Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

Mkuu unapata faida gani kuleta umbeya hapa jamvini.Kwanini usijishughulishe na mambo ya chama chako unahangaika na CDM? Kwanini hujiulizi chama chako kinakataliwa kila mahali unabaki kuhangaika na CDM? Kwanini huoni chama chako kinashindwa Arumeru kwa siasa za maji taka unahangaika na CDM? Mkuu unalipwa shilingi ngapi kuleta ushenzi kama huu hapa jamvini?

kwani kati ya ccm na cdm ipi inakataliwa na wananchi tukirejea uchaguzi wa mwisho kufanyika kabla ya huu wa arumeru ambao sitaki kuwa mtabiri kama nyie mliotabiri kama mnavyotabiri sasa kwenye uchaguzi wa mwisho(igunga) na mwisho wa siku mkaondoka igunga bila kuaga?
 
Haya haya nimeingia kati ya mjadala mzito sana ingawaje niukuta kati nitachangia niliyaona, experienced na mtazamo wangu. Kama kweli ndani ya Chadema kuna mpasuko baina ya Dr.Slaa na Mbowe nani atasimama mwaka 2015, basi hakika labda nizungumzie mapungufu yao kwa wakati huu.. Nasikitika tu kusema none of the above ataweza kutupa Ushindi isipokuwa tu kama yafuatayo yataweza kuepukwa.

1. Mbowe ni mwanasiasa mzuri sana pengine kuwashindwa wengi sana ndani ya CDM na pengine kiongozi mzuri wa chama ktk kujitolea, kufuatilia na kadhalika lakini hana mvuto mkubwa wa urais...He may make a good PM lakini hawezi kushinda uchaguzi kutokana na imani za watu wengi juu yake. Mbowe ameishi maisha ya kifahari na anajipenda ni vigumu sana kwa kiongozi kama mbowe kugombania maslahi ya maskini na wakamkubali kwa sababu siku zote mlalahoi atategemea kumwona mtu wa aina yake, aliyepitia machungu kama yake ndiye akigombea haki yao na sio mtu kutoka kundi jingine.. Hili ndilo tatizo kubwa la Mbowe.

2. Dr.Slaa kwa upande mwingine anakubalika sana na wananchi lakini pia jina lake limeshachafuliwa. Japookuwa ni siasa za majitaka, hizi tuhuma zinazojitokeza zisipopata majibu zitaendelea kuwajenga wananchi imani ya kuwa Dr.Slaa ni mtu wa aina gani. Mtazameni Lipumba huyu hana mke ila ana hawala tu tena wa Kichagga lakini hutasikia watu wakizungumzia hilo kwa sababu Lipumba amebeba ngao kubwa ya CV yake ktk uchumi na watu wengi wanaweza kumfanisha nao hivyo kumpiga madongo mtu kama huyu wanaona ni kumwonea wivu lakini sio Dr.Slaa...

Kama walivyosema waliotangulia ni muhimu kwa Dr.Slaa kuwa muwazi na kujitangaza sana, kujitenga na kanisa, kuondoa dhana aloijenga kwa waislaam wengi kwamba mashule yote na Hospitali ataziweka chini ya kanisa na kutoa huduma zote bure.. Maneno kama haya yanaposambaa kwa Waislaam yanawatisha zaidi na labda niseme tu kwamba ndio maneno yaliyosambaa ktk jumuiya ya waislaam - plse mark my word!.

Mwisho nasema hivi CDM wataweza tu kushinda uchaguzi wa mwaka 2015 ikiwa kutakuwepo uwezekano wa kuunda nguvu moja baina ya Dr.Slaa, Lipumba, Hamad Rashid, Mbowe, Zitto na wengineo..

Mkuu,
Kuna mantiki kubwa sana kwa watu kuunda nguvu ya pamoja,lakini hilo litawzekana tu if and only if CDM watatambua kuwa kura za wakristo peke yake hazitoshi kumuingiza mgombea wao ikul,(whoever will be). Mwaka 2010 CDM walipata support ya wananchi wengi ambao hawakuwa biased na dini dhidi ya wagombea wa CDM,still hawakushinda,think about 2015 ambapo wananchi wengi wameshaitazama CDM kwa jichom la tatu,likiwemo hili la udini. To be honest kuna bias kubwa sana ya kidini ndani ya CDM. And it is easy to see this,lakini viongozi wakuu wa chama hiki will not dare to address this issue openly kwa sababu hawana hoja madhubuti ya kukanusha. May be pia kwa sababu wana back-up kubwa ya maaskofu,ambao wameshindwa kuficha hisia zao kuwa wanai-support CDM kwa 100%. But believe me,hawa hawa maaskofu ndio watakaoibomoa CDM siku za usoni. BTW,sijawahi kusikia au kusoma popote ambapo viongozi wa CDM wakikanusha au kufafanua suala hili kwa hoja pana,zaidi ya kujibu kjuujuu tu.,maswali magumu,majibu mepesi.!
 
Ushauri wangu kwa Slaa aanzishe chama chake kwani kushindana na mbowe hataweza kwa kuwa kwanza hana hela na pia fitna za mbowe haziwezi,ni watu wawili tu ndani ya chadema wanaomuweza mbowe tena mmoja wapo kwa sasa hayupo hai tena,watu hao ni zitto kabwe na marehemu Chacha,Hawa ndio watu pekee waliowahi kumtingisha mbowe na akatingishika haswa,Slaa hatamuweza.
 
Ushauri wangu kwa Slaa aanzishe chama chake kwani kushindana na mbowe hataweza kwa kuwa kwanza hana hela na pia fitna za mbowe haziwezi,ni watu wawili tu ndani ya chadema wanaomuweza mbowe tena mmoja wapo kwa sasa hayupo hai tena,watu hao ni zitto kabwe na marehemu Chacha,Hawa ndio watu pekee waliowahi kumtingisha mbowe na akatingishika haswa,Slaa hatamuweza.

Hii biashara ya kuanzisha vyama naona inalipa sana Bongo!! Sasa kila mtu akianzisha Chama cha siasa hii nchi itakuwaje?
 
Mkuu nimekupatanimekuelewa

1. Nataka Slaa awe kama Morgan anayeonekanamachoni pa watu! na siyo Morgan aliyejificha, definitely I would not haveadvised Slaa to be like the Morgan Traitor.....

2. Umenichekesha kuona kuwa unawachukia wazungu kiasi hicho.....ila kwademokrasia wako mbali sanaingawa walitutawala na wanaendelea kututawala. Ila in real sense SITAKUJAKUWALAUMU wazungu kuja kututawala!!! maana hata sisi tungekuwa wazungutungewatawala wao, IT IS NATURAL. Ni kama swala anagoma asiliwe na simba wakati yumo mbugani This wasunavoidable....zile effects za UKOLONI WA KUZIONDOA NI SISI WENYEWE....kamaenzi hizo machifu waliuza ardhi...na miaka 60 baadae bado tunauza ardhi kwa haohao wazungu, what does that mean??

3. We are the one who make ourselves inferior, nchi za ASIAhazikutawaliwa?? what made them to compete with Europein almost everything? tell me...Tangu tumepata uhuru hatujajua athari za ukoloni?

1. Nani anapaswa abadilishe mitaala ya shule?
2. Go to judiciary system is totally british
3. Go to our bunge session and style..is totally British
4. Who encourages modernisation of western?? we are

British or Americans have nothing to do with our stupidity.....they did that because of survival of fittest…..todate we can not compete with them in almosteverything, why are we blaming them??

Does whites force you to spend time in Facebook, to watch CSI and 24 series??does whites forcing you to live and die with Premier league??

Tell me, what is that we are doing that whites are forcing us to do?? Wait a minute..does whites force us to beg them, to ask for aids..because we can not feed ourselves!!!! Just imagine the way we are multiplying and we can not even get our needs…yet this is muzungu's faults??

You know what Mr. Ben I can feel your anger and hatred towards these people but wont help!

WE MISSED LEADERS who knows our background, who can actually preserve our culture and history, we missed people who can actually let AFRICAN be african, like chinese, japanese etc.

We are the ones to be blamed we did not counter attacked the situation...we failed, we are failing and we may never recover ...AFRICANS IS NO MORE... with globalisation and science and technology AFRICA has collapsed

we were not ready for free market or globalisation, we are not READY even now!!!

WHAT SHOULD BE DONE IS TO CLOSE BOUNDARIES.......NEVER CONTACT WITH OTHER COUNTRIES..let dig, produce and eat what we have THAT IS THE ONLY SOLUTION APART FROM THAT WE WILL CONTINUE HATING WHITES FOR NO CAUSE...huwezi ukaona unakufa,chakula kiko africa ukae tu..kwa kuwa ukienda utaonekana m'baya




South africans are stronger today because once their boundaries was closed due to apartheid , they survived inspite of all difficulties of being excommunicated from other worlds

Ben......Slaa and you has to rise up...NO EXCUSE if we need to survive we need to learn from who survived....the problem is that we have not reached the industrial revolution...we have not even reached the 19th century...we are somewhere that our history will mock at us...WE ARE IN THE AGES WHERE OUR COUNTRY IS ACTUALLY A DUSTBIN...OF EVERY TECHNOLOGY AND LIFE STYLE FROM EUROPE ..oh! my God we can not blame white..Can we??

Sure,We can't blame whites!

Mkuu Wabe,tupo on the same page kwa yote uliyosema but my point ilikuwa juu ya kuvunja minyororo ya utumwa.Hayo uliyoandika ndiyo ambayo tunataka sasa tuyatekeleze kwa hiyo kama Slaa atafanana na Morgan Tsavangiraia tutaendekeza ukoloni,tutakuwa tunabadilisha regime tu na kuwasaidia zaidi mabeberu.Tutakuwa tunatekelezana kuisadia foreign policy of the United States(Regime change policy)

Siwachukii wazungu,hata shetani mwenyewe na ufedhuli wake simchukii bali matendo yao.Sasa kama nachukia matendo ya kibeberu na ofcourse wanasaidiwa na incompetent leaders kutoka nchi zetu,je sina haki ya kuwachukia vibaraka wanaotaka kutufanya tuzidi kutawaliwa kifikra?

Vijana sasa hivi hawafanyi kazi zaidi ya ku-bow down mbele ya cultural imperialism.Ligi kuu za Ulaya ndiyo siasa kwao,ndiyo kazi ndiyo entertainment n.k. Ofcourse hili taifa linahitaji uponyaji na uponyaji huu unahitaji inspiration kutoka kwa leaders wanaojua tunahitaji nini,historia yetu ikoje na tunataka kwenda wapi.mfumo wa uongozi tangu tupate uhuru umekuwa wa kuendekeza ukoloni mambo leo kifikra,hapa ndipo ninapotaka sasa tufanye radical change(hapa nafurahi kuona hii spirit sasa imeanza kuingia damuni mwa baadhi ya viongozi ndani ya chama,signature yangu ya JF ilikuwa inasema Movement For Radical change na jana kwenye fundraising ya Arusha theme ilikuwa Movement for Change,M4C).

Sure,we need to rise up,we need to inspire a radical departure from mental slavery.Taifa linahitaji healing lakini si kuendekeza ukibaraka.Thanks kwa ku-admit kwamba Moragan the Traitor hawezi kuwa role model au figure ya kufanyia reference kwenye transformation tunayoitamani

Come on Wabe! Facebook is a social network.Tunakataa ubeberu lakini technology inayoletwa na mabeberu hatuwezi kuikataa pengine tukiweza kubadili fikra za watu wetu tutaweza kuitumia vizuri na kuigeuza against their ambitions.Facebook ndiyo ilitumika kuleta radical change kule Egypt na kumuondoa kibaraka wa Mabeberu dikteta Hosni Mubaraka.Facebook ilikuwa tool muhimu iliyotumika na vijana wa Tunisia na Misri kuwatia matumbo joto mabeberu kwa kujua hii revolution inaweka Camp David Accord at stake

Kutokana na fedheha iliyowakumba wakaamua kuleta balance katika ile region kwa kutumia force Libya na sasa Syria.The U.S./NATO bombing of Libya has clarified where imperialism stands regarding that country. The transnational exploiters are determined to totally seize hold of the richest oil reserves in Africa and cut off the billions of dollars that Libya was contributing toward the development of much poorer African countries.

Syria is also targeted by imperialism -- because of its heroic defense of Palestinian resistance over decades and its refusal to recognize the Zionist occupation. Syria's assistance to Hezbollah in their struggle to end the Israeli occupation of Lebanon and their strategic alliance with Iran cannot be forgotten

Comrade Waberoya,sasa hivi mabeberu wanatumia nguvu na technolojia yao + unpatriotic spirit ya viongozi wetu both kwenye ruling side na opposition(prospective government/regime) kuhakikisha maslahi yao hayathiriki.Ningekuwa na uwezo wa kuja hidden agenda za viongozi hawa na tulio nao hapa Tanzania nisingeona aibu ku-champion assasination kwa Traitor hawa kama ningeshindwa kuwabadili kifikra ili waweze ku-fit katika vision kwa maslahi mapana ya watanzania na Afrika kwa ujumla.

