Mpango wa wazungu ni kuua kabisa taasisi ndoa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,891
155,905
Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.

Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)

Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.

Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.

Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?
 
Ndoa Mzungu hajaleta wao ni Mungu ndio ameleta ndoa .
Kingine imani Mungu kaileta Ile kuamini yupo na kumuomba yeye Kwa furaha au shida zako ulizonazo Kwa kumtolea sadaka na Kwa lolote unalotaka awepi Mungu hajaleta dini ameleta amri Kumi za Mungu , kumtolea sadaka , kumpenda yeye, kumjua yupo Ile imani ya kumjua Mungu yupo kumuamini yeye, nakumfuata ndioo maana alipozaliwa Yesu Kristo, waumini wake wakaona tuitwe wakristo wafuasi wake .


Ila sijajua kama watu wengine wadini nyingine wanajua haya yote.

Haya Sasa huwezi vurugiwa mipango Yako ya maisha . Akijaribu kuvuruga yake yeye ninani kama unataka kuoa unaoa kuolewa unaolewa ilimradi umempima afya ya akili na mengineyo


Ndoa ni maelewano GOOD DAY
 
Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.

Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)

Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.

Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.

Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?
Mkuu mi bado sijawa na mtoto. Nahisi kama nifungue shule yangu niombe kibali cha necta kumtahini mtoto mmoja wangu na wa jilani pekee
 
Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.

Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)

Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.

Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.

Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?
Mkuu mi bado sijawa na mtoto. Nahisi kama nifungue shule yangu niombe kibali cha necta kumtahini mtoto mmoja wangu na wa jilani pekee
 
IMG_3797.jpg
 
Zamani kulikuwa na utamaduni wa kabila hili na hili, ukaja utamaduni wa taifa na sasa kuna utamaduni wa dunia unaitwa new world order.

Utake usitake utaufuata huo utamaduni.

Leo ushoga unapigiwa promo ya kufa mtu uonekane ni jambo la kawaida.

Nchi zinazofadhili bajeti yetu ya elimu zinalazimisha tuingize mambo ya ushoga kwenye mitala yetu ya kufundishia.

Wanasiasa wetu hawawezi kukataa kwani wao ni watumwa wa pesa. Ukiwapa pesa tu wapo tayari kwa lolote.
908643.jpg
IMG-20230118-WA0002.jpg

Ndoa Mzungu hajaleta wao ni Mungu ndio ameleta ndoa .
Kingine imani Mungu kaileta Ile kuamini yupo na kumuomba yeye Kwa furaha au shida zako ulizonazo Kwa kumtolea sadaka na Kwa lolote unalotaka awepi Mungu hajaleta dini ameleta amri Kumi za Mungu , kumtolea sadaka , kumpenda yeye, kumjua yupo Ile imani ya kumjua Mungu yupo kumuamini yeye, nakumfuata ndioo maana alipozaliwa Yesu Kristo, waumini wake wakaona tuitwe wakristo wafuasi wake .


Ila sijajua kama watu wengine wadini nyingine wanajua haya yote.

Haya Sasa huwezi vurugiwa mipango Yako ya maisha . Akijaribu kuvuruga yake yeye ninani kama unataka kuoa unaoa kuolewa unaolewa ilimradi umempima afya ya akili na mengineyo


Ndoa ni maelewano GOOD DAY
 
Mzungu asisingiziwe, watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajui kwanini wanaingia kwenye ndoa.

Wanapuyanga tu huko ndoani Kwa ujinga ujinga mwingi.
Soma vizuri mkuu, sijasema mzungu anavunja ndoa. Naomba urudie kusoma content, usi comment kwa kichwa tu cha habari, ingia ndani ndio ujue uhondo wa ngoma
 
Soma vizuri mkuu, sijasema mzungu anavunja ndoa. Naomba urudie kusoma content, usi comment kwa kichwa tu cha habari, ingia ndani ndio ujue uhondo wa ngoma
Nimekuelewa Sana Mkuu. Na ndio maana nimerudi nyuma kabisa.
Kama ulivyosema ndoa ni baraka ya Mungu. Ambayo imeshatushinda ndio maana imekuwa rahisi aina nyingine ya ndoa kuibuka na kukubalika na binadamu.
 
Mtu anazaa bila kufuata utaratibu, anashindwa kuwapatia watoto mahitaji yote yanayohitajika kiroho na kimwili halafu mambo yameharibika; yeye anaona hahusiki kwa hayo yanayotokea anatafuta mtu mwingine, anamsingizia: ujinga!
 
Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.

Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)

Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.

Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.

Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?
Mnawasingizia sana wazungu ndiyo maana kila siku tunaparanganyika sababu hatujifunzi kutokana na makosa yetu.
Yaani ushinde bar unaangalia mpira huku una bet halafu unakuja kumsingizia mzungu?
Vujana wanaacha kupambana ili kujikwamua kimaisha wanaamua kutafuta shortcuts za kuwa machawa na wengine kuliwa kinyume cha maumbile ile watoboe mnakuja kuwasingizia wazungu?
 
Back
Top Bottom