Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Status
Not open for further replies.
Naomba Mh.Pinda,Philip Mangula na Spika Anna Makinda wasome Biblia Takatifu. Esta:4,12-14.
 
Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda, mbunge wa Mchinga (CCM) ni mhusika wa karibu kabisa wa mpango huu.


Ndiyo sababu katika harakati hizi kila siku kelele na malalamishi ya hovyo humlenga ndalichako yaani ubaguzi na chuki za kidini.......

Sijawasikia hawa ndugu zangu wakimlalamikia au kumkejeri kawambwa kumbe kunaajenda ya siri nyuma yake....
 
Ujinga ungekuwa unaotesha mapembe,hawa wasingeweza hata kusimama kwa sababu ya ukubwa wa pembe zao,I hope mda si mrefu tutapata katibu mwislam atakayetekeleza ujinga huu kwa sababu support wanayopata serikalini inatosha kabisa.
 
FaizaFoxy nakundi lako huu ubaguzi ndiyotunaoupinga hatutaki tanzania kuvamiwa na watu kama Boko haram.

Tunataka Tanzania bora kwa watanzania wote, waislam. wakristu, wapagani na wote wenye imani zao bila ubaguzi tuishi kwa amani.

Hatuhitaji uchochezi kwenye nyumba za ibada usio na maana wala heri.
 
Last edited by a moderator:
Nimeambatanisha hapa PhD Dissertation ya Dr. Ndalichako kwa wale wenye appetite ya kuipitia.

Ni Mtanzania pekee mwenye PhD katika masuala ya mitihani.
huyu Dr alinifundisha masomo ya Measurement and Evaluation in education EP 202 & 402.
nilimkubali sana sana kwenye taaluma yake hii.

sijui ni kosa gani alilolifanya hadi watu wamwone kwamba hafai lkn kwa taaluma yake hii juu ya mambo ya mitihan watu wasimbeze manake anaijua vyema na yuko competent sana kwenye haya mambo ya testing and eveluation
 
Wapuuzi hawa wanapenda kujitenga wanajiona bora kuliko wengine wasome waache upuuzi tena wataendelea kuburuza mkia mpaka Mungu arudi!
 
Nimeambatanisha hapa PhD Dissertation ya Dr. Ndalichako kwa wale wenye appetite ya kuipitia.

Ni Mtanzania pekee mwenye PhD katika masuala ya mitihani.
Mi nawashangaa watu wanaomshambulia huyu mama. Kazi necta sio kufaulisha watoto ni kupima uwezo wao wa maarifa waliyoyapata toka shuleni yaliyosimaiwa na wizara ya elimu. Kama ufundishaji ni mbovu, anayehusika ni wizara si Ndalichako.
 
mwacheni mama afanye kazi yake bana.kulalamika hakisaidii cha msingi vijana watie juhudi na watafaulu tu.mbona hata sisi tumepita kwenye mikono ya huyo mama na hatuna neno nae!!?
 
hii nchi bwana kwa harakati za uzushi ??, sasa hakiondoka huyo Dr Ndalichako lile tatizo ndio litakuwa limetatulika ?? haya sasa Dr. huyo kwenye next level......

cha msingi sio kuangalia mtu mmoja au taasisi moja. hao (Waislam) la maana wangekaa vikao vya kutengeneza Sera nzuri za Taifa pamoja na kuangalia kasoro na changamoto za mfumo wa Elimu hapa Tz na si vikao vya majun**gu.
 
Mbna walilalamika rais c huyu apo kawapa nin zaid ya kuwatwanga mabom na riss???
 
Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda, mbunge wa Mchinga (CCM) ni mhusika wa karibu kabisa wa mpango huu.
Halafu huyu jamaa ali msafisha kabisa Mh Kawambwa kuwa hana makosa kabisa kwenye suala la kufeli kwa vijana wa darasa la saba,kama kuna mwana JF anaweza kutupa clip ya u-tube ya huyu jamaa utamsikia alichokuwa anakisema
 
Tembeleeni hapa mjionee vituko, Muslim University of Morogoro. 100% ya key staff wao ni dini moja halafu wanategemea kuona ubora katika elimu!

Na nyie waislam wenye fikra za kibaguzi: ifike mahali mtambue kwamba adui yenu si mkatoliki au mkristo yeyote yule. Adui yenu ni yule yule adui wa binadamu yeyote yule bila kujali dini, kabila au rangi, naye ni ujinga,maradhi na umaskini.
 
Majangaaaa kama kwenye ubunge wameweza kuweka mwanamke na mwanaume usishangae na hili wakakwambia wanataka wake makatibu wawili Muislam na mkiristu
 
Mbunge wa Mchinga, Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda (CCM) anatajwa kwenye nyaraka hizo kuwa shujaa wa harakati hizo.

Huyu mbunge ana udugu wa damu na Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa.

Hakuna undugu wa damu. Mtanda ni Mmakonde. Walihamia Bagamoyo katikati ya miaka ya tisini. Baba yake Mtanda alikuwa HAKIMU wa wilaya ya Bagamoyo. Nimesoma na Said shule ya Msingi Mwanamakuka. Nakumbuka alikuwa kichwa sana. Aliwahi kupata elimuu ya dinubaba yake yupo wapi kwa sasa lakirni ukweli ni kuwa Mtanda hana undugu na Kawambwa
 
hatuhitaji malumbano yote haya. tunchohitaji ni kimoja tu nacho ni kufuta masomo yote ya dini kwa shule za serikali kuanzia primary mpaka kidato cha sita, kupiga marufuku uvaaji au ubebaji wa aina yoyote ya nguo au kitu chochote chenye kiashiria cha dini. kuzuia baraza la mitihani na wizara ya elimu kujihusisha na mitaala ya dini au kutunga mitihani ya dini au kusahihisha mitihani yoyote ya kidini.
Masomo yoyote ya kidini katika mashule yanayoendeshwa na taasisi za kidini kutokutambuliwa au kujumlishwa katika matokeo ya mitihani yakitaifa.

NI MUHIMU KUTENGANISHA MASUALA YA KIDINI NA ELIMU YETU.
 
"Kuungwa mkono na baadhi ya viongozi wa chama na serikali hasa wale wa imani yetu" duj hivi vyama vitachafua nchi sijui chama gani hiki

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kosa lake kubwa ni ukristo laiti waziri wa elimu angekuwa mkristo asingekuwa salama.


huyu Dr alinifundisha masomo ya Measurement and Evaluation in education EP 202 & 402.
nilimkubali sana sana kwenye taaluma yake hii.

sijui ni kosa gani alilolifanya hadi watu wamwone kwamba hafai lkn kwa taaluma yake hii juu ya mambo ya mitihan watu wasimbeze manake anaijua vyema na yuko competent sana kwenye haya mambo ya testing and eveluation
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom