johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,977
- 141,986
Makamu wa Rais Dr. Mpango kwa niaba ya Rais Samia amemkabidhi Askofu mteule wa KKKT Kaskazini Kati Dr. Mollel tsh 10 mil kutumia kama atakavyoona inafaa kwenye Sherehe yake ya kuingizwa Kazini.
Aidha Dr Mpango kwa niaba ya Rais Samia ameagiza Tanroads Arusha wajenge kwa kiwango cha lami barabara ya kuelekea Kanisani hapo.
Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia.
Source: Upendo TV
Aidha Dr Mpango kwa niaba ya Rais Samia ameagiza Tanroads Arusha wajenge kwa kiwango cha lami barabara ya kuelekea Kanisani hapo.
Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia.
Source: Upendo TV