Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Kwani Islamic Knowledge ni milki ya waislam tu? mbona kuna waseminari wa kikatoliki ambao huisoma pia.
acha uongo wewe.
Kwani Islamic Knowledge ni milki ya waislam tu? mbona kuna waseminari wa kikatoliki ambao huisoma pia.
acha uongo wewe.
Ukiziangalia shule nyingi za kiislamu utaona hawa wenzetu wanamsonta Mama Ndalichako kwa kidole kimoja huku wakisahau kuwa vidole vinne vinawasonta wao,Kifupi hizi shule haziko serious kabisa na elimu dunia,niliwahi hudhuria graduation ya shule fulani ya kiislamu kule kahama kwa kweli kwa aina ya Walimu niliowaona pale pamoja na mazingira yake ckushangaa kwanini katika ile shule cku ikitokea vijana wakipata walau division two hata mbili basi ni Sherehe kubwa sana,Hebu badirikeni wenzetu muendeshe shule zenu vizuri hata kwa kuwaiga wenzenu Fedha boys,punguzeni kuajiri Walimu kajanja,punguzeni ratiba za nje ya darasa mtafaulu tu!
Najisikia fahari sana cheti changu kuwa na sahihi ya Mama Ndalichako
.
kweli kabisa usipinge mbona hata fr kitima wa SAUT amesom sharia huko lebanon. Na askofu kilaini amesoma islamic knowledge huko misri
Gwalihenzi yupo sahihi
Huyu
mama nahukumiwa kutokana
na dini yake na si kitu kingine......Hizo barua ukiziangalia kwa makini
utagundua walio ziandika hawana akili kabis a na niwatupu
kichwani.....
ni ngumu sana kutetea mambo haya dini, kabila, jinsi, racial sasa wenzetu akina ponda wanashindana lakini hawatashinda hiki ni kizazi cha ISAKAAliyeweka uzi huu ni
mchochezi na mfitinishi. yani haibgilii akilini kwa baraza kuu kutaka
kumng'oa ndalichako
Mkuu umenena. Huyu mama siku akiondoka NECTA wafanyakazi waliokuwa wamezoea kupata kipato kwa kuuza maswali ya mitihani watafanya bonge ya sherehe maana ni MNOKO sana yaani mianya yote ya wizi wa mitihani kaiziba sasa sijui anategemea wenzake wale wapi hajui kama mbuzi anatakiwa kula kulingana na urefu wa kamba yake?Siku Dr. Ndalichako ametoka NECTA wafanyakazi wa baraza watafanya sherehe! Walimu wanaosahihisha mitihani watacheka kwamba mnoko katoka.
Huu mchezo walianza zamani. Zenj waliingiza wengi mlimani kwa asilimia kidogo na bado mfumo ukawakumbatia hakuna aliyekuwa aki-disco. Hawatuachi salama this time around wakiwasupported na wachovu wa kisiasa ndo tusiseme. God forbid...hii nchi yetu sote, tuishini kwa amani
JK amteue Sheikh Ponda kuwa head wa NECTA!
Mbunge wa Mchinga, Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda (CCM) anatajwa kwenye nyaraka hizo kuwa shujaa wa harakati hizo.
Huyu mbunge ana ukaribu sana na Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa.
Kwani ndalichako hatizami kalenda ya kitaifa hajui kama serikali muajiri wake anatambua sikuku za kiislam.vp yeye apange mitihani yakitaifa ya kidato cha 2 wiki iliyo na idd alhajji? Je wtt wanakaa bording wafanye mitihani au washerehrkee idd? hajui kama anajiongezeea maadui?
Barua ya kwanza imetumia lugha ya kiswahili ila kwenye anwani imeandikwa P. O. BOX 111, barua nyingine kwenye anwani imeandikwa S. L. P 611, TANZANIA, ilo Sandiku la Barua sijui lipo mkoa gani!
Barua ya kwanza imetumia lugha ya kiswahili ila kwenye anwani imeandikwa P. O. BOX 111, barua nyingine kwenye anwani imeandikwa S. L. P 611, TANZANIA, ilo Sandiku la Barua sijui lipo mkoa gani!