Izzi
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 553
- 1,107
- Thread starter
- #21
Usinidanganye wala usijidanganye kuwa hesabu zote ulizojifunza umeshazi-apply ktk maisha.Utoto huu .
Hakuna hesabu hata moja isokuwa na matumizi .au faida
Ninachofahamu, asilimia 90 ya ulichojifunza kilikuwa kwaajili ya kujibia mtihani, tena ujibu kulingana na marking scheme not otherwise.
Utoto uko wapi.... kuhoji relevance ya mitaala yetu au kuendelea kufurahia uozo?