Wabe, mababu zetu waliokuwa wanamapinduzi wa kweli walijitoa sadaka kwa kushirikiana na intellectuals na kweli waliwashikisha adabu wakoloni wale. Comrade Osagyefo(Kwame Nkrumah) spent time in England and discovered its weak economy following World War II, then planned a political strategy with an economic offensive of boycotts, strikes, and demonstrations, "positive action," to cripple England and win independence for Ghana on 6th March 1957. Today America's economy is weak and in the spirit of Osagyefo Kwame Nkrumah, we are calling on Africans youths and true leadrs to demonstrate, strike, and boycott, and other oggresive measure according to the current situation in solidarity with resistance, to win total independence for Africa. Ni lazima tuanze na viongozi wetu both in the ruling party na hata upinzani incase kuwae na dalili za ukibaraka

Kama tunashindwa hivi kwa kisingizio cha demokrasia ya magharibi basi tuifanyie modification otherwise Africa itashuhudia rebellion against our puppet leaders.Viongozi walioko madarakani Tanzania na Afrika na hata vyama vya upinzani washuhudie maasi,wale comrades wanaoelewa hili tutaungana mkono.Waberoya najua wewe ni mmojawapo

Asia haikufikia hapa ilipo kwa sababu viongozi wao wao wa kwanza waliweka misingi ya kukataa ubeberu.Mahatma Gandhi na Shri.Jawahlal Nehru heroically waliongoza India kukataa ubeberu na ndiyo maana ukisoma foreign policy ya India (Diplomatic relation kati ya India vs United states ilikuwa zig zag untill 2000's). India leo huwezi kufanya investment ukamiliki stake kwenye company more than 49% kama foreigner.India wana policy,wanajitahidi ku-preseve culture yao ambayo inawa-define na inafiti katika ambition na interest zao kama Taifa.Halikadhalika China

China,Comrade Mao Tse Tung aliindoa China kwenye janga la kuwa victim wa ubeberu.Wale traitors aliowapindua walikimbilia Taiwan (alifanya kosa kuwaacha hai Hadi leo US anaitumia Taiwan kuelekeza detterence millitary kwa china).Chairman Mao Tse tung alipoanza na the great Leap,alinyonga watu wengi (Ofcourse Traitors deserves nothing but DEATH) lakini China Imesimama na inaweza kuvunja rekodi ya Soviet kuwa super power ndani ya kipindi cha miaka 70.Ooops,nisije nikatoka nje ya mada sana sasa....!

Kazi iliyoko mbele yetu ni tete kama tunataka kuliponyesha Taifa hili.

Kwa kuanzia tu kama wanasiasa,kama intellectuals tunaweza kuanza na utekelezaji wa maudhui ya hapa kwenye signature yangu.
 
kwani kati ya ccm na cdm ipi inakataliwa na wananchi tukirejea uchaguzi wa mwisho kufanyika kabla ya huu wa arumeru ambao sitaki kuwa mtabiri kama nyie mliotabiri kama mnavyotabiri sasa kwenye uchaguzi wa mwisho(igunga) na mwisho wa siku mkaondoka igunga bila kuaga?

Empty headed
 
Sure,We can't blame whites!

Mkuu Wabe,tupo on the same page kwa yote uliyosema but my point ilikuwa juu ya kuvunja minyororo ya utumwa.Hayo uliyoandika ndiyo ambayo tunataka sasa tuyatekeleze kwa hiyo kama Slaa atafanana na Morgan Tsavangiraia tutaendekeza ukoloni,tutakuwa tunabadilisha regime tu na kuwasaidia zaidi mabeberu.Tutakuwa tunatekelezana kuisadia foreign policy of the United States(Regime change policy)

Siwachukii wazungu,hata shetani mwenyewe na ufedhuli wake simchukii bali matendo yao.Sasa kama nachukia matendo ya kibeberu na ofcourse wanasaidiwa na incompetent leaders kutoka nchi zetu,je sina haki ya kuwachukia vibaraka wanaotaka kutufanya tuzidi kutawaliwa kifikra?

Vijana sasa hivi hawafanyi kazi zaidi ya ku-bow down mbele ya cultural imperialism.Ligi kuu za Ulaya ndiyo siasa kwao,ndiyo kazi ndiyo entertainment n.k. Ofcourse hili taifa linahitaji uponyaji na uponyaji huu unahitaji inspiration kutoka kwa leaders wanaojua tunahitaji nini,historia yetu ikoje na tunataka kwenda wapi.mfumo wa uongozi tangu tupate uhuru umekuwa wa kuendekeza ukoloni mambo leo kifikra,hapa ndipo ninapotaka sasa tufanye radical change(hapa nafurahi kuona hii spirit sasa imeanza kuingia damuni mwa baadhi ya viongozi ndani ya chama,signature yangu ya JF ilikuwa inasema Movement For Radical change na jana kwenye fundraising ya Arusha theme ilikuwa Movement for Change,M4C).

Sure,we need to rise up,we need to inspire a radical departure from mental slavery.Taifa linahitaji healing lakini si kuendekeza ukibaraka.Thanks kwa ku-admit kwamba Moragan the Traitor hawezi kuwa role model au figure ya kufanyia reference kwenye transformation tunayoitamani

Come on Wabe! Facebook is a social network.Tunakataa ubeberu lakini technology inayoletwa na mabeberu hatuwezi kuikataa pengine tukiweza kubadili fikra za watu wetu tutaweza kuitumia vizuri na kuigeuza against their ambitions.Facebook ndiyo ilitumika kuleta radical change kule Egypt na kumuondoa kibaraka wa Mabeberu dikteta Hosni Mubaraka.Facebook ilikuwa tool muhimu iliyotumika na vijana wa Tunisia na Misri kuwatia matumbo joto mabeberu kwa kujua hii revolution inaweka Camp David Accord at stake

Kutokana na fedheha iliyowakumba wakaamua kuleta balance katika ile region kwa kutumia force Libya na sasa Syria.The U.S./NATO bombing of Libya has clarified where imperialism stands regarding that country. The transnational exploiters are determined to totally seize hold of the richest oil reserves in Africa and cut off the billions of dollars that Libya was contributing toward the development of much poorer African countries.

Syria is also targeted by imperialism -- because of its heroic defense of Palestinian resistance over decades and its refusal to recognize the Zionist occupation. Syria's assistance to Hezbollah in their struggle to end the Israeli occupation of Lebanon and their strategic alliance with Iran cannot be forgotten

Comrade Waberoya,sasa hivi mabeberu wanatumia nguvu na technolojia yao + unpatriotic spirit ya viongozi wetu both kwenye ruling side na opposition(prospective government/regime) kuhakikisha maslahi yao hayathiriki.Ningekuwa na uwezo wa kuja hidden agenda za viongozi hawa na tulio nao hapa Tanzania nisingeona aibu ku-champion assasination kwa Traitor hawa kama ningeshindwa kuwabadili kifikra ili waweze ku-fit katika vision kwa maslahi mapana ya watanzania na Afrika kwa ujumla.

Wabe, mababu zetu waliokuwa wanamapinduzi wa kweli walijitoa sadaka kwa kushirikiana na intellectuals na kweli waliwashikisha adabu wakoloni wale. Comrade Osagyefo(Kwame Nkrumah) spent time in England and discovered its weak economy following World War II, then planned a political strategy with an economic offensive of boycotts, strikes, and demonstrations, "positive action," to cripple England and win independence for Ghana on 6th March 1957. Today America's economy is weak and in the spirit of Osagyefo Kwame Nkrumah, we are calling on Africans youths and true leadrs to demonstrate, strike, and boycott, in solidarity with resistance, to win total independence for Africa.

