CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Kwa huu Utopolo unaoendelea bila shaka Kila mtu amejionea kuwa kule bungeni ni muhimu kuwa na wabunge ambao sio kijani pekee.
Inshu ya Tozo kwamfano! Ni mpaka Wananchi wenyewe mtaani wanajisemea hakuna wa kuwasemea! Bungeni kule ni watu kupongeza tu.
Sasa hivi bei ya nafaka haikamatiki na hakuna mbunge anainua Sauti kusema!
Tukubali tukatae upinzani ni muhimu sana katika nchi yoyote Ili watu wasibweteke na kufanya mambo Kwa faida zao Binafsi.
My take
Mpaka kufika December kilo ya mchele itakuwa elf 4
Na CCM haitaona Tatizo!
Inshu ya Tozo kwamfano! Ni mpaka Wananchi wenyewe mtaani wanajisemea hakuna wa kuwasemea! Bungeni kule ni watu kupongeza tu.
Sasa hivi bei ya nafaka haikamatiki na hakuna mbunge anainua Sauti kusema!
Tukubali tukatae upinzani ni muhimu sana katika nchi yoyote Ili watu wasibweteke na kufanya mambo Kwa faida zao Binafsi.
My take
Mpaka kufika December kilo ya mchele itakuwa elf 4
Na CCM haitaona Tatizo!