Moyo wangu unaungua, Akili inaharibika, Mwili unakonda, Mapenzi yanatesa sana

Pole sana mkuu Ila usiishi na Sonona Muziki ni Dawa

Weka Muziki & enjoy your 'Past' is gone
🎶
Sisi sio Milima tutakutana
Sisi ni Pipo tutaonana
Sisi sio Visima tutasomana
Tukiwa km Pipo kitaumana umana
🎶
Nikiwa kwenye low vibe hua na-tune hio sounds vibe ya abha & remix-killer then life goes on nikiwa na high vibe
 
Ndio Dada nilifanikiwa kujifungua salama mwezi Disemba alhamdulillah mtoto mzuri wa kiume,
Mume bado hajarudi na hata kumuona mtoto hajaja, niliacha kulia sasa nina furaha na amani kila nikimuangalia Simba wangu ananipa sana nguvu na ujasiri,

Allah anikuzie kwenye maadili mema, amiin
Amin dear
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom