Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,867
- 3,618
Hapo Inatakiwa akili pia, kwanza nikupongeze kwa moyo mzuri wa uvumilivu.
Pili hao ukisema uwafukuze haita pendeza pia wakiondoka kulipa deni dahau.
Cha kufanya nafikir kaa nao wakulipe nusu ya deni kwa mkupuo then kaeni andikishaneni awe analipa miezi 3 kabla. Huo utakua mkataba mpya.
Ila mmh najiuliza tu kweli hajawahi pitia hako ka binti au,
Any way utani tu hapo!!
Pili hao ukisema uwafukuze haita pendeza pia wakiondoka kulipa deni dahau.
Cha kufanya nafikir kaa nao wakulipe nusu ya deni kwa mkupuo then kaeni andikishaneni awe analipa miezi 3 kabla. Huo utakua mkataba mpya.
Ila mmh najiuliza tu kweli hajawahi pitia hako ka binti au,
Any way utani tu hapo!!
