Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Mpango wa kumng'oa Dr. Ndalichako

Status
Not open for further replies.
Naona matusi yamekuwa mengi sana toka kwa wakristo. Jamani msiwe wajinga. Ndalichako ndio kichwa cha baraza kama aliowateua ndio walileta mchezo mchafu inamaana yeye anatakiwa awajibike. Kwa usalama wake yeye mwenyewe avunje baraza na kuliunda upya ili kuondoa sintofahamu ya sikunyingi kati ya necta na waislam. Niulize,hivi kuna kigezo gani ambacho waislam hawana ili waweze kushika nafasi ya ukatibu necta? Tangu kuundwa kwa baraza akujawahi kuwa na muislam aliyeshika wadhifa huo kuna siri gani hapa? Ili uweze kujua siri iliyopo hebu acheni ubishi karejeeni kitabu cha Padr J.Sivalon ndio mjue kuwa waislam hatukurupuki kama nyie mnavyokurupuka hapa. NECTA imegeuzwa kuwa kama parokia kwani nchi hii ni ya wakristo pekeyao? Jinsi mlivyo wabaguzi tunawajua. Kwenye maofisi situpo pamoja? Mnaficha uozo eeeh!
 
===>Mimi huwa najiuliza kitu kimoja hivi akija Katibu Mkuu Mtendaji Muislamu pale NECTA hawa ndugu zetu watapata wote Div I,II au III?.

eti ana phd lkn hafai aondoke.

Hivi wanaamini kwamba ndalichako ndiye mchawi wa mass failure ya Muslims??

aisee tulipo fikia pana sikitisha....nimejione vituko vya NSSF...lakini hivyi ni zaidi ya vituko, nchii ipo pabaya.

Woote muko sahihi kabisa! Muhimu la kuelewa Hali ya nchi sasa hivi ni kwamba, kuna mkakati wa kujaza waislamu ktk serikali hata Kama hakuna faida kwa mtu mmoja mmoja.

mkakati uliopo ni kwamba mkuu wa taasisi yeyote anapokuwa ni muislamu, anapewa majukumu ya ziada, mojawapo ikiwa ni ajira kwa waislamu wengi. Hayo ndo yanatokea UDOM, NSSF, COSTECH, n.k. Ndo maana unaona inatajwa ajira ndani ya NECTA.

Ni wazi kabisa bila aibu akiwekwa muislamu anayekubaliana nao Kama wanavyojieleza ktk barua atafanya atakalo. Ndivyo inavyotokea ktk hizo taasisi tunazozitaja. Hakuna anayekemea mambo ya wazi ya upendeleo wa kidini yanayotokea ktk taasisi hizo. Taarifa zisizo rasmi zinasema, wanapongezwa na waliowateuwa na kuwataka waendelee.

Kwa ujumla jamaa hawa wanadeka, wanapongezwa kwa upuuzi. Watamwagia watu tindikali, watachoma kanisa moto, wataua padri bado kesi hazitakwenda.

Hebu jiulize kwa nini chuo kikuu cha kiislamu, morogoro kiwe na wanafunzi wa dini moja. Chuo ambacho kinachagua wanafunzi wake bila kuihusisha TCU na bado bodi ya mikopo inawapa mikopo! Wengine wakiwa hawana sifa ya kujiunga na university yoyote nchini kwa vigezo vya TCU!
 
Kama ndalichako hahusiki na mitihani ya kidato cha pili nani muhusika? Nadhani unakurupuka tu na husomi ukaelewa nani kakuandikia tarehe rasmi ya idd elhajji mm nimeandika wiki ya inayo angukia sikukuu ya idd. Na makamo mufti hukumuelewa alicho kusudia ni kuwakumbusha waislam sio kuamrisha.
 
Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda, mbunge wa Mchinga (CCM) ni mhusika wa karibu kabisa wa mpango huu.

kuchanganya elimu na siasa kunaipeleka elimu yetu kubaya, kama mwenyekiti wa tume wa kuchunguza matokeo mabaya ya mwaka huu kuwa katibu mkuu katika wizari hiyo hiyi ambayo nicta iko chini yake inamaanisha nini?
 
Kama ndalichako hahusiki na mitihani ya kidato cha pili nani muhusika? Nadhani unakurupuka tu na husomi ukaelewa nani kakuandikia tarehe rasmi ya idd elhajji mm nimeandika wiki ya inayo angukia sikukuu ya idd. Na makamo mufti hukumuelewa alicho kusudia ni kuwakumbusha waislam sio kuamrisha.

NECTA haihusiki na mitihani ya K2. Hiyo mitihani hutungwa na kusahihishwa na Wizara chini ya uangalizi wa kurugenzi ya Ukaguzi wa shule.
 
Naona matusi yamekuwa mengi sana toka kwa wakristo. Jamani msiwe wajinga. Ndalichako ndio kichwa cha baraza kama aliowateua ndio walileta mchezo mchafu inamaana yeye anatakiwa awajibike. Kwa usalama wake yeye mwenyewe avunje baraza na kuliunda upya ili kuondoa sintofahamu ya sikunyingi kati ya necta na waislam. Niulize,hivi kuna kigezo gani ambacho waislam hawana ili waweze kushika nafasi ya ukatibu necta? Tangu kuundwa kwa baraza akujawahi kuwa na muislam aliyeshika wadhifa huo kuna siri gani hapa? Ili uweze kujua siri iliyopo hebu acheni ubishi karejeeni kitabu cha Padr J.Sivalon ndio mjue kuwa waislam hatukurupuki kama nyie mnavyokurupuka hapa. NECTA imegeuzwa kuwa kama parokia kwani nchi hii ni ya wakristo pekeyao? Jinsi mlivyo wabaguzi tunawajua. Kwenye maofisi situpo pamoja? Mnaficha uozo eeeh!

Una maana gani kusema kwa usalama wake? What are you intenxing to xo to her? This is uncalled for.
 
Kama ndalichako hahusiki na mitihani ya kidato cha pili nani muhusika? Nadhani unakurupuka tu na husomi ukaelewa nani kakuandikia tarehe rasmi ya idd elhajji mm nimeandika wiki ya inayo angukia sikukuu ya idd. Na makamo mufti hukumuelewa alicho kusudia ni kuwakumbusha waislam sio kuamrisha.

Anayehusika ni Shukuru Kawambwa, kwa hiyo mwekeni kwenye orodha ya maadui wenu kwa kuwawekea Mtihani siku ya Idd elhajji na muandae maandamano ya kumng'oa kwa kuwa hajali kabisa maslahi ya waislamu Kidato cha Pili watafanya mthani siku hiyo
 
Kwani ndalichako hatizami kalenda ya kitaifa hajui kama serikali muajiri wake anatambua sikuku za kiislam.vp yeye apange mitihani yakitaifa ya kidato cha 2 wiki iliyo na idd alhajji? Je wtt wanakaa bording wafanye mitihani au washerehrkee idd? hajui kama anajiongezeea maadui?

Jamani Ndali hako hahusiki na mtihani wa kidato cha pili. Mwulizeni Kawambwa huo ni mtihani wa wizara kwa kuwa it is just a formative and not a summative exam. Kitu kama hujui uliza n usikurupuke. Ebo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom