sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Unafikiri likimkuta la kumkuta
anaweza kumegwa kirahisi?
Sina hakika The Boss .....hivi unadhani kumegwa kirahisi ni kazi rahisi eeh?
Nna hakika hata hapa kwenye hii mada tunachangia kirahisi vile hayajatukuta kiukweli......hivi wewe mwanaume atoke kufumaniwa afu ajeruhiwe then uje umegwe kumsaidia tiba???......kwangu mimi isingewezekana asee.....kiukweli ningemuacha afie huko ICU au aje huyo aliyemsababisha akajeruhiwa amegwe ili yeye apate tiba!
Tuchangie tu vile atupo kwenye ukweli halisi!
Last edited by a moderator: