moyo wangu unavuja damu

kabla sijamaliza nikasema snowhite amepatwa na nini tena..

ana nyimbo nzuri Bahati ila huu sijapata kuusikia. naomba unitajie title ya wimbo.

oh pole my dear!thanks for caring!huo wimbo unaitwa NATAKA KUTENGENEZA NA MUNGU!ni single latest nafkiri kutoka kwa BAHATI BUKUKU.
 
Kama ni funzo mie nimejifunza it is not worth investing kumuokoa 'mbaya' wako ama aliekutenda! Imagine una shock ya kudanganywa na mwenza uliemuamini sana, halafu dr anataka 'akufadhili' unakubali tu. Hivi kama amepata hiv, asingepata mimba. Huyo cheater wake angemsamehe? Well, I wouldn't sleep with someone to save myself, neither will I do for someone else, who is not even worth it!
nimejifunza mwanamke hutakiwi kuwa golikipa
yaani hata shilingi ya soda umtegemee mumeo?
 
dah, nimesikitika sana nikahisi imekutokea ama imemtokea rafikio. ina fundisho zuri!
thanks for caring charminglady,haijanitokea mimi ila katika haya maisha mwenzangu,kuna mwalimu wangu mmoja hivi chuo alikuwa anasema"IN LIFE EXPECT UNEXPECTED"ni wimbo una mafunzo mengi sana kwa kweli
 
Dada yangu kwetu porini hii Redio safina inapatikana wapi? na hii single ni audio tu hakuna Video yake maana nina maswali mengi kwa BAHATI BUKUKU

mi mwenyewe niliisikia ghafla sana.....so sijui kama keshatoa audio.......jaribu kutafuta stesheni yoyote ya dini ya kikristo lazima utapigwa.....umeshika kasi sana wimbo huu........
 
mi mwenyewe niliisikia ghafla sana.....so sijui kama keshatoa audio.......jaribu kutafuta stesheni yoyote ya dini ya kikristo lazima utapigwa.....umeshika kasi sana wimbo huu........
ameshatoa ni audio tu video yake bado!
 
yaah hili pia ni funzo,manake hapo kama mtu una akiba fulani si unasolve tu hii habari ,lakini kuna watu hawataki wake zao wafanye kazi i see kisa wana uwezo wa kuwaprovide kila kitu!mke hafanyi biashara/kazi wala hasomi yupo tu kisa mume ana uwezo na kila kitu anchotka ni fridge open!basi ndoa mambo ya kumegwa bila mpangilio yanapokufika ndo kama hv!mi niliwaza katika uhalisia viatu vilinibana mkuu!nimehisi kama ningebaki na mihasira yangu hata kama ningekuwa na hela,ah!ngumu sana i see!


hivii hii ishu ya mwanamke kumegwa ili atatue tatizo la dharura kumbe ni very common eh?
naona hii ni option ya kila mwanamke sio?
 
Never Say Never!

Kuna saa unajikuta umeenda extra mile to save a 'bastard'

Roho ya mtu kubwa sana jamani, achia mbali baba wa watoto wako. Unadhani utakubali uone wanapoteza baba kirahisi?

Kama ni funzo mie nimejifunza it is not worth investing kumuokoa 'mbaya' wako ama aliekutenda! Imagine una shock ya kudanganywa na mwenza uliemuamini sana, halafu dr anataka 'akufadhili' unakubali tu. Hivi kama amepata hiv, asingepata mimba. Huyo cheater wake angemsamehe? Well, I wouldn't sleep with someone to save myself, neither will I do for someone else, who is not even worth it!
 
Kama ni funzo mie nimejifunza it is not worth investing kumuokoa 'mbaya' wako ama aliekutenda! Imagine una shock ya kudanganywa na mwenza uliemuamini sana, halafu dr anataka 'akufadhili' unakubali tu. Hivi kama amepata hiv, asingepata mimba. Huyo cheater wake angemsamehe? Well, I wouldn't sleep with someone to save myself, neither will I do for someone else, who is not even worth it!

angalau wewe umenipunguza 'bad thoughts with this'
 
The Boss wakati mwingine wanaume huwa wanawanyima wake zao kufanya kazi


Mie nna mfano hai....nnae rafiki kipenzi kabla hajaolewa alikuwa anafanya kazi.....baada ya kuolewa mume kamkataza kufanya kazi.....huezi amini huyu dada aliolewa toka mkoa mwingine akaletwa mkoa niliopo.....hajui hata sokoni panafananaje manake mume anamletea kila kitu.....akitaka kwenda popote mume anamchukua kwa gari......hajui hata maduka gani yapo upande gani.....yaani yupo yupo tu......amejaribu kulalamika kwa ndugu jamaa na marafiki ila mume ameweka msimamo kuwa sitaki mke wangu afanye kazi manake mie kipato changu kinatosheleza familia! Kabla hajamuoa alimwahidi kuwa atamfungulia mradi baada ya ndoa, ila nao umekuwa historia......aliolewa mwaka juzi mwezi wa 4.....mpaka dakika hii wala hakuna dalili ya mradi......mume hamnyimi chochote ila sasa ndiyo yaleeee siku yakimkumba ya kumkumba wala hatajua aanzie wapi! Hii mbaya sana asee!

Unafikiri likimkuta la kumkuta
anaweza kumegwa kirahisi?
 
sasa ulitaka amwache afe??

Hebu jiweke kwenye viatu vya mgonjwa uone?

hivii hii ishu ya mwanamke kumegwa ili atatue tatizo la dharura kumbe ni very common eh?
naona hii ni option ya kila mwanamke sio?
 
sasa ulitaka amwache afe??

Hebu jiweke kwenye viatu vya mgonjwa uone?

swali langu ni how common is this?
kuna wanawake wana wanaume rumande,na dhamana hawapewi...je hii ni option mojawapo?

mwanaume anadaiwa mfano,mke anasema ngoja nikazungumze na afisa mikopo...????/
umeeona?

na mengineyo......ada za shule mfano
mke anaenda shule anazungmza na head master....mtoto anaendelea kusoma...?????
umeonaa???????/
 
hivii hii ishu ya mwanamke kumegwa ili atatue tatizo la dharura kumbe ni very common eh?
naona hii ni option ya kila mwanamke sio?
sio kila mwanamke,ni mwanamke tegemezi tu ndo anaangukia hapa!nakumbuka nikiwa chuo nilikuwa nasikia mabinti wanachezewa sana na walimu plus kutongozwa sana,nikawa nawaambia wanawachezea hivo wakijua hamna uwezo wa kumudu darasani!hakuna mwanamke anaayejimudu anamegwa ili ajikwamue kwenye tatizo,huyu bidada wa kwenye story yangu ni tegemezi,kwake kumuona mume yuko pale kitandani hajitambui kulisimamisha kila kitu kwenye maisha yake,ule uoga wa hivi akifa nitaenda wapi?hvi nikimuacha afe niayweza kweli ?ndo anajikuta kashapanda kitandani chali!ingekuwa ni case tofauti sana kama angekuwa anajimudu i see!
 
swali langu ni how common is this?
kuna wanawake wana wanaume rumande,na dhamana hawapewi...je hii ni option mojawapo?

mwanaume anadaiwa mfano,mke anasema ngoja nikazungumze na afisa mikopo...????/
umeeona?

na mengineyo......ada za shule mfano
mke anaenda shule anazungmza na head master....mtoto anaendelea kusoma...?????
umeonaa???????/
kuzungumza sio lazima wamegwe bana!
 
kuzungumza sio lazima wamegwe bana!

Well kwa kuzungumza hivi inaweza pia kusaidia
wanaume tukajifunza namna ya kuzuia tatizo hili
na umuhimu wa kumjenga mkeo financially na kielimu
ili siku hata unakufa ghafla,heshima ya familia inalindwa..
 
Fifty fifty aisee

kuna watu shule walikuw na uwezo wa kupata B+ kwa akili zao, lakini wanagawa njugu ili wapate A.

Huko kwingine siwezi kupasemea, ila kwa hili la mtu yuko anapigania uhai??

Lazima limtikise mtu bana, kumbuka hakuna hata muda wa kuuza vitu home ili ulipie.

Hivi mtu akikuokoa kwa staili hii, ukipona unamhukumu??

swali langu ni how common is this?
kuna wanawake wana wanaume rumande,na dhamana hawapewi...je hii ni option mojawapo?

mwanaume anadaiwa mfano,mke anasema ngoja nikazungumze na afisa mikopo...????/
umeeona?

na mengineyo......ada za shule mfano
mke anaenda shule anazungmza na head master....mtoto anaendelea kusoma...?????
umeonaa???????/
 
Well kwa kuzungumza hivi inaweza pia kusaidia
wanaume tukajifunza namna ya kuzuia tatizo hili
na umuhimu wa kumjenga mkeo financially na kielimu
ili siku hata unakufa ghafla,heshima ya familia inalindwa..
wala si uongo,ni suala la kuandaana tu kuyakabili maisha in case of anything!unajua mi naamini mwananume asiyetaka mkewe awe na access na pesa yake mwenyewe ni mnyanyasaji,lakini pia kwa mwanamke kukaa tu ukkkitegemea pesa ya mume ni unyonyaji!mimi kwangu pesa yangu ni yakununulia vitunguu swaumu na wanja wa kungu!natunisha akaunti tu kila mwezi!aahahahhahahahhahhhha
 
Fifty fifty aisee

kuna watu shule walikuw na uwezo wa kupata B+ kwa akili zao, lakini wanagawa njugu ili wapate A.

Huko kwingine siwezi kupasemea, ila kwa hili la mtu yuko anapigania uhai??

Lazima limtikise mtu bana, kumbuka hakuna hata muda wa kuuza vitu home ili ulipie.

Hivi mtu akikuokoa kwa staili hii, ukipona unamhukumu??
KUSAMEHE NI KARAMA mkuu!
 
Utafanyaje? Kama uliapa kile kiapo cha kwa shida na raha, hali ya ugonjwa na uzima MPAKA KIFO kitakapotutenganisha. Nitaenda kumwuguza na kumpa faraja mpaka atakapopona. Kila siku asubuhi nitamsalimia kwa salamu ya pole kwa kufumaniwa mume wangu. !
 
ha ha ha
akinihukumu lazima nile kengele zake usiku.

Hivi unadhani ni raha kutoa njugu kama hongo?

Kuna mmoja alikuja hapa analalamika katoa hongo na umeneja kapata ila anajichukia sana.

Hata kwa mke si jambo rahisi kujitoa bure bure tu.

KUSAMEHE NI KARAMA mkuu!
 
Back
Top Bottom