Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,485
- 5,818
Yaani 😮💨😭
Huyu dada tulioana naye kwa ndoa ya kidini. Ana tabia zote nzuri ila ni mtundu sana kitandani.
Mkiwa katikati ya show unakuta gegedo limeingizwa kusiko na ladha imebadilika kabisa. Nikishtuka nachomoa hapohapo.
Nimekuwa nikimweleza kuwa huo mchezo siutaki, kipindi cha uchumba cha mwaka mmoja na miezi mitatu alikuwa hana kabisa huo mchezo, ila miezi hii minne kiu yake ya huko uwani imekuwa kubwa na kunisababishia kero.
Nimemwonya kwamba sitokuja kufanya dhambi hiyo, naye anasisitiza kama sitaki basi nimwache huru atafute atakayewezana naye.
Huyu mwanamke tayari nina mtoto mmoja nimezaa naye, ana akili sana ya maisha. Ni mbunifu sana wa biashara na anajua kuzisimamia.
Anaupendo sana kwa ndugu zangu na ndugu zake na majirani pia. Ana kila tabia nzuri isipokuwa hiyo tu.
Huyu dada tulioana naye kwa ndoa ya kidini. Ana tabia zote nzuri ila ni mtundu sana kitandani.
Mkiwa katikati ya show unakuta gegedo limeingizwa kusiko na ladha imebadilika kabisa. Nikishtuka nachomoa hapohapo.
Nimekuwa nikimweleza kuwa huo mchezo siutaki, kipindi cha uchumba cha mwaka mmoja na miezi mitatu alikuwa hana kabisa huo mchezo, ila miezi hii minne kiu yake ya huko uwani imekuwa kubwa na kunisababishia kero.
Nimemwonya kwamba sitokuja kufanya dhambi hiyo, naye anasisitiza kama sitaki basi nimwache huru atafute atakayewezana naye.
Huyu mwanamke tayari nina mtoto mmoja nimezaa naye, ana akili sana ya maisha. Ni mbunifu sana wa biashara na anajua kuzisimamia.
Anaupendo sana kwa ndugu zangu na ndugu zake na majirani pia. Ana kila tabia nzuri isipokuwa hiyo tu.