Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Status
Not open for further replies.

Mwanaukweli

JF-Expert Member
May 18, 2007
4,786
1,710
Kuna mpango wa chini chini wa kumng'oa Dr. Ndalichako kama vinavyoonekana vielelezo hapo chini.


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 
Kazi kweli Kweli, Lakini Mungu akiwa upande wetu Watashindanaaaa Lakini hawatashinda
 
Siamini macho yangu maana sasa tunakoelekea hakufai kwa lolote na kwa chochote.

Mpaka kufikia hapa nchi imeharibika na kuharibiwa kabisa, maisha niliyokulia ya amani

umoja na mshikano huko kijijini kabisa hapakuwa na aina yoyote ya mgawanyiko katika dini na imani za wote.

Kwa hapa tulipofika mungu pekee ndiye wa kulinusulu taifa la Tanzania maana hakuna Rais, waziri mkuu wala

utawara
bora wote ni vilaza tena wanatupeleka motoni.
 
Mbunge wa Mchinga, Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda (CCM) anatajwa kwenye nyaraka hizo kuwa shujaa wa harakati hizo.

Huyu mbunge ana ukaribu sana na Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa.
 
Hili baraza la wakuu wa shule ni kama baraza la vilaza fulani hivi. Ni Godfrey Binaisa yupi huyo aliyekuwa na PhD? Na haya yote yanahubiriwa misikitini bila kificho, serikali haiyajui? Au kina Othman na kina Mwema ndio wanaotajwa kama waislamu serikalini wanaounga mkono harakati hizo. Tutakuja kujuta baadaye.
 
Hao wate wanaelimu ya chuo, wanadhani watamweza mama wa watu.

http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/21220-ndalichako-elected-new-aeaa-president

Dr Ndalichako new AEAA's president


BY LUSEKELO PHILEMON|
19th August 2013


ndalichako-uk-aug19-2013.jpg

(NECTA) Executive Secretary, Dr Joyce Ndalichako


The Tanzania National Examinations Council (NECTA) Executive Secretary Dr Joyce Ndalichako has been appointed the new President of the Association for Educational Assessment in Africa (AEAA) during the Association's 31st Annual Conference ended in Arusha over the weekend.

The meeting involved more than 20 representatives of AEAA member countries.
Dr Ndalichako took over the reins of the AEAA Presidency from the Botswana Examinations Council (BEC) Executive Secretary, Dr Serara Moahi who has been at the helm of AEAA since 2012.

Before she assumed the AEAA presidency, Dr Ndalichako was the Association's Vice President during the 30th conference held in Gaborone in 2012.

Ndalichako's appointment to the AEAA Presidency stands to benefit the nation in the field of Assessment and Examinations.

Speaking soon after being appointed, Dr Ndalichako described the appointment as an honour to Tanzania, calling on educational stakeholders to team up with her in boosting country's education sector.

She stressed the need for examinations councils across Africa to remain innovative and come up with solutions to students' poor performance.

The AEAA promotes co-operation among examining and assessment bodies in Africa; encourages relevant examining and assessment activities among members; sponsors international participation in the field of educational testing and examining.

It also commissions research projects, addresses and shares experiences on issues of evaluation and assessment as well as to improve assessment, testing and examining within the individual member countries.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
He, hii ni hatari iliyoje? Hivi ni kwa nini Waislamu wako hivi jamani? Mbona hawezi kuishi bila vituko? Ok. Tuamini kuwa mkakati wao unafanikiwa. Ina maana watawapa wanafunzi wa Kiislamu marks za bure? Hawa wtu Mkapa aliwapa kilichokuwa chuo cha TANESCO bure wakakifanya chio kikuu chao lakini Wakristo waliangalia tu. Ndalichako angerudi tu mlimani aokoe maish yake. Kama ambavyo wameharibu wizara ya elimu kwa kushusha alama za ufaulu ndivyo itakavyokuwa na kwa NECTA na mwisho wa siku Watanzania watashindwa kushindana kwenye ulimwengu wa wasomi. Wajiulize. Uganda ilikuwaje baada ya kutawaliwa na mwislamu mwenzao? Bila shaka jibu wanalo.
 
Hili baraza la wakuu wa shule ni kama baraza la vilaza fulani hivi. Ni Godfrey Binaisa yupi huyo aliyekuwa na PhD? Na haya yote yanahubiriwa misikitini bila kificho, serikali haiyajui? Au kina Othman na kina Mwema ndio wanaotajwa kama waislamu serikalini wanaounga mkono harakati hizo. Tutakuja kujuta baadaye.

Majuto yatakuwa ni kwa wote wasidhani kuna kupona kama hali itakuwa hii.
 
===>Mimi huwa najiuliza kitu kimoja hivi akija Katibu Mkuu Mtendaji Muislamu pale NECTA hawa ndugu zetu watapata wote Div I,II au III?
===>Au atahakikisha kuwa vijana wao woote wanapewa MADESA ili wafaulu?
===>Ushauri wa bure kwa ndugu zangu waislamu,jaribuni kuwatafuta walimu wanaokwenda kwenye kusahihisha mitihani wawaambie uhalisia ukoje kabla ya kukurupuka kutoa haya Matamko na nyaraka zenye jazba
===>Boresheni mazingira na ubora wa shule zenu kuanzia kutafuta walimu wazuri,uongozi bora wa shule zenu.
===>Wekezeni kwenye Elimu,msilete maskhara na suala la Elimu,hakuna mtu atakaewalazimisha watoto wenu wakasome kama sio nyie wenyewe wazazi.
===>Panueni wigo wa udahali,miundombinu na vyuo vishirikishi vya Chuo chenu cha Morogoro,chuo kile tangu kilipoanzishwa hakina hata tawi moja mikoani hata Dsm hakuna,mnataka mkajengewe pia kile chuo?
===>Ndugu zangu waislamu mna uwezo mkubwa sana wa kifedha,wapo ndugu zenu kama wakina Bakhresa,Mohamedi Dewji na wengineo fanyeni harambee mpate pesa,mzisimamie vizuri na muwekeze kwenye Elimu,huduma za afya na maeneo mengine naamini mnaweza kufanya makubwa kuliko hata waliyofanya wakristo
===>Mungu awatie nguvu,naamini nitakuwa nimetoa angalau kamchango kangu japo kadogo lakini kanaweza kusaidia.
 
eti ana phd lkn hafai aondoke.

Hivi wanaamini kwamba ndalichako ndiye mchawi wa mass failure ya Muslims??
 
sasa hao maulamaaa wanatala nani ndio achukur nafasi ya ndalichako... Au ulamaaa Ponda ambae HAJUI KUSOMA kwa kauli ya Mufti Simba badala yake anajua Kucheza kareti.
 
aisee tulipo fikia pana sikitisha....nimejione vituko vya NSSF...lakini hivyi ni zaidi ya vituko, nchii ipo pabaya.
 
Wanapenda burebure,wanataka watoto wao wafaulu bila kusoma. Ukienda mlimani utakuta msikitini madesa ya practical za chemistry yaliyopelekwa na malecturer waislam.
 
Ndalichako aliwaambia wafanyakazi wa NECTA kwamba ameomba likizo bila malipo kuanzia Oktoba mosi mwaka huu lakini ukweli ni kwamba kwa muda mrefu sasa aliacha kufanya kazi za baraza kwa maelekezo ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na amekuwa akichunguzwa nyendo zake.

Kuna mambo mengi nyuma ya pazia kuhusiana na hatima ya Ndalichako ikiwamo mahusiano yake na genge maalumu lenye mahusiano ya siri na nchi moja jirani yenye nia ya kuhujumu mustakabali wa Tanzania ikiwamo elimu na Nyanja nyingine. Kumekuwa na tahadhari kadhaa zilizotolewa kuhusu vikao vya genge hilo lenye nguvu za ajabu na kwa NDalichako kuhusishwa kwake, imekuwa tishio kubwa kwa hatima ya elimu yetu. Kwa sasa bado ni tuhuma na ndio maana ameombwa kupumzika hadi ukweli utakapodhihiri na yeye kuwahi kujihami kwamba anaomba likizo bila malipo ya mwaka mmoja na si kwamba ametakiwa kukaa pembeni.

Suala la mitihani ya dini halikuwa suala la UDINI na hata Ndalichako na NECTA hawakuwahujumu wanafunzi wa Kiislamu bali ni uzembe na udhaifu katika mifumo na utendaji wa NECTA baada ya kuondolewa kwa watendaji waadilifu na wenye uzoefu na kubadilishwa kiholela kwa mitambo bila kuwapo maandalizi ya kutosha.

Kilichotokea ni ukokotoaji wa matokeo kwa mashine iliyoamriwa kukokotoa idadi ya masomo matatu badala ya mawili ya dini ya Kiislamu na matokeo yake wanafunzi wa Kiislamu walionekana kufeli katika mitihani yao ya dini si kwa kuonewa bali kwa uzembe na udhaifu huo. Kwa hili halina udini bali uzembe na wapo baadhi ya wanafunzi walioathiriwa na utaratibu huu na wapo waliopewa matokeo hata bila kufanya mitihani.
 
Huu mchezo walianza zamani. Zenj waliingiza wengi mlimani kwa asilimia kidogo na bado mfumo ukawakumbatia hakuna aliyekuwa aki-disco. Hawatuachi salama this time around wakiwasupported na wachovu wa kisiasa ndo tusiseme. God forbid...hii nchi yetu sote, tuishini kwa amani
 
Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda, mbunge wa Mchinga (CCM) ni mhusika wa karibu kabisa wa mpango huu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom