Waberoya,Bravo comrade!
Huu ni ushauri mzuri sana. Hata hivyo naomba nitofautiane na wewe hapo unapomtaka Dr.slaa aanze kufanana na Morgan Tsavangirai(I hope unamaanisha huyu wa chama kikuu cha upinzani Zimbabwe-MDC).Tanzania na Africa haihitaji tena kiongozi wa upinzani au chama tawala wa aina ya Morgan Tsavangirai anyetumiwa na mabeberu kwa hasara za waafrika na kwa fauda za mabeberu.Hatuna kipya cha kujifunza kutoka kwa vibaraka wa aina hii,natambua siyo MDC yote imeoza kwa kuwa kuna wana halisi wa Africa kama akina Tendai Biti lakini please usimshauri Dr.Slaa au kiongozi yeyote ndani ya chadema kufanana na Morgan Tsavangirai
Hapo kwa Raila Amolo Odinga sawa,hatua tuliyofikia ku-deal na rogue party kama CCM we must resort to a militant politics...I hope unamaanisha hivi.Hapo sikupingi
Isipokuwa,Ushauri wa kutaka afanane na Morgan Tsavangirai adui wa Afrika na kibaraka asiye na Aibu(sorry,nimesema bila kujali itifaki za kidiplomasia) sikubaliani na ushauri huu mkuu.Hatutaki Tanzania iwe na transition itakayotuletea matunda hasi,we must focus on our people's interest and African continent at Large(Pan Africanism)
I cant beleive that you can actually say that we africans have a lot to learn from Europeans who invaded our continent, enslaved us, destroyed our continent, brainwashed us with religions that they themselves do not even believe in,destroyed our culture , replaced our indigenous languages(Hata mie ni mhanga wa hilo kwa kutumia lugha ya kigeni) with theirs and degraded and dehumanised us
Are these the type of people that you want to learn from? You want to learn from someone who hates you and continues to do everything on this planet to ensure that you remain as an inferior being.
Here are just a few atrocities that European and American idols(under the patron of some few African Puppets) are currently comitting on the African continent
Mobilising a military force known as Africom in order to recolonise your entire continent overthrowing or assassinating any nationalist african leaders who try to mobilise the people against their puppets using debt slavery courtesy of the IMF and the world bank to reduce Africans to beggars in their own country arming, funding and training rebel groups to overthrow legitimate nationalist African leaders who refuse to hand over their economies to the IMF and world bank using their media to brainwash young Africans into accepting western cultural values and ideologies in order to neutralise any feelings of Nationalism and make them gullible docile zombies who accept western domination.
Using their media to make young Africans reject their own cultures, look down on their own people and aspire to be more like Europeans and Americans.Funding, arming and training BOTH SIDES in military conflicts in resource rich regions of Africa in order to:
plunge the entire country into chaos
Create an environment that will allow them to sneak in and keep stealing the resources in the midst of the chaos without any challenge facilitate mass genocide and population depletion of those areas the bottom line is they want to plunge the entire African continent into a state of chaos, war, famine, economic collapse in order to make it easier for them to make off with every valuable natural resource that the continent has UNCHALLENGED.