Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

Dr. Slaa uwe mkweli kwa tukio la Mwanza kwani hata mie nilikuwepo silaha ilitolewa kutokana na purukushani za mjumbe mmoja kung'anga'ania kuingia kwenye kikao kisicho muhusu.

unawashwa? Usilazimishe utumbo wewe!
 
Kwa taarifa yako mpasuko umeanzia mwanza , Wenje kamshikia mtu pisto Mbele ya Katibu wenu Mkuu huyo. Sasa sijui nani atasuluhisha wakati Wenje yuko upande wa Mbowe na ndiyo maana alimdharau SLAA na kuamua kutoa pisto.
mzee acha uvivu,umbeya na ushabiki wa kijinga.'Wenje ashafafanua kilichotokea...hakuna aletishiwa na bastola!soma raia mwema la juzi j5!usiishie kwenye headline maana shida ya most of our journalists wengi mnaijua!
 
Waberoya,Bravo comrade!

Huu ni ushauri mzuri sana. Hata hivyo naomba nitofautiane na wewe hapo unapomtaka Dr.slaa aanze kufanana na Morgan Tsavangirai(I hope unamaanisha huyu wa chama kikuu cha upinzani Zimbabwe-MDC).Tanzania na Africa haihitaji tena kiongozi wa upinzani au chama tawala wa aina ya Morgan Tsavangirai anyetumiwa na mabeberu kwa hasara za waafrika na kwa fauda za mabeberu.Hatuna kipya cha kujifunza kutoka kwa vibaraka wa aina hii,natambua siyo MDC yote imeoza kwa kuwa kuna wana halisi wa Africa kama akina Tendai Biti lakini please usimshauri Dr.Slaa au kiongozi yeyote ndani ya chadema kufanana na Morgan Tsavangirai

Hapo kwa Raila Amolo Odinga sawa,hatua tuliyofikia ku-deal na rogue party kama CCM we must resort to a militant politics...I hope unamaanisha hivi.Hapo sikupingi

Isipokuwa,Ushauri wa kutaka afanane na Morgan Tsavangirai adui wa Afrika na kibaraka asiye na Aibu(sorry,nimesema bila kujali itifaki za kidiplomasia) sikubaliani na ushauri huu mkuu.Hatutaki Tanzania iwe na transition itakayotuletea matunda hasi,we must focus on our people's interest and African continent at Large(Pan Africanism)

I cant beleive that you can actually say that we africans have a lot to learn from Europeans who invaded our continent, enslaved us, destroyed our continent, brainwashed us with religions that they themselves do not even believe in,destroyed our culture , replaced our indigenous languages(Hata mie ni mhanga wa hilo kwa kutumia lugha ya kigeni) with theirs and degraded and dehumanised us

Are these the type of people that you want to learn from? You want to learn from someone who hates you and continues to do everything on this planet to ensure that you remain as an inferior being.

Here are just a few atrocities that your European and American idols are currently comitting on the African continent

Mobilising a military force known as Africom in order to recolonise your entire continent overthrowing or assassinating any nationalist african leaders who try to mobilise the people against their puppets using debt slavery courtesy of the IMF and the world bank to reduce Africans to beggars in their own country arming, funding and training rebel groups to overthrow legitimate nationalist African leaders who refuse to hand over their economies to the IMF and world bank using their media to brainwash young Africans into accepting western cultural values and ideologies in order to neutralise any feelings of Nationalism and make them gullible docile zombies who accept western domination.

Using their media to make young Africans reject their own cultures, look down on their own people and aspire to be more like Europeans and Americans.Funding, arming and training BOTH SIDES in military conflicts in resource rich regions of Africa in order to:
plunge the entire country into chaos

Create an environment that will allow them to sneak in and keep stealing the resources in the midst of the chaos without any challenge facilitate mass genocide and population depletion of those areas the bottom line is they want to plunge the entire African continent into a state of chaos, war, famine, economic collapse in order to make it easier for them to make off with every valuable natural resource that the continent has UNCHALLENGED.

dah....nilishawaambia huyu jamaa atakuja kuwa janga kubwa hapa tanzania nikatukanwa.sasa true colours zake zinaonekana ni kama ghadafi tu.vijana wenye muono na mitaizamo kama anayoonyesha ben saanane dhidi ya viongozi wa vyama vingine vya upinzani hapa afrika ni uthibitisho kwamba haumini katika demokrasia.huwezi jua jinsi moragan alivyowapigania wazimbambwe kutoka kwa role model wako dikteta robert mugabe

una chuki kubwa sana dhidi ya wazungu na sijui ni kwa nini ulienda kusoma huko.cha ajabu elimu waliyokupa ndiyo unaitumia kuwatukana.ben umefikia hatua ya kudharau hata dini za watu waombe radhi watu.tanzania haiko tayari kuongozwa na radical leftists.tabia zako zinashabihiana sana yule malema wa south afrika aliyetaka makaburu wauwe.viongozi wa aina yenu ni janga kubwa huko mbele

 
dah....nilishawaambia huyu jamaa atakuja kuwa janga kubwa hapa tanzania nikatukanwa.sasa true colours zake zinaonekana ni kama ghadafi tu.vijana wenye muono na mitaizamo kama anayoonyesha ben saanane dhidi ya viongozi wa vyama vingine vya upinzani hapa afrika ni uthibitisho kwamba haumini katika demokrasia.huwezi jua jinsi moragan alivyowapigania wazimbambwe kutoka kwa role model wako dikteta robert mugabe

una chuki kubwa sana dhidi ya wazungu na sijui ni kwa nini ulienda kusoma huko.cha ajabu elimu waliyokupa ndiyo unaitumia kuwatukana.ben umefikia hatua ya kudharau hata dini za watu waombe radhi watu.tanzania haiko tayari kuongozwa na radical leftists.tabia zako zinashabihiana sana yule malema wa south afrika aliyetaka makaburu wauwe.viongozi wa aina yenu ni janga kubwa huko mbele


Unachoongea hapa ni matunda na athari za ubeberu.Wewe ni typical example ya huu ufedhuli.Hatuwezi kukuchukia au kukudharau wewe kwa kuwa tunajua haujapenda.The least thing we can do is to break the york/chain of cultural imperialism

South America used to be like Africa but they have no more puppets. Chavez Morales and Correa said no to imperialism. The only anti imperialist we have is Mugabe. W We cannot defend ourselves but South America can
 
Kwanza, lazima tuache ushabiki tu lazima tuangalie nini tunataka lakini Suala la kumtaka Mtu tu basi ni kana kwamba lazima awe yeye Rais litawacost Chama na itafikia mahali watu watashindwa kufanya maaamuzi Sahihi kwa sababu ya mapenzi ya kupitiliza na greediness

Hakuna Kosa Mbowe hata Zito kugombea Urais Kwani sina uhakika na Umri wa Dr ila napata tabu kuamini Kama miaka yake Itakua Sahihi kwa yeye kuendelea kushikilia lazima yeye awe mgombea.

Na nitashangaa Kama yeye mwenyewe Dr Slaa atakua bado anatamaa ya kua Rais na Kama Hilo lipo basi asishangae akapata tabu na pia atavunjiwa heshima na wakina Mbowe , Zito na Lissu Kwani kwa muono wangu watu Kama Tundu na Zitto Kwani wako Objective oriented than fanatical .


Na watu wengi tunaweza tukaona Kama vile wanahasi lakini kuna uwezekano mkubwa haya yakatokea Kwani michango inyoonekana kwa Tundu na Zitto inamashiko Zaidi kuliko ilivyo kwa Dr slaa na Mbowe.

Kwahiyo Kama tunashabikia Mtu Slaa anafaa lakini Kama tunataka uhalisia basi vijana wapewe nafasi......


Isije ikawa Kama Rais Abdealahi WADE

Mkuu hapo kwenye bold haiwezekani mgombea ni either Slaa or Mbowe full stop!
 
Tiba .......kama hawataelewana chadema inaweza kuwajenga vijana wapya kama John Mnyika na Zitto Kabwe kabla ya mwaka 2015.

Tamaa ya nani atakiwa kukibeba chama kwenda ikulu imeua vyama vingi sana

Usiseme tamaa mkuu unajua kila mtu anapoingia kwenye siasa anakuwa na lengo lake, btn the lines utaona kuna hoja kuwa mhe amewekeza pesa zake nyingi sana hili ni jungu kuwa mhe anataka urais ili iweje? aweze kurejesha pesa zake? hii ni kweli au mbowe anachafuliwa ? nilishasema jana kwenye ile thread ya mama asha-rose migiro kuwa sio ccm tu wanapigana vikumbo kwenye uchaguzi wa 2015 hata CDM mpo vitani na mnatakiwa muangalie na kuangaliana kwa makini kwani wabomoa vyama siku zote mna humo humo kwenye vyama vyenu msitutolee macho sie tunaotoa ushauri na kutumiminia mitusi!
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.

kitila yupi huyo?

au yule dogo nilisoma naye O'Level tulikuwa tunakwenda kununua pamoja maandazi ya mafuta ya maweze kwa Mama Kemia?
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.


Kama kweli mpasuko upo basi wampe Mh. Tundu Lissu apeperushe bendera ya chama chao 2015. At least anaweza akatuletea Katiba yenye akili kidogo. Otherwise wampe Dr. Slaa ila ahakikishe amefunga ndoa rasmi kabla ya huo uchaguzi ili lile jina la mchumba lifike tamati.
 
thread yako yaonesha wewe ni mshamba flani ama mgeni hapa jamvini, suala la urais lilishatolewa ufafanuz na dr slaa kitambo. Mleta mada anaota.
 
Unajua wakati mwingine kutokuwa wakweli kunatugharimu sana pasipo sababu na haiyumkini haya mapenzi na ushabiki wetu tulio nao kwenye vyama vyetu na kukosa nguvu ya kuonyana, kushauriana, na hata kugombana kidogo ndiko kunakosababisha haya yote!

Wanasema Dr. Mkumbo ni mtu makini alah! Umakini wa upi huo??? Yeye hakushuka toka Mbinguni he is just a human being lakini pili ni umakini upi huo kuwa kimya wakati wote huo, mi nadhani umakini ni kujitokeza kama ambavyo amekuwa akifanya na kukanusha ama kukubali kwamba ni kweli alikuwa Uingereza tarehe zilizotajwa ama hakuwa huko hilo ni moja lakini pili Maneno hayo kama yamesemwa na aitwaye Mshauri Mkuu wa CDM better be called any other name manake huo mpasuko atakua kausababisha yeye sasa! Hata kama alikuwa na imani kama punje ya haradani kwa hao aliokuwa akizungumza nae haikumpasa kuwaeleza maneno hayo hata kidogo! Labda kama naye anahitaji nafasi hiyo ndo ameamua kutumia njia hiyo na atasababisha mpasuko kweli!
 
Waberoya,Bravo comrade!

Huu ni ushauri mzuri sana. Hata hivyo naomba nitofautiane na wewe hapo unapomtaka Dr.slaa aanze kufanana na Morgan Tsavangirai(I hope unamaanisha huyu wa chama kikuu cha upinzani Zimbabwe-MDC).Tanzania na Africa haihitaji tena kiongozi wa upinzani au chama tawala wa aina ya Morgan Tsavangirai anyetumiwa na mabeberu kwa hasara za waafrika na kwa fauda za mabeberu.Hatuna kipya cha kujifunza kutoka kwa vibaraka wa aina hii,natambua siyo MDC yote imeoza kwa kuwa kuna wana halisi wa Africa kama akina Tendai Biti lakini please usimshauri Dr.Slaa au kiongozi yeyote ndani ya chadema kufanana na Morgan Tsavangirai

Hapo kwa Raila Amolo Odinga sawa,hatua tuliyofikia ku-deal na rogue party kama CCM we must resort to a militant politics...I hope unamaanisha hivi.Hapo sikupingi

Isipokuwa,Ushauri wa kutaka afanane na Morgan Tsavangirai adui wa Afrika na kibaraka asiye na Aibu(sorry,nimesema bila kujali itifaki za kidiplomasia) sikubaliani na ushauri huu mkuu.Hatutaki Tanzania iwe na transition itakayotuletea matunda hasi,we must focus on our people's interest and African continent at Large(Pan Africanism)

I cant beleive that you can actually say that we africans have a lot to learn from Europeans who invaded our continent, enslaved us, destroyed our continent, brainwashed us with religions that they themselves do not even believe in,destroyed our culture , replaced our indigenous languages(Hata mie ni mhanga wa hilo kwa kutumia lugha ya kigeni) with theirs and degraded and dehumanised us

Are these the type of people that you want to learn from? You want to learn from someone who hates you and continues to do everything on this planet to ensure that you remain as an inferior being.

Here are just a few atrocities that European and American idols(under the patron of some few African Puppets) are currently comitting on the African continent

Mobilising a military force known as Africom in order to recolonise your entire continent overthrowing or assassinating any nationalist african leaders who try to mobilise the people against their puppets using debt slavery courtesy of the IMF and the world bank to reduce Africans to beggars in their own country arming, funding and training rebel groups to overthrow legitimate nationalist African leaders who refuse to hand over their economies to the IMF and world bank using their media to brainwash young Africans into accepting western cultural values and ideologies in order to neutralise any feelings of Nationalism and make them gullible docile zombies who accept western domination.

Using their media to make young Africans reject their own cultures, look down on their own people and aspire to be more like Europeans and Americans.Funding, arming and training BOTH SIDES in military conflicts in resource rich regions of Africa in order to:
plunge the entire country into chaos

Create an environment that will allow them to sneak in and keep stealing the resources in the midst of the chaos without any challenge facilitate mass genocide and population depletion of those areas the bottom line is they want to plunge the entire African continent into a state of chaos, war, famine, economic collapse in order to make it easier for them to make off with every valuable natural resource that the continent has UNCHALLENGED.

Ben,

Inaelekea hujui kilichotokea Zimbabwe bali unaongelea propaganda zilizopandikizwa na ZANU juu ya Twangarai!!
 
Weka habari hiyo hapa kama alivyosema..Weka link!
Hiyo uliyoweka hapo juu hamna kitu maana toka jana tumeidiscuss na kuona ni utunzi na usanii wa mtu!

utunzi kwa sababu this time inaihusu chadema yako na hupendi kuisikia au?
 
Nadhani Dr. Slaa bado yuko mioyoni mwa waTanzania,na vilevile Mbowe bado ana nafasi even after 2015 kiumri,halafu kama CCM wakiamua kuwachafua Dr. Slaa na Mbowe kwa maksudi then Mbowe is easily prey kwao kuliko Dr. Slaa.
 
Kama CDM wanataka kurudi kwenye ile miaka ya 1995 na 2000, then wasimsimamishe Dr. Slaa. Hata hivyo sidhani kama hizi cheap propaganda za Magamba zinaweza kuisambaratisha CDM!!
 
Waberoya,Bravo comrade!

Huu ni ushauri mzuri sana. Hata hivyo naomba nitofautiane na wewe hapo unapomtaka Dr.slaa aanze kufanana na Morgan Tsavangirai(I hope unamaanisha huyu wa chama kikuu cha upinzani Zimbabwe-MDC).Tanzania na Africa haihitaji tena kiongozi wa upinzani au chama tawala wa aina ya Morgan Tsavangirai anyetumiwa na mabeberu kwa hasara za waafrika na kwa fauda za mabeberu.Hatuna kipya cha kujifunza kutoka kwa vibaraka wa aina hii,natambua siyo MDC yote imeoza kwa kuwa kuna wana halisi wa Africa kama akina Tendai Biti lakini please usimshauri Dr.Slaa au kiongozi yeyote ndani ya chadema kufanana na Morgan Tsavangirai

Hapo kwa Raila Amolo Odinga sawa,hatua tuliyofikia ku-deal na rogue party kama CCM we must resort to a militant politics...I hope unamaanisha hivi.Hapo sikupingi

Isipokuwa,Ushauri wa kutaka afanane na Morgan Tsavangirai adui wa Afrika na kibaraka asiye na Aibu(sorry,nimesema bila kujali itifaki za kidiplomasia) sikubaliani na ushauri huu mkuu.Hatutaki Tanzania iwe na transition itakayotuletea matunda hasi,we must focus on our people's interest and African continent at Large(Pan Africanism)

I cant beleive that you can actually say that we africans have a lot to learn from Europeans who invaded our continent, enslaved us, destroyed our continent, brainwashed us with religions that they themselves do not even believe in,destroyed our culture , replaced our indigenous languages(Hata mie ni mhanga wa hilo kwa kutumia lugha ya kigeni) with theirs and degraded and dehumanised us

Are these the type of people that you want to learn from? You want to learn from someone who hates you and continues to do everything on this planet to ensure that you remain as an inferior being.

Here are just a few atrocities that European and American idols(under the patron of some few African Puppets) are currently comitting on the African continent

Mobilising a military force known as Africom in order to recolonise your entire continent overthrowing or assassinating any nationalist african leaders who try to mobilise the people against their puppets using debt slavery courtesy of the IMF and the world bank to reduce Africans to beggars in their own country arming, funding and training rebel groups to overthrow legitimate nationalist African leaders who refuse to hand over their economies to the IMF and world bank using their media to brainwash young Africans into accepting western cultural values and ideologies in order to neutralise any feelings of Nationalism and make them gullible docile zombies who accept western domination.

Using their media to make young Africans reject their own cultures, look down on their own people and aspire to be more like Europeans and Americans.Funding, arming and training BOTH SIDES in military conflicts in resource rich regions of Africa in order to:
plunge the entire country into chaos

Create an environment that will allow them to sneak in and keep stealing the resources in the midst of the chaos without any challenge facilitate mass genocide and population depletion of those areas the bottom line is they want to plunge the entire African continent into a state of chaos, war, famine, economic collapse in order to make it easier for them to make off with every valuable natural resource that the continent has UNCHALLENGED.

Mkuu nimekupatanimekuelewa

1. Nataka Slaa awe kama Morgan anayeonekanamachoni pa watu! na siyo Morgan aliyejificha, definitely I would not haveadvised Slaa to be like the Morgan Traitor.....

2. Umenichekesha kuona kuwa unawachukia wazungu kiasi hicho.....ila kwademokrasia wako mbali sanaingawa walitutawala na wanaendelea kututawala. Ila in real sense SITAKUJAKUWALAUMU wazungu kuja kututawala!!! maana hata sisi tungekuwa wazungutungewatawala wao, IT IS NATURAL. Ni kama swala anagoma asiliwe na simba wakati yumo mbugani This wasunavoidable....zile effects za UKOLONI WA KUZIONDOA NI SISI WENYEWE....kamaenzi hizo machifu waliuza ardhi...na miaka 60 baadae bado tunauza ardhi kwa haohao wazungu, what does that mean??

3. We are the one who make ourselves inferior, nchi za ASIAhazikutawaliwa?? what made them to compete with Europein almost everything? tell me...Tangu tumepata uhuru hatujajua athari za ukoloni?

1. Nani anapaswa abadilishe mitaala ya shule?
2. Go to judiciary system is totally british
3. Go to our bunge session and style..is totally British
4. Who encourages modernisation of western?? we are

British or Americans have nothing to do with our stupidity.....they did that because of survival of fittest…..todate we can not compete with them in almosteverything, why are we blaming them??

Does whites force you to spend time in Facebook, to watch CSI and 24 series??does whites forcing you to live and die with Premier league??

Tell me, what is that we are doing that whites are forcing us to do?? Wait a minute..does whites force us to beg them, to ask for aids..because we can not feed ourselves!!!! Just imagine the way we are multiplying and we can not even get our needs…yet this is muzungu's faults??

You know what Mr. Ben I can feel your anger and hatred towards these people but wont help!

WE MISSED LEADERS who knows our background, who can actually preserve our culture and history, we missed people who can actually let AFRICAN be african, like chinese, japanese etc.

We are the ones to be blamed we did not counter attacked the situation...we failed, we are failing and we may never recover ...AFRICANS IS NO MORE... with globalisation and science and technology AFRICA has collapsed

we were not ready for free market or globalisation, we are not READY even now!!!

WHAT SHOULD BE DONE IS TO CLOSE BOUNDARIES.......NEVER CONTACT WITH OTHER COUNTRIES..let dig, produce and eat what we have THAT IS THE ONLY SOLUTION APART FROM THAT WE WILL CONTINUE HATING WHITES FOR NO CAUSE...huwezi ukaona unakufa,chakula kiko africa ukae tu..kwa kuwa ukienda utaonekana m'baya




South africans are stronger today because once their boundaries was closed due to apartheid , they survived inspite of all difficulties of being excommunicated from other worlds

Ben......Slaa and you has to rise up...NO EXCUSE if we need to survive we need to learn from who survived....the problem is that we have not reached the industrial revolution...we have not even reached the 19th century...we are somewhere that our history will mock at us...WE ARE IN THE AGES WHERE OUR COUNTRY IS ACTUALLY A DUSTBIN...OF EVERY TECHNOLOGY AND LIFE STYLE FROM EUROPE ..oh! my God we can not blame white..Can we??
 
Una uhakika gani kwamba mshauri wa CHADEMA ameyasema hayo?

mbona ya ccm hata yakisemwa na msemaji wa ccm huwa hamuyataki na mnakujaga na yenu ambayo hata kama hakuna yeyote huko ccm aliyewaambia?iweje leo kwa kuwa ni la chadema ndio utafutwe ushahidi wa kimahakama..

All in all chadema si shwari lipo tatizo,lishughulikiwe mapema,otherwise mtaiua chadema kwa kuipenda kupita kiasi,mnaikumbatia sana mkidhani ndio kuonyesha mapenzi ya dhati kumbe mnaibana mpaka inakosa hewa ya kupumua matokeo yake ni kifo cha kawaida kama TLP ya mrema.

Tuwe fair,isiwe ni kwa ccm tu.
 
Huu sio mpasuko hata kidogo! Ni mawazo tofauti ya wadau wa CDM. Mwishowe atapatiakna mmoja. Ukiona hakuna anayetoa wazo tofauti, hapo kuna walakiniand most probably kuna elements za kukosa demokrasia. Watu lazima watofautiane katika mawazo, ila at the end wanafikia uamuzi wa wengi.
Na hiyo list yako, sidhani kama kunamtu ana ushawishi mkubwa kama Slaa alivyo. Kitila ni nani, watanzania wangapi wanamfahamu jamani!!! na wengine humo katika list yako

Kwanini tofauti zikitokea chadema mnazipaka mafuta mazuri ili zinukie na kuzipachika majina mazuri mazuri lakini tofauti hizo hizo za kimawazo na kimtazamo miongoni mwa makada wa ccm huwa mnaziita ni mpasuko tu?
 
Mkuu mimi sitakulaumu sana wala hata kama Dr Kitila amesema hivyo pia sitashangaa maana hii haita kuwa mara ya kwanza CDM kuwa na "mpasuko" wa kugombea uongozi.

Kwa mara ya kwanza kabisa kwenye harakati za kugombea uenyekiti wa CDM, viongozi na wazee wa CDM walikuja na tafsiri mpya ya neno "mpasuko" kubaka demokrasia, hivyo basi nadhani ni sahihi pia kuita huu ni mpasuko

Katika hali ya kawaida huu huwezi kuita huu ni mpasuko, demokrasia maana yake ni ushindani wa haki wa kuchagua na kuchaguliwa.......kama hamna ushindani kwa baadhi tu ya watu kuamua fulani wa kuchaguliwa kunakuwa kunakiuka misingi ya demokrasia

Inawezekana sasa kwa nje mambo ni shwari, lakini huko ndani kwa wenye chama na wanao amua nani anafaa na wanao amua nani atoe jina ili kuepuka "mpasuko" sasa wako kwenye dilema waamue nani watamchagua kupeperusha bendera ya CDM hapo baadae

Lakini kama mambo yangekuwa wazi, ni swala la kuchukua form na michakato mingine kama kawaida sidhani kama kungekuwa na hisia hizi za mipasuko

Lakini kwa kawaida tunajua CDM kwenye nafasi ya ugombe uraisi huwa hakunaga kwere sana, na kuna sababu.......
Uhakika wa kuupata huo Urais ilikuwa ni kazi pevu
So kugombea urais kulikuwa kuna maanisha kukosa yote, yaani ubunge na urais kama ilivyokuwa kwa Dr ambaye "aliombwa" na aliposhindwa aliishia kupewa fidia kwa kupandishiwa mshahara na marupurupu kufikia mshahara wa ubunge aliokosa

Hivyo basi inawezekana upepo umebadilika, possibility ya kuukwaa upresident imekuwa kubwa na kupelekea kukawa na mshike mshike kuitaka nafasi hiyo na sio "kuombwa" tena.

Binafsi sipendi kutumia neno mpasuko kumaanisha mchuano au ushindani nk wa kugombea nafasi mbali mbali za uongozi, kama kweli Dr Slaa na Mbowe wanajiandalia mazingira ya kuitaka nafasi hiyo hii ndio demokrasia na si mpasuko, ingawa pia naona bado mapema sana, vinginevyo huu ni uzushi


Mpasuko kivipi???????????????

Ni kwamba hawa mabwana wawili wakiachwa yatazuka makundi mawili makubwa ndani ya iko chama chenu wewe,huo ndio mpasuko tunaousema ambao hata ccm ndio huo mnaoushabikiaga,mbona mnataka kurahisisha mambo ili tu kutimiza malengo ya mahaba yenu kwa iko chama?

Chadema kuna mpasuko wa makundi mawili yenye nguvu,kundi la slaa ambalo linaelewa kuwa na wakuja wengi ndani ya chadema na kundi la chairman Mbowe ambalo linaelezwa kuna na wanaokijua chama na wenye ushawishi wa kipesa
 
Haya haya nimeingia kati ya mjadala mzito sana ingawaje niukuta kati nitachangia niliyaona, experienced na mtazamo wangu. Kama kweli ndani ya Chadema kuna mpasuko baina ya Dr.Slaa na Mbowe nani atasimama mwaka 2015, basi hakika labda nizungumzie mapungufu yao kwa wakati huu.. Nasikitika tu kusema none of the above ataweza kutupa Ushindi isipokuwa tu kama yafuatayo yataweza kuepukwa.

1. Mbowe ni mwanasiasa mzuri sana pengine kuwashindwa wengi sana ndani ya CDM na pengine kiongozi mzuri wa chama ktk kujitolea, kufuatilia na kadhalika lakini hana mvuto mkubwa wa urais...He may make a good PM lakini hawezi kushinda uchaguzi kutokana na imani za watu wengi juu yake. Mbowe ameishi maisha ya kifahari na anajipenda ni vigumu sana kwa kiongozi kama mbowe kugombania maslahi ya maskini na wakamkubali kwa sababu siku zote mlalahoi atategemea kumwona mtu wa aina yake, aliyepitia machungu kama yake ndiye akigombea haki yao na sio mtu kutoka kundi jingine.. Hili ndilo tatizo kubwa la Mbowe.

2. Dr.Slaa kwa upande mwingine anakubalika sana na wananchi lakini pia jina lake limeshachafuliwa. Japookuwa ni siasa za majitaka, hizi tuhuma zinazojitokeza zisipopata majibu zitaendelea kuwajenga wananchi imani ya kuwa Dr.Slaa ni mtu wa aina gani. Mtazameni Lipumba huyu hana mke ila ana hawala tu tena wa Kichagga lakini hutasikia watu wakizungumzia hilo kwa sababu Lipumba amebeba ngao kubwa ya CV yake ktk uchumi na watu wengi wanaweza kumfanisha nao hivyo kumpiga madongo mtu kama huyu wanaona ni kumwonea wivu lakini sio Dr.Slaa...

Kama walivyosema waliotangulia ni muhimu kwa Dr.Slaa kuwa muwazi na kujitangaza sana, kujitenga na kanisa, kuondoa dhana aloijenga kwa waislaam wengi kwamba mashule yote na Hospitali ataziweka chini ya kanisa na kutoa huduma zote bure.. Maneno kama haya yanaposambaa kwa Waislaam yanawatisha zaidi na labda niseme tu kwamba ndio maneno yaliyosambaa ktk jumuiya ya waislaam - plse mark my word!.

Mwisho nasema hivi CDM wataweza tu kushinda uchaguzi wa mwaka 2015 ikiwa kutakuwepo uwezekano wa kuunda nguvu moja baina ya Dr.Slaa, Lipumba, Hamad Rashid, Mbowe, Zitto na wengineo..
 
Back
Top Bottom