On top of that, wamisionari walikuja kufuata rasilimali... so don't even mention them...
Mother Theresa alizaliwa ktk familia ya kitajiri sana, kama angezaliwa ktk familia masikini asingeweza kufanya alichofanya.
Unapoongelea gunduzi za wanasayansi... unaongelea pesa, someone had to invest money in it.Kitu ambacho kipo mpaka leo,... haijalishi umesoma kiasi gani, ukikosa pesa... you're useless.
So in one way or the other, success goes with money.I have made my point clear.
Na mimi mpaka leo, elimu niliyoipata naona hainisaidii chochote... so nataka nijifunze kulima vitunguu... nipate pesa, niwaajiri watu kama nyinyi mnisaidie kuongeza pesa so that mwisho wa siku niwe na POWER!