Mkuu nimekupatanimekuelewa
1. Nataka Slaa awe kama Morgan anayeonekanamachoni pa watu! na siyo Morgan aliyejificha, definitely I would not haveadvised Slaa to be like the Morgan Traitor.....
2. Umenichekesha kuona kuwa unawachukia wazungu kiasi hicho.....ila kwademokrasia wako mbali sanaingawa walitutawala na wanaendelea kututawala. Ila in real sense SITAKUJAKUWALAUMU wazungu kuja kututawala!!! maana hata sisi tungekuwa wazungutungewatawala wao, IT IS NATURAL. Ni kama swala anagoma asiliwe na simba wakati yumo mbugani This wasunavoidable....zile effects za UKOLONI WA KUZIONDOA NI SISI WENYEWE....kamaenzi hizo machifu waliuza ardhi...na miaka 60 baadae bado tunauza ardhi kwa haohao wazungu, what does that mean??
3. We are the one who make ourselves inferior, nchi za ASIAhazikutawaliwa?? what made them to compete with Europein almost everything? tell me...Tangu tumepata uhuru hatujajua athari za ukoloni?
1. Nani anapaswa abadilishe mitaala ya shule?
2. Go to judiciary system is totally british
3. Go to our bunge session and style..is totally British
4. Who encourages modernisation of western?? we are
British or Americans have nothing to do with our stupidity.....they did that because of survival of fittest…..todate we can not compete with them in almosteverything, why are we blaming them??
Does whites force you to spend time in Facebook, to watch CSI and 24 series??does whites forcing you to live and die with Premier league??
Tell me, what is that we are doing that whites are forcing us to do?? Wait a minute..does whites force us to beg them, to ask for aids..because we can not feed ourselves!!!! Just imagine the way we are multiplying and we can not even get our needs…yet this is muzungu's faults??
You know what Mr. Ben I can feel your anger and hatred towards these people but wont help!
WE MISSED LEADERS who knows our background, who can actually preserve our culture and history, we missed people who can actually let AFRICAN be african, like chinese, japanese etc.
We are the ones to be blamed we did not counter attacked the situation...we failed, we are failing and we may never recover ...AFRICANS IS NO MORE... with globalisation and science and technology AFRICA has collapsed
we were not ready for free market or globalisation, we are not READY even now!!!
WHAT SHOULD BE DONE IS TO CLOSE BOUNDARIES.......NEVER CONTACT WITH OTHER COUNTRIES..let dig, produce and eat what we have THAT IS THE ONLY SOLUTION APART FROM THAT WE WILL CONTINUE HATING WHITES FOR NO CAUSE...huwezi ukaona unakufa,chakula kiko africa ukae tu..kwa kuwa ukienda utaonekana m'baya
South africans are stronger today because once their boundaries was closed due to apartheid , they survived inspite of all difficulties of being excommunicated from other worlds
Ben......Slaa and you has to rise up...NO EXCUSE if we need to survive we need to learn from who survived....the problem is that we have not reached the industrial revolution...we have not even reached the 19th century...we are somewhere that our history will mock at us...WE ARE IN THE AGES WHERE OUR COUNTRY IS ACTUALLY A DUSTBIN...OF EVERY TECHNOLOGY AND LIFE STYLE FROM EUROPE ..oh! my God we can not blame white..Can we??
Sure,We can't blame whites!
Mkuu Wabe,tupo on the same page kwa yote uliyosema but my point ilikuwa juu ya kuvunja minyororo ya utumwa.Hayo uliyoandika ndiyo ambayo tunataka sasa tuyatekeleze kwa hiyo kama Slaa atafanana na Morgan Tsavangiraia tutaendekeza ukoloni,tutakuwa tunabadilisha regime tu na kuwasaidia zaidi mabeberu.Tutakuwa tunatekelezana kuisadia foreign policy of the United States(Regime change policy)
Siwachukii wazungu,hata shetani mwenyewe na ufedhuli wake simchukii bali matendo yao.Sasa kama nachukia matendo ya kibeberu na ofcourse wanasaidiwa na incompetent leaders kutoka nchi zetu,je sina haki ya kuwachukia vibaraka wanaotaka kutufanya tuzidi kutawaliwa kifikra?
Vijana sasa hivi hawafanyi kazi zaidi ya ku-bow down mbele ya cultural imperialism.Ligi kuu za Ulaya ndiyo siasa kwao,ndiyo kazi ndiyo entertainment n.k. Ofcourse hili taifa linahitaji uponyaji na uponyaji huu unahitaji inspiration kutoka kwa leaders wanaojua tunahitaji nini,historia yetu ikoje na tunataka kwenda wapi.mfumo wa uongozi tangu tupate uhuru umekuwa wa kuendekeza ukoloni mambo leo kifikra,hapa ndipo ninapotaka sasa tufanye radical change(hapa nafurahi kuona hii spirit sasa imeanza kuingia damuni mwa baadhi ya viongozi ndani ya chama,signature yangu ya JF ilikuwa inasema Movement For Radical change na jana kwenye fundraising ya Arusha theme ilikuwa Movement for Change,M4C).
Sure,we need to rise up,we need to inspire a radical departure from mental slavery.Taifa linahitaji healing lakini si kuendekeza ukibaraka.Thanks kwa ku-admit kwamba Moragan the Traitor hawezi kuwa role model au figure ya kufanyia reference kwenye transformation tunayoitamani
Come on Wabe! Facebook is a social network.Tunakataa ubeberu lakini technology inayoletwa na mabeberu hatuwezi kuikataa pengine tukiweza kubadili fikra za watu wetu tutaweza kuitumia vizuri na kuigeuza against their ambitions.Facebook ndiyo ilitumika kuleta radical change kule Egypt na kumuondoa kibaraka wa Mabeberu dikteta Hosni Mubaraka.Facebook ilikuwa tool muhimu iliyotumika na vijana wa Tunisia na Misri kuwatia matumbo joto mabeberu kwa kujua hii revolution inaweka Camp David Accord at stake
Kutokana na fedheha iliyowakumba wakaamua kuleta balance katika ile region kwa kutumia force Libya na sasa Syria.The U.S./NATO bombing of Libya has clarified where imperialism stands regarding that country. The transnational exploiters are determined to totally seize hold of the richest oil reserves in Africa and cut off the billions of dollars that Libya was contributing toward the development of much poorer African countries.
Syria is also targeted by imperialism -- because of its heroic defense of Palestinian resistance over decades and its refusal to recognize the Zionist occupation. Syria's assistance to Hezbollah in their struggle to end the Israeli occupation of Lebanon and their strategic alliance with Iran cannot be forgotten
Comrade Waberoya,sasa hivi mabeberu wanatumia nguvu na technolojia yao + unpatriotic spirit ya viongozi wetu both kwenye ruling side na opposition(prospective government/regime) kuhakikisha maslahi yao hayathiriki.Ningekuwa na uwezo wa kuja hidden agenda za viongozi hawa na tulio nao hapa Tanzania nisingeona aibu ku-champion assasination kwa Traitor hawa kama ningeshindwa kuwabadili kifikra ili waweze ku-fit katika vision kwa maslahi mapana ya watanzania na Afrika kwa ujumla.
Wabe, mababu zetu waliokuwa wanamapinduzi wa kweli walijitoa sadaka kwa kushirikiana na intellectuals na kweli waliwashikisha adabu wakoloni wale. Comrade Osagyefo(Kwame Nkrumah) spent time in England and discovered its weak economy following World War II, then planned a political strategy with an economic offensive of boycotts, strikes, and demonstrations, "positive action," to cripple England and win independence for Ghana on 6th March 1957. Today America's economy is weak and in the spirit of Osagyefo Kwame Nkrumah, we are calling on Africans youths and true leadrs to demonstrate, strike, and boycott, and other oggresive measure according to the current situation in solidarity with resistance, to win total independence for Africa. Ni lazima tuanze na viongozi wetu both in the ruling party na hata upinzani incase kuwae na dalili za ukibaraka
Kama tunashindwa hivi kwa kisingizio cha demokrasia ya magharibi basi tuifanyie modification otherwise Africa itashuhudia rebellion against our puppet leaders.Viongozi walioko madarakani Tanzania na Afrika na hata vyama vya upinzani washuhudie maasi,wale comrades wanaoelewa hili tutaungana mkono.Waberoya najua wewe ni mmojawapo
Asia haikufikia hapa ilipo kwa sababu viongozi wao wao wa kwanza waliweka misingi ya kukataa ubeberu.Mahatma Gandhi na Shri.Jawahlal Nehru heroically waliongoza India kukataa ubeberu na ndiyo maana ukisoma foreign policy ya India (Diplomatic relation kati ya India vs United states ilikuwa zig zag untill 2000's). India leo huwezi kufanya investment ukamiliki stake kwenye company more than 49% kama foreigner.India wana policy,wanajitahidi ku-preseve culture yao ambayo inawa-define na inafiti katika ambition na interest zao kama Taifa.Halikadhalika China
China,Comrade Mao Tse Tung aliindoa China kwenye janga la kuwa victim wa ubeberu.Wale traitors aliowapindua walikimbilia Taiwan (alifanya kosa kuwaacha hai Hadi leo US anaitumia Taiwan kuelekeza detterence millitary kwa china).Chairman Mao Tse tung alipoanza na the great Leap,alinyonga watu wengi (Ofcourse Traitors deserves nothing but DEATH) lakini China Imesimama na inaweza kuvunja rekodi ya Soviet kuwa super power ndani ya kipindi cha miaka 70.Ooops,nisije nikatoka nje ya mada sana sasa....!
Kazi iliyoko mbele yetu ni tete kama tunataka kuliponyesha Taifa hili.
Kwa kuanzia tu kama wanasiasa,kama intellectuals tunaweza kuanza na utekelezaji wa maudhui ya hapa kwenye signature yangu.