Mpaka sasa Wizara zilizohamia Rasmi Dodoma

Mpaka sasa Wizara zilizohamia Rasmi Dodoma

Nimesoma thread kuanzia mtoa mada na wachangiaji na kilichonistua ni kuwa mtoa mada hajatoa takwimu lakini kibaya zaidi wachangiaji nao hawana takwimu na wanaunga mkono hoja? Yaani kama stori za kwenye vijiwe vya kahawa. Natoa Pongezi zangu za dhati.
Takwimu zako ziko wapi ni wale wale tuu
 
Kuhama bachelor ni tofauti na ukihama na familia yaani baba mama na watoto! Last kuhama sio mpaka ulale ulikoamkia! Sisi wengine madereva wa malori toka tulivyoamia hatujalala kwenye makaz mapya!
 
Kigwangala asipate tabu kutafuta wale vijana wasio na Marinda aanzie Lumumba mpo wengi imebaki wiki 1 kuna dalili ya wizara yoyote kuhama?.za kuambiwa changanya na zako dada yangu
Usiwe lofa wewe wizara kibao zinahama,hata ya huyo kingwangwala soon itakua dodoma,utumishi wengine wameiashatangulia
 
Nilikaa tu na kujiuliza mpaka sasa ni wizara ngapi zimehamia rasmi Dodoma? waziri mkuu alisema angeongoza suala hilo la kuhamia Dodoma. Nadhani bado anamalizia kuhamisha vitu vyake pole pole maana huwa ananeda siku moja mbili anarudi tena town.

Tamko lilitolewa pasipo kuwa fikra yakinifu inawezekana ilitokea tu aliyetamka kutokana na hisia akajikuta ametamka. Na kwa bahati mbaya watanzania mambo ya masikhara huchukulia serious na mambo serious huchukulia masikhara. Suala la kuhamia Dodoma wengine walilichukulia ni jambo serious likaandikwa hata kwenye magazeti na kutangazwa sana kwenye vyombo vya habari. Wakajitokeza watu mbalimbali hata kuchangia jambo hilo kana kwamba ni jambo kuuuuubwa sana.

Likatokea jambo serious sana, maafa ya huko Kagera na hata sehemu kadhaa kuwa an njaa hili halijawa issue kubwa sana kwa kuwa, sijui.

Sasa turudi kwenye swali langu la msingi MPAKA SASA NI WIZARA NGAPI ZIMEHAMIA RASMI DODOMA?
Kwani tokea SABODO Atoe milioni mia mbili za ujenzi WA ofisi mpya ya chadema ..jengo halijaisha?TOA KWANZA KIBANZI kilicho jichoni kwako
 
Kuondoka dar ngumu sn...rais mwnyw hana huo mpango
 
Msiseme Vitu vya Uongo jaman, kama hujui bora ukaa kaa kimya mpaka sasa Wizara 7 zimeshahamia na mpaka mwezi huu unaisha wizara zote zitakuwa zimehamia, Na Watumishi wanahama kwa zamu. Kwasasa wanaohama ni Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi na Wakuu wa Idara, kumbeni mmeambiwa Serikali yote itakuwa Dodoma 2020.
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Nilikaa tu na kujiuliza mpaka sasa ni wizara ngapi zimehamia rasmi Dodoma? waziri mkuu alisema angeongoza suala hilo la kuhamia Dodoma. Nadhani bado anamalizia kuhamisha vitu vyake pole pole maana huwa ananeda siku moja mbili anarudi tena town.

Tamko lilitolewa pasipo kuwa fikra yakinifu inawezekana ilitokea tu aliyetamka kutokana na hisia akajikuta ametamka. Na kwa bahati mbaya watanzania mambo ya masikhara huchukulia serious na mambo serious huchukulia masikhara. Suala la kuhamia Dodoma wengine walilichukulia ni jambo serious likaandikwa hata kwenye magazeti na kutangazwa sana kwenye vyombo vya habari. Wakajitokeza watu mbalimbali hata kuchangia jambo hilo kana kwamba ni jambo kuuuuubwa sana.

Likatokea jambo serious sana, maafa ya huko Kagera na hata sehemu kadhaa kuwa an njaa hili halijawa issue kubwa sana kwa kuwa, sijui.

Sasa turudi kwenye swali langu la msingi MPAKA SASA NI WIZARA NGAPI ZIMEHAMIA RASMI DODOMA?
Taaratibu ndo mpango mzima
 
Kichwa cha habari kingesomeka WIZARA ZILIZOHAMIA RASMI UDOM sio DODOMA.
 
Wangehamia kwa vituo. Sio moja kwa moja, mf. kwanza KIBAHA. kisga MDAULA. Baadae MIKESE. Then KIHONDA. Baadae tena GAIRO. Wangesogea KIBAIGWA. Wakifika CHAMWINO, tayari Dodoma hii hapa!
 
Watanzania tunahangaika na uchumi mbovu (per capita income) hatuhangaiki na wapi yawe makao makuu ya nchi

Viongozi wetu kila kuchao vichwa vyao vifikiri jinsi gani wataimarisha sekta za kilimo, ufugaji, uvuvi, na utalii ili kuongeza pato la mwananchi vinginevyo ni kupigia mbwa tarumbeta
 
Msiseme Vitu vya Uongo jaman, kama hujui bora ukaa kaa kimya mpaka sasa Wizara 7 zimeshahamia na mpaka mwezi huu unaisha wizara zote zitakuwa zimehamia, Na Watumishi wanahama kwa zamu. Kwasasa wanaohama ni Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi na Wakuu wa Idara, kumbeni mmeambiwa Serikali yote itakuwa Dodoma 2020.
Kinadharia au kivitendo?
 
Kwa vitendo Mkuu nenda Dodoma ukaone
0cdade9850a14c1a22043974b2b104df.jpg

Naona mkuu, vitendo-nadharia
 
Back
Top Bottom