Mkuu hata mimi sijui. Kwahio wimbo ni mmoja, nyimbo ni nyingi? Huwa nachanganya tu.
Kuna ule Pesa....ni mzuri ukiwa kwenye partying mood making it rain,if you what i mean....hebu funguka mistari gani ya mboga saba inakuhusu?mwenyewe nimemkumbuka tu kwenye mboga saba mashairi yake yananihusu huwa nacheka sana sijui hata wimbo wake mwingine
Mmh kwa wale wasiokufahamu eeeh, ntawashtua mapema mbonaBy the time unajua im or im not its too late....
Teh wimbo wanausikia na wanauimba vizuri tu, kama hauwahusu vileHii nayo naielewa kiaian...dedication kwa wale wanaopenda kufuatilia yasiyowahusu..
Teh labda nibembeleze kwa dinner kama hiyo ndo ntafutaHebu futa kauli tafadhali......Kwenye video ya moyo mashine naona ile dinner unayoiota! 🙁🙁🙁
Huyo Ben Paul hajawahi kukosea hata mara moja...One of my favourite Artist in Bongoametulia sana katika hiyo nyimbo
Unawapenda wakwe zako eeh (benny na Paulo lol). Afu waongezee barnaba boy (lover boy) na Christian Bella (nishike), hawa watu hapana tu
Aaaah yule beka naye ni noma, ila hajamfikia my lover boyTeh teh teeeh!! Ali Kiba(uniwache),beka.

Hata Ben Paul humfahamu?Kwenye hio list namjua Barnaba tu. Kweli niimepitwa na wakati.
Juzi kati nilikuwa nasikiliza redio nikasikia huu wimbo 'moyo mashine' nikajiuliza ni nani huyu anajua kuimba hivi. Kutafutatafuta nikaona jina Ben Pol, nishalisikia ila nikajiuliza wombo huu angepiga Diamond mjini pangekalika hapa?!!
Maanake kila siku nasikia Diamond....Dangote sijui nini na nini kumbe kuna vijana wengine wanajua kuimba namna hii!!!
NB: Sina timu jamani msianze kunishambulia, nimependa tu kazi ya huyu kijana. sio utani watoto wa siku hizi wanajuajua kuimba.
Hahhahahaaaa huku sio JF magari lakiniJamaa ana kipaji View attachment 409528
Sijui why sijawahi kum feel huyu msanii...
sijui why.....
Kwa ninKwenye hio list namjua Barnaba tu. Kweli niimepitwa na wakati.