kweli una nia yakujua kwanini usiulize kilichojiri?
Nasikitishwa na hali hii ya kufanya mambo kwa ushabiki. Kikao kinachohusika nikikao cha Kamati Tendaji mbili za wilaya ya Nyamagana na Ilemela. Mimi ndiyeniliyeitisha kikao hicho. . Nimeshuhudia yaliyojiri, hakuna swala la makambi yaMbowe na Slaa. Wala hakuna swala la wenje kutishia mtu ni taarifa iliyopikwa.Mimi nilimtoa kwenye kikao kijanaaliyesimamishwa baada ya mchakato hadi kufikiaCC. Akagoma kutoka. Wala hakutishwa alitolewa na vijana.

Dear Mr. President

Najua utakuwa umesoma saikolojia na hivyo kujua jamii nzima ya kitanzania ,ikoje, inasemaje, inawaza nini nawapi

Juzi nilipata taarifa mahali fulani watu wamegoma mchungaji wao kutunzafedha...and I know the guy is clean!!! very clean...ILA haaminiwi!!!

Tabia ya watanzania kusema lolote, kutokuamini, ushabiki, n.k ni TABIA ambazozimeletwa na CCM, WATANZANIA WANAPITIA KWENYE UCHUNGU MWINGI SANA ambao wakuweza kuwaponya ni viongozi hao hao

Watanzania wameona wakidhulumiwa kupitia IPTL, madini, Richmond, EPA n.k.......vidondahivi (TRUST ME) viko tu na bado havijaponywa....watanzania hawa ndio maanahawajishughulishi na siasa, hawapigi kura, maana wameumizwa

Imefikia watanzania kujichukulia sheria mkononi...kwa sababu mahakama naserikali hazifanyi lolote lile

Katika waliochukua hatua wenyewe wewe ni wa kwanza, ukatoa list of shame, nakweli ilivuma na ukaendelea kusema hata leo hii!!

Lakini hiii tabia haikuishia kwako, imeenda tena na tena na imeenda mbali zaidina mpaka makanisani na misikitini WATU hawaaminiani! Hata wewe sasa wenginehawakuamini...sio kwa sababu ni mwizi ,IT IS LIKE THAT...ITS IS NATURAL.we arein that situation now!!!

ukinunua kigari hata kama ni chamkopo..watasema fisadi, ukijenga nyumba watakuita hivyo hivyo..JAMII YETUINAUMWA

Lakini unajua tatizo limekuzwa wapi.???WALE TULIOWAITA MAFISADI KWA MIAKA 7SASA BADO WANATEMBEA KWA VING'ORA NA WANAPIGIWA SALUTI....ile hamu na tamaa yawatanzania ya kuona ukombozi imefifia sana na tabia ya kutoaminiana itakuwazaidi

Hii tabia ikikua zaidi, una punguza uzalendo kwani kila mtu atakuwa anawaza yyna familia, wakipunguza uzalendo rate ya kupiga kura nayo inapunguasana,,,,,rate hii ikipungua inawapa mwanya watawala wafanye lolotelile.....THEN ONE DAY SOMEWHERE SOMEHOW BIAFRA inaweza kutokea...Biafraikitokea mambo ya vyama automatically yanakuwa hayana nguvu

Slaa muda wa watanzania kuvumilia huu uchungu umeisha..na wewe maadamuulijipambanua, uliaminiwa , na unaitwa rais hata leo hii hivyo jamiiinamatumaini..japo yanaanza kupotea sana

Slaa umekuwa mpole mno..Morgan Tshangirai hayuko kama wewe, Raila hayuko kamawewe

Umekuwa mtu wa compromisation mno...YAANI ILE NGUVU YAKO NA SPEED YAKO BADOHAITOSHI SANAKUWASUKUMA CCM nje ya serikali!!

Na unaweza siyo kuwa hauwezi nakusahuri hivi

1. Be genuine
2. There is no non violent revolution.....sisemi upigane vita, ila msimamo wakoujulikane wazi...be radical !!
3. Acha ukaribu na CCM na is not time to exercise any friendship au humanitynaCCM , swala la kushikana mkono na JK ulimpa kichwa that was wrong..ningejuamapema ningekuzuia..."kwa nini haukuniuliza"??

4. Be you

5. Tengeneza mazingira ya kuwa rais....kuwa karibu na makundi yote na epukakabisa kanisa au msikiti kujionyesha unakupenda, au kukutetea kwa namnayeyote..Be the symbol of the father of nation bila ubaguzi

6. Acha mabifu/uadui na watu fulani fulani wa kwenye chama chako, kwani ndiojeshi lako

7. Know and try to understand the vision of others, that will simplify yourwork of seeling urself as rais

8. Learn from others , i.e from great leaders and from history of othernationS..kwa mfano hali ninayoielezea hapo juu inashabihiana kabisa na kipindicha zile scandal za watergate

9. Calm down, usijitetee sana,jamii itakutetea, mshauri mama awe nyuma yako na asionekane mbele yako

10. Dont trust every ushauri weighout its pros and cons, kwa mfano kuna ushauriunaweza pewa na mshabiki wako fulani ambao hauna reality ila katoakukupamoyo...dont take that!!!

Its enough to say kwa lolote utakaloaambiwa, kuzushiwa , kutukanwa anything nimwendelezo wa yale yale waliyotukanwa akina Kikwete, Lowassa na CCM yote....


Chukua mfano mmoja, ikiwa the great leaders like Nyerere,washington , akina Mandela wanasemwa, wanazushiwa, wanakuwa mocked , isiwe wewe??


Au Ikiwa watu waliwapinga kwa nguvu akina Muhammada naYesu isiwe wewe??

Its life enjoy it , RELAX, move ahead people need you…..Balakasema siyo kila kitu ujibu..

NDIYO kama tungemwona Kikwete humu anahangaika kujibu tuhuma za waberoya utamwonaje si utaona hana kazi??

Wewe ni mwali sasa uonekane kwa matukio ya kuvuta hisia na kupanda mbegu ya ukombozi kwa watu, Tukuone kwenye maandamano ya kudai haki, siyo unawaambia watu humu hawana aibu wakati wanatumia ID za uongo!! they have nothing to loose!


tunataka tuje segerea kama polisi wakikumata!!Ndiyo tunataka unapoandikwa kwenye gazeti unakuwa umefanya tukio ambalo AUTOMATICALLY unakuwa umepiga kampeni ya 2015 na kupunguza gharama za uchaguzi!!

Huu ni ushauri wa mtu anayekupenda sana, ila ataonekanaanakuchukia sana kwani ukienda (nionavyo mimi) kinyume na ninavyodhania nisahihi …NITASEMA TU..

Chukua hii misemo:


I have yet to find a man, however exaltedhis station, who did not do better work and put forth greater effort under aspirit of approval than under a spirit of criticism."

- Charles Schwab

If you have no critics you‘ll likely have no success -Malcolm X"

Never try to teach a pig to sing: itwastes your time and it annoys the pig."

- Paul Dickson
 
Kama nafasi ya kugombea urasi inagombewa ndani ya chama, then hii habari haina mashiko hata kidogo.

Siyo kweli kwamba mkiwa chama kimoja basi mnakubaliana kila kitu, na pia kama wanagombea, kuna uwezekano kukawa na mgawanyiko wa makundi yenye kusapoti mgombea tofauti tofauti, lakini hilo halina maana a "mpasuko"

Unless kama kuna hatari ya mmojawapo kujiondoa kwenye chama nk.
 
Kama nafasi ya kugombea urasi inagombewa ndani ya chama, then hii habari haina mashiko hata kidogo.

Siyo kweli kwamba mkiwa chama kimoja basi mnakubaliana kila kitu, na pia kama wanagombea, kuna uwezekano kukawa na mgawanyiko wa makundi yenye kusapoti mgombea tofauti tofauti, lakini hilo halina maana a "mpasuko"

Unless kama kuna hatari ya mmojawapo kujiondoa kwenye chama nk.

Mbowe for presidency..slaa kapumzike
 
Wewe una lako jambo, mbona unaowataja wamekaa kimya? au unataka kuwagawa wanachama? umeshindwa na kama umetumwa na magamba waambie huku hatutaki umbeya+uongo. ho to hell..
 
Kweli tukubali kabisa doctor Slaa ni kiongozi mzuri, tatizo ni vigumu kukubalika miongoni mwa waislam, especially wale layman ambao wanaswallow kila kitu kutoka kwa mashehe wao. Kama vile ingekuwa vigumu mtu ambaye alishawahi kuwa shehe kukubalika miongoni mwa wakristo, tena wale layman kabisa ambao mara nyingi huwa hawangalii uwezo wa mtu wanaangalia dini yake. Kwa uhakika doctor Slaa kwa nchi kama Zambia angefaa sana, kwani wao walishawahi tangaza kuwa ni taifa na kikristo. Mimi ni mkristo lakini kwa structure ya iman za dini na siasa za watanzania kumsimamisha tena Slaa tujiandae kupoteza kura nyingi za Waislam.Ndio maana mapema kabisa mwalimu alitangaza kuwa Tanzania ni secular state. Simkubali sana Mbowe ila nina imani Dr Slaa hawezi kuwa rais wa Tanzania. Ni kama vile anaishi kwenye nyumba ya vioo, waslam wanatupa mawe tu na wale wengine CCM magumashi kama Wasirra. Anajitahidi sana kupanchi lakini hiki kitu si chepesi kwa mtu mwenye upeo mkubwa,na ni kigumu sana kwa layman kumwelewa. Bora hata Kitila huyo huyo ajitokeze na kwa siasa za Tanzania,ukimsimamisha mtu kama Slaa kura zitaibiwa sana na zikiibiwa CCM watakwambia kura zilitosha kwani watakuwa na backup kubwa ya waislam.
 
hawa hawafai na hawana faida kabisa wana chembechembe za ufisadi. Nivema upinzani tukampa sasa very bright prof Abraham lipumba. Huyu hakika na bila shaka ataifikisha nchi tunapo hitaji. Watanzania tusifanye makosa kabisa chuki binafsi muweke pembeni. Prof amekuwa makini uvumilivu, hateteleki hata katika uongozi wake ktk chama anachokiongoza ameonekana kuaminiwa na si mtu wa kuyumbishwa anafaa watanzania kwanini tuache nchi zingine zimtumie, hivi karibuni anaelekea hisipania, kujadili hali iliyoikumba mashariki yakati ikijumuisha na afrika kaskazi ktk chumi wa nchi zao zulizoyumbishwa vuguvugu la mabadiliko ya kiuongoz
 
Back
Top Bottom