Kama tunashindwa hivi kwa kisingizio cha demokrasia ya magharibi basi tuifanyie modification otherwise Africa itashuhudia rebellion against our puppet leaders.Viongozi walioko madarakani Tanzania na Afrika na hata vyama vya upinzani washuhudie maasi,wale comrades wanaoelewa hili tutaungana mkono.Waberoya najua wewe ni mmojawapo

Asia haikufikia hapa ilipo kwa sababu viongozi wao wao wa kwanza waliweka misingi ya kukataa ubeberu.Mahatma Gandhi na Shri.Jawahlal Nehru heroically waliongoza India kukataa ubeberu na ndiyo maana ukisoma foreign policy ya India (Diplomatic relation kati ya India vs United states ilikuwa zig zag untill 2000's). India leo huwezi kufanya investment ukamiliki stake kwenye company more than 49% kama foreigner.India wana policy,wanajitahidi ku-preseve culture yao ambayo inawa-define na inafiti katika ambition na interest zao kama Taifa.Halikadhalika China

China,Comrade Mao Tse Tung aliindoa China kwenye janga la kuwa victim wa ubeberu.Wale traitors aliowapindua walikimbilia Taiwan (alifanya kosa kuwaacha hai Hadi leo US anaitumia Taiwan kuelekeza detterence millitary kwa china).Chairman Mao Tse tung alipoanza na the great Leap,alinyonga watu wengi (Ofcourse Traitors deserves nothing but DEATH) lakini China Imesimama na inaweza kuvunja rekodi ya Soviet kuwa super power ndani ya kipindi cha miaka 70.Ooops,nisije nikatoka nje ya mada sana sasa....!

Kazi iliyoko mbele yetu ni tete kama tunataka kuliponyesha Taifa hili.

Kwa kuanzia tu kama wanasiasa,kama intellectuals tunaweza kuanza na utekelezaji wa maudhui ya hapa kwenye signature yangu.

Mkuu hatujaelewana swala la kusema slaa afanane na Morgan...nataka awe aggressive, awe radical kama Morgan, ila siyo traitor kama Morgan...kuonyesha ukakamavu kwenye upinzani is what I am emphasizing, lakini I am not advocating Slaa awe traitor na kusikiliza mabeberu wa western. Kwani wako traitors wengi na still wako silent
 
Ben,

Inaelekea hujui kilichotokea Zimbabwe bali unaongelea propaganda zilizopandikizwa na ZANU juu ya Twangarai!!

Kweli unajua kilichotokea maanake hata hilo jina hapo kwenye Red silijui kwenye medani za siasa huko Zimbabwe......!

Sheer Rhetorics !
 
Mkuu hatujaelewana swala la kusema slaa afanane na Morgan...nataka awe aggressive, awe radical kama Morgan, ila siyo traitor kama Morgan...kuonyesha ukakamavu kwenye upinzani is what I am emphasizing, lakini I am not advocating Slaa awe traitor na kusikiliza mabeberu wa western. Kwani wako traitors wengi na still wako silent

Mkuu Wabe,

Nimekuelewa,tupo ukurasa mmoja mkuu.

Hata hivyo ikibidi tutakuja kuanzisha thread nyingine kuna mahali sijakuelewa .What are your suggestions for fighting western imperialism - id like to hear them.

Pia ulipojadili kuhusu hali ya ubeberu na Asian countries in-comparison with African countries

I don't know how you can compare Africa that had to deal with slavery, colonialism and now Neo colonialism with Japan and many other Asian nations that had less burdens to contend with.

If you want to make a comparison - compare like for like - dont come and talk about Asian nations that were not subjected to depletion of manpower through the transatlantic slave trade, annexation of land by way of the scamble for Africa and subsequent military invasion and occupation by way of colonialism and then ask me why we are not as developed as Asian nations.
 
Zitto anakamilisha tetesi kwamba kuna mpasuko chadema juu ya atakayegombea Urais
 
KINA LAANA YA DAVID CAMEROON......ukipinga na wewe umo kwenye mchezo mchafu a.k.a CAMEROON.....Tunataka wabunge wa CHADEMA watubu dhambi hii pia waende BUGURUNI waoe MACHANGUDOA WOTE waachw biashara yao....au SIYO NDESA PESA?
 
Gamba mkubwa wewe,nani kakuambia kuna vita Chadema,Chadema tunautaratibu wake wa kumpata mgombea.
Na wakati ukifika utaratibu huo utatumika. Kwa sasa tushughulike na kuusaka ushindi Arumeru Mashariki!
 
wewe ni
mmoja kati ya watu wenye uwezo wa chini wa kuchambua mambo jf,na mwenye upofu wa kutambua ukweli.hua hauthamiki hata kidogo humu,sema ndo umeshazoea kuingia jf na kupost undezi,basi umezoeleka pamoja na ujinga wako!

kwa sababu haongei na kuamini unachoamini wewe!
 
Back
Top Bottom