Sidhani kama ni kweli huenda mlikuwa kijiweni mnakunywa kahawa tu, Kitilya ninayemfahamu hawezi kujadili kama ulivyonukuu humu, hata hivyo yeyote ndani ya CDM anaweza kugombea ni kadri watakavyokubaliana, hii habari ya kuwatia watu maneno sidhani kama ina uhai. Kuhusu tofauti ningeshangaa kama huko CDM wangekaa bila kutofautiana umesahau ule usemi kama mnakubaliana kila kitu basi mmoja wenu hana uwezo wa kufikiri!