Moyo Mashine....

Moyo Mashine....

Nyimbo nzuri sana.
Kupitia nyimbo hii Ben Pol amepata na anaendelea kupata mafanikio makubwa kiasi amesema hata akikaa mwaka mzima bila kutoa nyimbo.moyo mashine itaendelea kumlipa
Kubweteka. Ndo maana diamond kla ukfungua radio lazma uskie nymbo zake/kashrkshwa.
 
Kweli mr, wimbo kama .... tunakulaga... Sasa ndio ujumbe gani kwa jamii? Duuu hii basata hii
Ha ha ha ha kuna moja nimeisikia wanaimba 'masela tuna mageto....kama una geto onesha funguo'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom