Mpangaji wangu kashindwa kunilipa kodi

Mpangaji wangu kashindwa kunilipa kodi

Daah nimebeb kama ndo mimi vile nkajikuta tuu naumia ..ukiona hadi mtoto amejaribu kukuomba nakushauri amini hili maana kama ingekuwa ni starehe anafanya baba basi mkewe na mtoto ungeona wanaonesha utofauti
Acha kijidanganya kama wanajenga na huyo binti kama analishwa maneno na mama ake hoya mjomba kimbiza kama unawaogopa nipe mm akili yako na sura yako kwa muda nikusaidie mm nawajua sana wapangajji janja zao
 
Usifadhaike,lipa pesa ya watu chap kabla haujaliwa ndogo!!

QUOTE="Smart Guy, post: 33469399, member: 404776"]
Baba chausiku ndo umeamua kuja kunishtakia humu Jf, hakika nimefadhaika sana.
[/QUOTE]
 
Hamna mkuu wameshampanga pia achana nae huyo binti wanaweza kukutengezea kesi kama amefanya hivyo atashindwa vipi kutengezea kesi ya mimba au kubaka au kuwagombanisha na shemeji. Mjomba mipango hiyo yote mama ake ndie anamtengeneza huyo binti
yule binti ni mcha Mungu sana, yule mama ni mcha Mungu mno....jamaa pia ana hofu ya Mungu ....kifupi hawajapanga ila ni kweli wamegota maana nimepeleleza kwa ndugu zao wa karibu mambo si mambo....

Mimi ni mtu jasiri huwa sitegeki kabisa na sijawahi maishani kwangu.....kifupi kama maisha haya ni magumu mno zaidi ya unavyodhani.....
 
kaka pango ni Sh 300,000 kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 3,600,000 kwa miaka miwili ni 7.2m. ni hela nyingi sana wakuu.
Acha upuuzi fukuza wajinga hao. Kodi ya laki 3 kwa mwezi na wako watatu tu. Acha ujinga wewe
 
mkuu hongera kwa uvumilivu na inaonekana wewe hunashida sana ya pesa

muda wa miaka miwili bila kukupa chochote? hii ni too much

hapa mjini kila mtu anaweza kumudu gharama ya makazi kulingana na kipato chake, huyo wako kodi kwa mwezi ni koasi gani?

kama ni kubwa zaidi ya laki 1 ni vema ukamtimua akatafute nyumba ya saizi na kipato chake but kama ni chini ya 60000 kwa hapo unaweza mvumilia kiubinadamu
 
Kimbiza kila mtu ana hali ngumu kama ungekuwa ww wasingekuacha na kama mm zamani nimeshakimbiza mm ukipitiliza mwezi mmoja bila taharifa ujiandae

Sio uungwana katika maisha kuna mitihani wote tunapimwa na Muumba huwezi jua kesho yako.
 
kaka Maisha ni SIASA na ndiyo maana kila nikiwadai wananijibu siasa tupu - ndo nimekuja hapa mnipe ushauri ila sitaki ushauri wa kisiasa.
Mkuu haya maisha kuna mengi tunapitia nami ninalo hilo nimevumilia sasa mwaka sidhani kama utapungukiwa kikubwa sana wajaribu kupunguza hata kwa awamu hali ni ngumu sana.
 
Huu ndo wakati wa kutumia HEKIMA na BUSARA kujipima kiakili hasa katika namna ya kufikiri na kufanya maamuzi ukilinganisha na hali ya maisha yetu ya sasa ya mtanzania. Nakushauri wavumilie tena ikiwa kweli hawana hela ya kulipa natumaini kama ni wapambanaji kweli watapata na watakupa kodi yako.
 
Observation:
Nimeona umem-mention huyo binti yao wa form 4 mara mbili bila reason yeyote ya maana.


My take:
Kwa kuwa umeweza kuwavumilia miaka miwili mi naamini unaweza kuwavumilia kwa lifetime na kuwamilikisha kabisa hapo wanapokaa pawe mali yao
 
Observation:
Nimeona umem-mention huyo binti yao wa form 4 mara mbili bila reason yeyote ya maana.


My take:
Kwa kuwa umeweza kuwavumilia miaka miwili mi naamini unaweza kuwavumilia kwa lifetime na kuwamilikisha kabisa hapo wanapokaa pawe mali yao
Anataka kutuambia huwa anatumiwa sms, kwa maana nyingine ana namba ya binti, anatka tumwambia amle binti.
 
Ni majaribu makubwa. Mi yalinikuta nilikuwa na Mpangaji driver wa malori ya mafuta. Kuna la mchezo walikuwa wanachezaga ngoma ikasanuka akafungwa miaka 3 huko Zambia. Mke wake na kichanga vikawa mzigo kwangu. Ikabidi niingize kwenye list ya familia yangu kwa maana kula , matibabu na Huduma zingine. Deni nilisamehe (ingawa si kiasi kikubwa kama chako). Jamaa alitoka jela na baada ya miezi 6 kalipa deni lote na ziada juu.
Sasa hivi ni zaidi ya ndugu kwangu ingawa hawapo tena kwangu kwani wamejenga huko Kisemvule.

Sema na moyo wako ingawa uwezekano wa kulipwa siuoni kwa issue yako.
 
.Mkuu Fuso, imenigusa. Kwani hadi leo hii tuusomapo ujumbe wako huu unawadai kodi ya miezi mingapi?
Kodi ni Haki yako na Lazima Uipate, lakini kuna wakati mwingine unajiwa na mitihani ambayo hujui hata inatokea wapi!
Kuna wakati huko nyuma katika maisha haya ya Upambanaji nilijikuta nikilazimika kupitisha miezi miTano kwenye Nyumba ya MTU bila kulipa Kofi!

Ilipofika miezi miwili nilimfuata baba Mwenye Nyumba na kumuambia kuwa anivumilie tu kwa sababu Kofi in Haki take na angeipaya tu ila nilikuwa nimesimamishwa kibarua nilipokuwa ninatumika...lakini Kodi take nisingeondoka Nyumba ile bila kumpa Kodi yake, hats kwa kukuacha vyombo vyote ninavyomiliki!

Ninamshukuru sana Mzee wangu yule alinielewa na akauchuna kuhusu suala la Kodi.

Nadhani alikuwa anaona pia hats suala la Diet lilivyokuwa hafifu kwa Mimi, make wangu na watoto wawili.
Ndio maana hats alipoenda mahali kama ferry kuchukuwa kitoweo cha jumla cha familia take, hakukosa kuniita na kunitupia samaki wawili watatu nasi tupate japo samaki Wa kukaanga...hata kama hatuna Unga.

Yakapita. Siku ya Siku mitihani ikaisha na nikaweza sio tu Kumlipa Mzee wangu yule Kodi ya Miezi Mitano niliyopitisha Bali nikaweza hata kulipa Kodi ya Mwaka Mzima.

Haishangazi sana miaka michache baadaye nikiwa ndani ya kakibanda kangu Siku niliyoletewa taarifa ya Mzee yule kufariki dunia ilikuwa Siku ya Huzuni sana Ndani ya Nyumba yangu...

Ndugu yangu Fuso, in Haki yako kupata Kodi ya Nyumba yako lakini pia iangalie hip familia ya Wapangaji wako.
Unawadai Kofi ya miezi mingapi?

Haki yako ya maisha ikoje!
Lishe yao ikoje?

Mwanaume mwenzako amepatwa na dharuba gani ya maisha?
Fahamu tu huko chumbani atakuwa anapata dharuba Kali zaidi kuliko ya unavyomdai yeye...ile ya kutoka kwa Make ya kwa Mimi hajajenga!!!

Tafakari, na chukua hatua njema Mkuu!!
 
kaka umesema maneno magumu mno, ila kumbuka nimewavumila mno mwaka wa pili sasa jamani...kweli? yaani hela ya kodi miaka miwili
Wabadilishie term of payment, wakipata kidogo walete. Kidogo walete, hadi itaisha, umewavumilia pakubwa mkuu, ongea na jamaa umsikilize, uwezo wake wa kulipa ni upi, wakupe kidogo kidogo hadi wafute deni
 
kweli ni hela nyingi ila kama ni watu wazuri wanaweza kukulipa hata nusu ya 7.2m, ongea nao tu ikishindikana basi waondoke, Una moyo wa kipekee mkuu my landlord akizidisha muda ni miezi 3 tu. for real they're very lucky to got a house like your’s and got a landlord like you, I wish I'll be your tenant.
Hao ma landlord mm mbona sikutanag nao , mm wiki tu ikipita kasheshe
 
Endelea kuwavumilia ukute wanajenga mdogo mdogo siku unakuta wamehamisha vyombo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom