Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
Hata kama hii habari ina chembe ya ukweli sijaona mpasuko hapo. Kama kuna kambi inamtaka Slaa na nyingine inamtaka Freeman at the end of the day kura ndizo zitakazoamua. Hakuna mpasuko hapo.
tangu lini chadema wanapigakura kwa issues kama hizi??