Mpaka sasa Wizara zilizohamia Rasmi Dodoma

Mpaka sasa Wizara zilizohamia Rasmi Dodoma

watakwambia bado wapo kwenye mchakato,maana mda wa uongoz unaisha 2020..teh teh teh
 
Hauoni kikao CCM KILIFANYIKA IKULUbadala ya dodoma au lumumba ndo kuhama kwa wizara uko toka dodoma mpaka ikulu yan ckuile alikua anazungumzia chama
CHAMA CHA MAGEUGEU
 
Hauoni kikao CCM KILIFANYIKA IKULUbadala ya dodoma au lumumba ndo kuhama kwa wizara uko toka dodoma mpaka ikulu yan ckuile alikua anazungumzia chama
CHAMA CHA MAGEUGEU
 
Sasa hivi hata watoto wadogo walishawapuuza ndo maana wanatumia nguvu nyingi kutawala.
 
Hivi kile kipindi cha TBC kuhusu kuhamia dodoma bado kipo?
yule mtangazaji baradhuki Marine Hassan naona kaufyata kwa maana alikua anatoa sifa za dodoma ambazo hata hazikuwepo..lile tukio la kuawawa kwa wale watumishi wapima udongo liliwaogopesha wengi
 
kHAAAAAA...Yule jamaa wa kupiga sound mbona ashahamia muda
 
Kuna kawizara flani kalisema kenyewe katangulia kabla ya waziri mkuu, afu kalikuwa na madeni ya wazabuni. Wazabuni wakahoji wao hawajalipwa mda kitambo vp wamepata pesa za kuhama. Hii serikali hii!!
 
Nimesoma thread kuanzia mtoa mada na wachangiaji na kilichonistua ni kuwa mtoa mada hajatoa takwimu lakini kibaya zaidi wachangiaji nao hawana takwimu na wanaunga mkono hoja? Yaani kama stori za kwenye vijiwe vya kahawa. Natoa Pongezi zangu za dhati.
Wachangiaji unaowashutumu wamefanya exactly kama ulivofanya wewe. Hawakutowa takwimu kwa sababu hazipo. Kama wewe unazo basi ziweke zako.
 
Achunguzwe tu,kumbe na kenyewe ni kapiga dili alafu kanajifanya SAIT !
 
*Mbuzi Wa Bwana Heri
*Kala Mahindi Ya Bwana Heri
*Mambo Yote Ni Heri
 
Habari ya kuhamia Dodoma si kipaumbele chetu ni kudili na wavuta bangi na wauza viroba maana drug imetushinda
 
Hii nchi ya "Mzuka" tu... Kile kilikuwa kipaumbele cha mwezi wa nane/ tisa 2016. Baadaye mwezi wa kumi/kumi na mbili 2016 ikaja issue ya "Faru John". Hivi sana tangu Dec 2016- February 2017 issue ni "Njaa na Ukame"....

Chezea Tz wewe, nchi inayoongozwa na "Wataalamu" i.e Madr, Professors na other "elites of the sort"

In short Issue ya kuhamia Dodoma ishasahaulika sasa.
Sasa ni mwendo wa madawa ya kulevya
 
Wewe mpumbavu sana! Kwa Taarifa yako tarehe 28 Feb 2017 Wizara zote zitakuwa zimehamia Dodoma awamu ya kwanza
Kigwangala asipate tabu kutafuta wale vijana wasio na Marinda aanzie Lumumba mpo wengi imebaki wiki 1 kuna dalili ya wizara yoyote kuhama?.za kuambiwa changanya na zako dada yangu
 
Back
Top Bottom