johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Makamu wa Rais Dr Mpango amesema Baadhi ya Mafisadi, Wala Rushwa na Wasioheshimu Taasisi ya Ndoa ni Waumini wa Dini ya Kikristo.
Dr Mpango amewataka Viongozi wa Dini kutokaa kimya wakati Nchi inachezewa na wahuni. Aidha Dr Mpango amesema Mafisadi wote waliotajwa kwenye Ripoti ya CAG watakapothibitika Watachukuliwa hatua kali sana.
Dr Mpango alikuwa mgeni rasmi kwenye Ibada ya kumsimika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Dodoma akimwakilisha Rais Samia aliyeko safarini.
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu, Waziri mkuu mstaafu mh Pinda pia walihudhuria Ibada hiyo.
Dr Mpango ametoa hotuba bora Kabisa na amenikumbusha zile hotuba pendwa za Mwalimu Nyerere.
Source: Upendo Tv
Dr Mpango amewataka Viongozi wa Dini kutokaa kimya wakati Nchi inachezewa na wahuni. Aidha Dr Mpango amesema Mafisadi wote waliotajwa kwenye Ripoti ya CAG watakapothibitika Watachukuliwa hatua kali sana.
Dr Mpango alikuwa mgeni rasmi kwenye Ibada ya kumsimika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Dodoma akimwakilisha Rais Samia aliyeko safarini.
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu, Waziri mkuu mstaafu mh Pinda pia walihudhuria Ibada hiyo.
Dr Mpango ametoa hotuba bora Kabisa na amenikumbusha zile hotuba pendwa za Mwalimu Nyerere.
Source: Upendo Tv