True, math's inaongeza thinking capacity. Wasi wasi wangu ni kuwa we're overloading.
Kichwa kimoja cha O-level kinasoma KISWAHILI, ENGLISH, BIOLOGY, CHEMISTRY, PHYSICS, MATH'S, CIVICS,GEOGRAPHY,HISTORY, COMMERCE... Halafu tunatarajia mtu huyu aje kuwa mvumbuzi kama Mark Zuckerberg????
Kwasabu kwa lundo la masomo hivyo manaake 99% wanakariri au wanasoma kwaajili ya mtihani na sio kwaajili ya kupata UJUZI.
Mwisho wa siku tuna wasomi ambao kwenye practical hamna kitu.Wana vyeti ila ukiwapa kazi wanachemsha...
Hence wasomi wamebaki kuwa watu wa kusubiri kuajiriwa.Na ukiajiriwa, kupata thamani ya X ni ngumu.... maanake ni kuwa neno "mafanikio" utakuwa unalisoma kwenye dictionary na kwenye magazeti.