The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,057
- 115,409
kutosamehe?mh sina hakika lakini kimsingi kusamehe ni ngumu sana kwa mwanadamu!kuna jamaa yangu mmoja hivi aliwahi kunimbia bwana wewe kusamehe sio kitu rahisi i see Mungu mwenyewe alikuwa anawapa maadhabu kibao wamisri !alisema kama utani lakini ilinipa tafakari sana kiukweli!
bottom line
kusamehe kama haitoki moyoni
sio lazima