Moyo Mashine....

Moyo Mashine....

Inabidi pia kuwa na spirit ya ujasiriamali wa music kama Dai pia lol + management ya uhakika
For real, hilo nalo ni tatizo kwa hawa wanamuziki wetu. B.classic amejifumbata kwa makaburu wa clouds wanamnyonya tu hata hakui.
 
For real, hilo nalo ni tatizo kwa hawa wanamuziki wetu. B.classic amejifumbata kwa makaburu wa clouds wanamnyonya tu hata hakui.
To be honest wasanii wengi under clouds wana talents za hatari, ila ndo huo ukaburu. Na wale clouds kujitoa kwao mmmh jipange haswaaa
 
To be honest wasanii wengi under clouds wana talents za hatari, ila ndo huo ukaburu. Na wale clouds kujitoa kwao mmmh jipange haswaaa
Ukijitoa ndio kifo chako, wanaua vile vipaji vikali hivi hivi!! So sad
 
Hii mistari inanikunaga acha kabisa.
Kabisa....sio unakuwa na mwanamke mpiga mizinga, tunataka mwanamke kichwa unampa mtaji sio mara lace wig,mara brazilian....inatakiwa mjiweke kufanywa....wajasiriamali.
 
Jamaa napenda nyimbo zake...anasikiliza mzee..mama..kijana...mtoto...babu...bibi.

Kuna nyimbo zingine haziangaliziki sebuleni na watoto
Kweli mr, wimbo kama .... tunakulaga... Sasa ndio ujumbe gani kwa jamii? Duuu hii basata hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom