Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Status
Not open for further replies.
Ukiziangalia shule nyingi za kiislamu utaona hawa wenzetu wanamsonta Mama Ndalichako kwa kidole kimoja huku wakisahau kuwa vidole vinne vinawasonta wao,Kifupi hizi shule haziko serious kabisa na elimu dunia,niliwahi hudhuria graduation ya shule fulani ya kiislamu kule kahama kwa kweli kwa aina ya Walimu niliowaona pale pamoja na mazingira yake ckushangaa kwanini katika ile shule cku ikitokea vijana wakipata walau division two hata mbili basi ni Sherehe kubwa sana,Hebu badirikeni wenzetu muendeshe shule zenu vizuri hata kwa kuwaiga wenzenu Fedha boys,punguzeni kuajiri Walimu kajanja,punguzeni ratiba za nje ya darasa mtafaulu tu!


Najisikia fahari sana cheti changu kuwa na sahihi ya Mama Ndalichako
.

hiyo shule inaitwa Kahama Muslim Secondary! Ukilinganisha na shule za Katoliki pale utaona, Queen of Apostles (Ushirombo Sec) ya tatu kitaifa, Queen of Family Girls(kwa masista ya 25 kitaifa, John Paul Sec ya 78 kitaifa. Kahama Muslim ya 3000!! Ngono Kahama Muslim ni sunna
 
kweli kabisa usipinge mbona hata fr kitima wa SAUT amesom sharia huko lebanon. Na askofu kilaini amesoma islamic knowledge huko misri
Gwalihenzi yupo sahihi

mapadri wote wa kanisa katoliki wamesoma Uislam na hata sharia. Wanaujua uislam ndani nje, ila hawafundishwi at Secondary School level
 
Last edited by a moderator:
Siku Dr. Ndalichako ametoka NECTA wafanyakazi wa baraza watafanya sherehe! Walimu wanaosahihisha mitihani watacheka kwamba mnoko katoka.
 
Siku Dr. Ndalichako ametoka NECTA wafanyakazi wa baraza watafanya sherehe! Walimu wanaosahihisha mitihani watacheka kwamba mnoko katoka. Ila kwa madudu yaliyotokea, ajiuzuru
 
Huyu
mama nahukumiwa kutokana
na dini yake na si kitu kingine......Hizo barua ukiziangalia kwa makini
utagundua walio ziandika hawana akili kabis a na niwatupu
kichwani.....

mtoeni ndalichako ili nafasi achukue mbulula ponda ndio mnachokitaka
tatizo watoto wenu mna wa exploit ubongo kwa kuwafundisha maandishi ya kutoka
kulia kwenda kushoto ni sawa vile na ww mtu mzima ukiangalia
intelligence movie watu wasonga nyie mnalialia tu
 
Aliyeweka uzi huu ni
mchochezi na mfitinishi. yani haibgilii akilini kwa baraza kuu kutaka
kumng'oa ndalichako
ni ngumu sana kutetea mambo haya dini, kabila, jinsi, racial sasa wenzetu akina ponda wanashindana lakini hawatashinda hiki ni kizazi cha ISAKA
 
Siku Dr. Ndalichako ametoka NECTA wafanyakazi wa baraza watafanya sherehe! Walimu wanaosahihisha mitihani watacheka kwamba mnoko katoka.
Mkuu umenena. Huyu mama siku akiondoka NECTA wafanyakazi waliokuwa wamezoea kupata kipato kwa kuuza maswali ya mitihani watafanya bonge ya sherehe maana ni MNOKO sana yaani mianya yote ya wizi wa mitihani kaiziba sasa sijui anategemea wenzake wale wapi hajui kama mbuzi anatakiwa kula kulingana na urefu wa kamba yake?
 
Huu mchezo walianza zamani. Zenj waliingiza wengi mlimani kwa asilimia kidogo na bado mfumo ukawakumbatia hakuna aliyekuwa aki-disco. Hawatuachi salama this time around wakiwasupported na wachovu wa kisiasa ndo tusiseme. God forbid...hii nchi yetu sote, tuishini kwa amani

Wacha uongo wewe, wako wazenji waliokuwa wakifaulu with flying colours, wengine wakisup na wengine walikuwa discontinued kama wanafunzi wengine. Kutokana na idadi yao ndogo ukilinganisha na wabara ndiyo maana ulikuwa unaona hawadisco, lakini nawafahamu kabisa waliopigwa disco UDSM, SUA, Muhimbili....

MUONGO MKUBWA WEEEE!
 
Kwani ndalichako hatizami kalenda ya kitaifa hajui kama serikali muajiri wake anatambua sikuku za kiislam.vp yeye apange mitihani yakitaifa ya kidato cha 2 wiki iliyo na idd alhajji? Je wtt wanakaa bording wafanye mitihani au washerehrkee idd? hajui kama anajiongezeea maadui?
 
Mbunge wa Mchinga, Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda (CCM) anatajwa kwenye nyaraka hizo kuwa shujaa wa harakati hizo.

Huyu mbunge ana ukaribu sana na Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa.

Kumbe ndio siri ya maneno aliyozungumza bungeni kushutumu baadhi ya watendaji wa NECTA haswa bwana Joseph Mbowe eti ni mchakachuaji wa matokeo ya waislamu!! Poor indeed!

 
Kwani ndalichako hatizami kalenda ya kitaifa hajui kama serikali muajiri wake anatambua sikuku za kiislam.vp yeye apange mitihani yakitaifa ya kidato cha 2 wiki iliyo na idd alhajji? Je wtt wanakaa bording wafanye mitihani au washerehrkee idd? hajui kama anajiongezeea maadui?

Nina wasiwasi mkubwa na ufahamu wenu.....Ndalichako na mitihani ya form two anatoka wapi?
BTW, ulimsikia Kaimu Mufti alipokuwa akitangaza sikukuu kuwa itakuwa jumatano ambapo alikaririwa akisema waislamu wengi hawajui ni lini hivyo maimamu wawatangazie kuwa iddi itakuwa tarehe 16!! Sasa hata angpanga ndalichako hiyo ratiba ungemlaumu ikiwa hata wenye dini yao hawajui sikukuuu lini??

Hii ni kazi kuliko kwenda kazini!
 
Barua ya kwanza imetumia lugha ya kiswahili ila kwenye anwani imeandikwa P. O. BOX 111, barua nyingine kwenye anwani imeandikwa S. L. P 611, TANZANIA, ilo Sandiku la Barua sijui lipo mkoa gani!

Hao ndio wasomi wao wakikaa nyuma ya vipaza sauti walivyopewa saudi arabia kuja kukanusha Yesu si Mungu wakiongea na kuchanganya maneno mawili matatu ya kiingereza basi wanaonekana vipanga kweli kweli...
 
Mama wa watu hana shida yeyote ile,,, chonde chonde wanasiasa tenganishen siasa na utaluma wa mtu.
 
Hapa ndipo tumefikia, Tz,,, kuangalia nani yupo wapi.......tutafika tu....
 
Barua ya kwanza imetumia lugha ya kiswahili ila kwenye anwani imeandikwa P. O. BOX 111, barua nyingine kwenye anwani imeandikwa S. L. P 611, TANZANIA, ilo Sandiku la Barua sijui lipo mkoa gani!

Kitimoto ina maana hujui kusoma kati kati ya mistari au ?S.L.P. 611 ni anuani ya shura ya maimam wakiandikiwa na Baraza la Wakuu wa shule za Kiislamu Tanzania na S.L.P. 111 ni anuani ya baraza kuu la jumuiya na taasisi za Kiislamu wakiandikiwa barua na hao hao Wakuu wa shule za Kiislamu Tanzania.Kuhusu mkoa ni Dar s Salaam. Ushahidi huu ni kweli kwani ni scanned documents.Hii ishu ni hatari kwani harakati kama hizi zitadondosha kiwango cha elimu kuliko matatizo tuliyonayo sasa.Mama Joyce Ndalichako anafanya kazi nzuri na hana masihara na yeyote hata ndugu yake yeye anataka haki na usawa. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom