Mpaka leo sijaijua thamani ya 'X'

Jaribu kutumia paithogras theorem unaweza kuipata mbona ame nmeipata

Ukishindwa apo au ka hutaki shida tumia scientific calculator

Ukishindwa na apo njoo in box nikuazime yang hahahahaha hahahahaha hahahahaha

SIPENDAG UJINGA.
 
Tuchukulie mfano unafanyika utafiti leo hii.... ni vitu vingapi tulivyojifunza shule (ya msingi, sekondari O - level na Advance Level) vinatusaidia katika maisha ya kila siku?

Najaribu tu kuwaza kwa sauti... mpaka leo sijawahi kutumia Four Figure, wala logarithm, wala Calculus, wala Quadratic na nimejaribu sana kupata thamani ya X katika maisha... sijaipata.Daah!!

Nimetambua kuwa elimu niliyopata iliniandaa kuajiriwa na serikali na sio kujiajiri.Yaani mfumo mzima wa elimu umetengenezwa kukidhi mahitaji ya serikali na sio kukidhi mahitaji yangu.SMH!!

Hapo ndipo nakubaliana na bwana mmoja aliesema,"Tanzania wenye elimu wapo, lakini kati yao wasomi ni wachache sana" Eee si ndio... asa kumbe nini; watu wana degree zao na haziwasaidii chochote katika maisha.

Hivi: 'Marking scheme' inasaidia kupanua uwezo wa mwanafunzi kufikiri au inabana?
Unakumbuka kibao cha shuleni kwenu... kiliandikwaje?... Elimu ni ufunguo wa maisha / Elimu ni utajiri /Elimu ni urithi wa kweli n.k

Swali ni je, mwalimu masikini anaweza kukupa wewe mbinu za kufanikiwa katika maisha? Au mpaka sasa umeshawahi kufundishwa na walimu matajiri wangapi?

Wasomi wanaishia kuajiriwa na wasiosoma.Wasomi wana elimu sana, wasiosoma wana fedha nyingi.Yaani wale waliokuwa wanapata A darasani huwa wanaishia kuajiriwa na wale waliokuwa vilaza!!! Aisee yaani..Ni nadra sana kumkuta tajiri alieajiriwa.

Baba yako alikwambia soma sana uje kuwa na maisha mazuri,... mimi nasemaje; soma sana nije nikuajiri unisaidie kutafuta thamani ya X.

Let X be valuable papers(Money):p Tumia "Pie" = 3.14!!!

Mimi.. ninashukuru.
ni vizuri unapofanya kitu angalau useme umeipata wapi, huu mzigo umeukopi wote hapa. ni uungwana tu
 
Ts not bulls shit... actually ts bulls eye!!!

Actually VETA type of studies is ... just perfect! We should invest more into that stuff.

Nikiwa rais wa nchi, ntahakikisha nafumua fumua mfumo wa elimu.Kwanza ntafuta kabisa somo la HISTORY. Useless!!?!!
Umeandika ukweli mtupu ila mtu bila kujua historia yake ni tatizo... history haitakiwi kuondolewa
 
Akili za binadamu ziko elastic zinatanuliwa na maarifa, lengo la kujaza mavitu kichwani ni kuongeza na kutanua wigo wetu wa kufikiri! Basi! Find X baby!
 
Hayo mahesabu yanatumika kila siku katika maisha ila sema ni katika unconscious way pasipo kuelewa ni kama Yale ya darasani hii ni kwa sababu mahesabu yale ya darasani walifanya kuya modernize na kuyafanya yaonekane magumu yaani wameyafanya katika indirect way kiasi kwamba inapelekea mtu kushindwa kuyafananisha na yale anayotumia katika maisha halisi na kuona haya ya darasani ni magumu, hawakupoint moja kwa moja kama jinsi Leo tunavyoyatumia katika maisha huenda tungeyaelewa zaidi kwani ukweli mahesabu yanasaidia yanaongeza Uwezo wa kufikiri kufikiri kwa logic na pia yanasaidia kuwa nampangilio na faida nyingine kibao tu.
Faida ya kitu ni pale unapojua application yake na uki apply upate matokeo in a conscious state sasa kama peni imebuniwa na unaambiwa application yake ni kuandikia ila hujawahi ona ikifanya hivyo au hata ukiitumia kuandika isiandike kwa hiyo hapo faida ya hiyo peni itaonekana? Na watu waseme hiyo peni inaandika ila huwezi jua kama unaitumia.
 
Km hukuipata thamani ya "X" class, kuiot hku kwa mtaa itakua KAZIIII SANA
sema elimu yetu kweli Bado inatufanya tuwe tegemezi..
We mtu kasoma uchumi, yko kwake anatizama tv sebuleni na family yke, Lakini unakuta taa zimewashwa mpk chooni, bafuni, store n ktk vyumba vingne ambvyo hamna watu kwa muda Huo!! Ss huo uchumi anautumiaje?..
Kaenda ktk Hafla, anapakua chakula sahani Nzima halafu Anakula nusu sahani kilichobki sijui anabakz kwa ajili ya nani..
Kusoma ni part 01, Kuelimika nDio kitovu kikuu na Dhumuni la ELIMU
 
Tuchukulie mfano unafanyika utafiti leo hii.... ni vitu vingapi tulivyojifunza shule (ya msingi, sekondari O - level na Advance Level) vinatusaidia katika maisha ya kila siku?

Najaribu tu kuwaza kwa sauti... mpaka leo sijawahi kutumia Four Figure, wala logarithm, wala Calculus, wala Quadratic na nimejaribu sana kupata thamani ya X katika maisha... sijaipata.Daah!!

Nimetambua kuwa elimu niliyopata iliniandaa kuajiriwa na serikali na sio kujiajiri.Yaani mfumo mzima wa elimu umetengenezwa kukidhi mahitaji ya serikali na sio kukidhi mahitaji yangu.SMH!!

Hapo ndipo nakubaliana na bwana mmoja aliesema,"Tanzania wenye elimu wapo, lakini kati yao wasomi ni wachache sana" Eee si ndio... asa kumbe nini; watu wana degree zao na haziwasaidii chochote katika maisha.

Hivi: 'Marking scheme' inasaidia kupanua uwezo wa mwanafunzi kufikiri au inabana?
Unakumbuka kibao cha shuleni kwenu... kiliandikwaje?... Elimu ni ufunguo wa maisha / Elimu ni utajiri /Elimu ni urithi wa kweli n.k

Swali ni je, mwalimu masikini anaweza kukupa wewe mbinu za kufanikiwa katika maisha? Au mpaka sasa umeshawahi kufundishwa na walimu matajiri wangapi?

Wasomi wanaishia kuajiriwa na wasiosoma.Wasomi wana elimu sana, wasiosoma wana fedha nyingi.Yaani wale waliokuwa wanapata A darasani huwa wanaishia kuajiriwa na wale waliokuwa vilaza!!! Aisee yaani..Ni nadra sana kumkuta tajiri alieajiriwa.

Baba yako alikwambia soma sana uje kuwa na maisha mazuri,... mimi nasemaje; soma sana nije nikuajiri unisaidie kutafuta thamani ya X.

Let X be valuable papers(Money):p Tumia "Pie" = 3.14!!!

Mimi.. ninashukuru.

Inashangaza kuona mtu anajiita computer virus alf anakuambia kuwa hesabu haina thamani
 
Pesa haiwezi kuwa KIGEZO PEKEE cha mafanikio; na elimu lengo lake kuu haliwezi kuwa pesa. Kwa hiyo akina Albert Einstein, Gregory Mendel, Demetri Mendeleev, Pierre Currie, Galileo Galilei, John Maxwell na wanasayansi wengine, academicians, wanamapinduzi, wanasiasa waadilifu na wasomi wengine wote waliokufa bila kutajirika hawakuwa wasomi na hawakuwa na mafanikio? Mother Theresa alikuwa na mafanikio? Wamishenari walioacha makwao kuja Afrika na kwingineko mpaka wengine wakafia huko wakiwa masikini wa kutupwa walikuwa na mafanikio? Yesu Alikuwa na mafanikio? You have a myopic, childish, materialistic, selfish and crude view of education and human purpose on this planet na kama Afrika tunasimika na kuunda mitaala ya kusomesha watoto wetu kwa lengo la pesa kamwe hatutakaa tuendelee. With this type of core reasoning, THERE IS NO HOPE FOR AFRICA....and I am out!!!
Mkuu jamaa ana point sema labda ameshindwa kuiweka vizuri.
Ni hivi kuna ELIMU, MAARIFA na UJUZI.

ELIMU : Ni hiyo tunayoisoma mashuleni kwa kukariri zaidi nadhani wanaoelewa na kuitumia kimaisha ni chini ya 5% nadhani. Wengi wanasoma kwa ajili ya kuja kuajiriwa na si kwa ajili ya kupata maarifa au ujuzi. Tumeaminishwa toka ukoloni hadi sasa kuwa kusoma ndio kupata hela na kupata heshima mtaani, kitu ambacho sio kweli kabisa. Formula ya pesa nitaizungumzia hapo chini.

MAARIFA : Ni uwezo wa kiakili wa mtu, kujiongeza katika kitafsiri mazingira yake ya kimaisha ili kifanikiwa zaidi na zaidi. Maarifa humpelekea mtu asiyesoma elimu ya shuleni kufanikiwa sana na kama amesoma atafanikiwa zaidi.

UJUZI : Hauna tofauti na maarifa tunaweza sema ujuzi upo ndani ya maarifa, ujuzi unamfanya mtu kuwa mbunifu na kukua siku hadi siku bila kuwa tegemezi katika maisha.

Naomba niishie hapa ila niseme kuwa elimu bora ni wajibu wa serikali kuandaa mitaala bora. Nadhani ktk hili bado tz tuna tatizo ila wenzetu kenya wametushinda hili , ndio maana wao wakimaliza shule ni rahisi sana kujiajiri na kubuni njia mbalimbali za kutoka kimaisha kutokana na elimu waliyoipata
 
Mkuu jamaa ana point sema labda ameshindwa kuiweka vizuri.
Ni hivi kuna ELIMU, MAARIFA na UJUZI.

ELIMU : Ni hiyo tunayoisoma mashuleni kwa kukariri zaidi nadhani wanaoelewa na kuitumia kimaisha ni chini ya 5% nadhani. Wengi wanasoma kwa ajili ya kuja kuajiriwa na si kwa ajili ya kupata maarifa au ujuzi. Tumeaminishwa toka ukoloni hadi sasa kuwa kusoma ndio kupata hela na kupata heshima mtaani, kitu ambacho sio kweli kabisa. Formula ya pesa nitaizungumzia hapo chini.

MAARIFA : Ni uwezo wa kiakili wa mtu, kujiongeza katika kitafsiri mazingira yake ya kimaisha ili kifanikiwa zaidi na zaidi. Maarifa humpelekea mtu asiyesoma elimu ya shuleni kufanikiwa sana na kama amesoma atafanikiwa zaidi.

UJUZI : Hauna tofauti na maarifa tunaweza sema ujuzi upo ndani ya maarifa, ujuzi unamfanya mtu kuwa mbunifu na kukua siku hadi siku bila kuwa tegemezi katika maisha.

Naomba niishie hapa ila niseme kuwa elimu bora ni wajibu wa serikali kuandaa mitaala bora. Nadhani ktk hili bado tz tuna tatizo ila wenzetu kenya wametushinda hili , ndio maana wao wakimaliza shule ni rahisi sana kujiajiri na kubuni njia mbalimbali za kutoka kimaisha kutokana na elimu waliyoipata
Where is formula of geting money bytheway?
 
Back
Top Bottom