Mpangaji wangu kashindwa kunilipa kodi

Mpangaji wangu kashindwa kunilipa kodi

Na Mimi na wengine humu wenye moyo wa huruma tunaomba uwavumilie,ukiona mkewe amefikia huko ujue 'no more option',wavumilie Mungu atakuepushia vitu ambavyo vingekugharimu pesa kubwa kuliko hiyo,na usifanye kitu kwa mkewe au mtoto wake hata wajipendekeze,najua wapo katika wakati mgumu sana..ASANTE KWA NIABA YAO.
kaka umesema maneno magumu mno, ila kumbuka nimewavumila mno mwaka wa pili sasa jamani...kweli? yaani hela ya kodi miaka miwili
 
sasa kama wanafanyakazi na wanalipwa iwaje watake kukaa bure?? wameifanya hiyo nyumba ya kanisa au, bora wangekuja hata na hela ya mwezi mmoja mmoja, hao watimue. binti wa form four akimaliza pepa watimue watafute pa kwenda
Umeona eeeeh awatimue tu wapangajji pasua kichwa sana
 
Usikalili maisha mkuu jambo lake la kodi ni haki yake na halina mahusiano na kesho yake
Umenena vyema ila hapo ni swala la kuchagua tu kati ya ubinadamu na haki. Penda kutoa kuliko Kupokea, Haya Maisha hata ufanikiwe kiasi gani ila huwezi tosheka.
 
kaka umesema maneno yanagusa mno, ial kumbuka nimewavumila mno mwaka wa pili sasa jamani...kweli? hela ya kodi miaka miwili
Mjomba asikushike akili huyo kama anayo huruma kweli kweli basi mwambie vitu viwili awachukue aishi nao au awatafutie nyumba nyingine. Kama awezi basi mwambie awalipie hata nusu yake. Kama awezi huyo muongo tu chukua maamuzi kimbiza ukienda wanajiliza ukigeuza kisogo wanakung'ong'a na kukushusha wanausemi wao wanasemega ananjaa tu
 
Nakushauri mkuu uwavumilie kama walivyoomba,fikiria mpaka mke na mtoto wake wanaomba hivyo ujue yamewakuta.Vinginevyo ukiona huwezi wavumimilia basi wape notisi isiyopungua miezi 3.
 
kaka pango ni Sh 300,000 kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 3,600,000 kwa miaka miwili ni 7.2m. ni hela nyingi sana wakuu.
Timua hao watu

nimesema Toa hao watu

nilijua zile nyumba kodi 25,000 kwa mwezi

Mtu hana hela analazimishaje kukaa nyumba ya kodi 300k kwa mwezi

Watoe nakwambia huruma itakuponza)

hizo 7.2M saivi ungekua umefanyia mangapi? aseee ebu niishie hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom