Hawa wenzetu wamezidi sasa, kila kitu watakachokiota na kuja nacho kwa public wanataka wakubaliwe tu! safari hii hakuna kitu kama hicho,
kwanza si kweli kuwa ana genge la watu wanaotaka kuhujumu elimu yetu, huu ni ujinga sana, Dr, Ndalichako hawezi kuhujumu elimu yetu, kwanza ili iweje na yeye ili apate nini, huu ni ujinga sana na upumbavu wa hali ya juu, wamemtafuta kila kona sasa wanataka kumbambikizia hili, kwani hiyo tume iliyoundwa na Waziri mkuu inaongozwa na mtu wa dini gani? kama na mwislamu mwenzao basi Dr. amekwisha, kama ni mkristu haki itatendeka,
pili, Dr. Ndarichako yeye ni mtendaji tu! kumbukeni kuwa kuna mwenyekiti wa baraza la mitihani ambaye kila Dr. anachokifanya lazima am-consult yeye au baraza la Necta, pia, Dr. hatungi mitihani, hasahihishi mitihani ila anasimamia tu ndo maana yule mtu wa IT aliondolewa baada ya kuzembea!!
Tatu, Waislamu wanataka aondolewe lakini hawasemi wanamtaka nani? je akija mkristu mwingine na hali ikawa ndo hyo hyo watafanyaje?
je akija mwislamu mwenzao na bado hali ikawa hyo hyo watafanyaje? wata-msalia Albadri?
je akija mwislamu mwenzao wakafaulu sana pasipo halali na tukawa na kizazi cha kijinga watafurahi?
Serikali hasa waziri mkuu chonde chonde acha acha kumwondoa Dr. Ndarichako Necta
Rais kikwete aliwahi kuwaambia kuwa " Mnaona wenzenu wanavyowekeza katika elimu dunia! na ninyi mfanye hivo hvo"
Akija Mwislamu mwenzao watafaulu kwa kuwa alama za ufailu zitashushwa kama alivyofanya Kawambwa asijue kwa kufanya hivyo anazalisha mazezeta ambao watashindwa kufanya lo lote mbele ya safari. Yangu macho.