Dah mzee wana bahati sana ,mimi nilipanga sehemu kipindi cha nyuma ,nikawa nalipa miezi 6 na hapo hapo mwenye nyumba akiwa na shida kodi yangu bado haijaisha nampa tena kodi ...
Ajabu siku nilipokuja kwama nikamwambia saiv siwezi lipa miezi 6 nina miezi mitatu ,alikataa na sababu mbali mbali ,oooh namtoto anasomesha shule ya ghali ,basi nikamwambia kodi yangu ikiisha ntahama ,kweli nikajikusanya nikamaliza kwangu hivyo hivyo nikahamia ,nikamwachia nyumba yake ampate mteja wakumpa miezi 6 , basi kwa miezi 3 alikuwa anatafta mpangaji mpaka kahisi labda nyumba nimeichawia kumbe wapi ,wakati mwingine masononeko na kumnyanyasa mtu ,mungu hukupiga kofi