stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,214
Juzi kati nilikuwa nasikiliza redio nikasikia huu wimbo 'moyo mashine' nikajiuliza ni nani huyu anajua kuimba hivi. Kutafutatafuta nikaona jina Ben Pol, nishalisikia ila nikajiuliza wombo huu angepiga Diamond mjini pangekalika hapa?!!
Maanake kila siku nasikia Diamond....Dangote sijui nini na nini kumbe kuna vijana wengine wanajua kuimba namna hii!!!
NB: Sina timu jamani msianze kunishambulia, nimependa tu kazi ya huyu kijana. sio utani watoto wa siku hizi wanajuajua kuimba.
Huyu kijana yuko vizuri sana nahisi anakosa promotion ya kutosha,ni tangu amenza kuimba Ben Pol ana sauti ya kiuimbaji,ila inapokuja kwenye maswala ya nyota ndio hapo unakuta watu kama wakina Diamond za kwao zina ng'ara sana.