Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 5,361
- 5,153
...Hizo barua ukiziangalia kwa makini utagundua walio ziandika hawana akili kabis a na niwatupu kichwani.....
Barua ya kwanza imetumia lugha ya kiswahili ila kwenye anwani imeandikwa P. O. BOX 111, barua nyingine kwenye anwani imeandikwa S. L. P 611, TANZANIA, ilo Sandiku la Barua sijui lipo mkoa gani!