Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Tumia muda wako mkuu, utamuelewa. Dogo anafanya vizuri. Sisi wa huku tunasema: JITIHADA HAISHINDI KUDRA. Ipo siku yake.Sijui why sijawahi kum feel huyu msanii...
sijui why.....
Tumia muda wako mkuu, utamuelewa. Dogo anafanya vizuri. Sisi wa huku tunasema: JITIHADA HAISHINDI KUDRA. Ipo siku yake.Sijui why sijawahi kum feel huyu msanii...
sijui why.....
Mkuu labda hao group I wako, lakini hapo group II, wanakaa mbele ya Ben.Wengi nawakubali
Ali Kiba,WCB....
katika wasio hit sana namkubali anaejiita 'future'
na Steve RNB
Thumb up.Ben pol sio mtu wa mchezo-mchezo
hata huu mzuri sana ila hata top 20 haukuwepo
Na huwa hawakubali.Wanamuziki wengi wanatungiwa nyimbo.
Ni kweli. Na kaandikiwa sana na AMINI.Nashukuru mkuu
Yes ni jambo zuri
*mbona naskia Linah toka ana zaliwa hajawahi tunga wimbo wake hata mmoja so ni swa tuu
Wengi wanapenda. Ndio mana shilole anauza. Anachofanya wala sio mziki.Inama kidogo shika magoti mi nimesimama kama ngongoti# matuc matupu
Hahaha ile "nashindwa", kwangu ndo wimbo bora wa Bella hadi leo. Now ametoa wimbo mwingine unaitwa "nishike", bonge la song kama kawaida yake.Huwa sipendi nyimbo style ya bolingo za ki congo lakini C. Bella kanibadilisha ile hit song yake 'mie mie mie mieeeeeeeeee....
Hio 'nashindwa' kama kawaida ilibidi niulize nani huyu ndio nikaambiwa ni c.bella bingwa wa vocals...barnaba sijasikia nyimbo ikanivutia.Hahaha ile "nashindwa", kwangu ndo wimbo bora wa Bella hadi leo. Now ametoa wimbo mwingine unaitwa "nishike", bonge la song kama kawaida yake.
Barnaba humsikilizagi lol
Aaaah nshomile acha utani, barnaba ni humuelewagi kweli au hujawahi kumpa attention ukamsikiliza vizuri? Anyway taste zinatofautiana sometimes, sijawahi sikiliza nyimbo ya barnaba afu ikawa mbaya. Ukiondoa bella, mtu mwingine mwenye vocal ya uhakika ni barnaba, afu anapiga vitu vyake effortlesslyHio 'nashindwa' kama kawaida ilibidi niulize nani huyu ndio nikaambiwa ni c.bella bingwa wa vocals...barnaba sijasikia nyimbo ikanivutia.
Tatizo huwa nawasikia redioni na huwa sina zaidi ya nusu saa kusikiliza redio fm. Kwahio muda huo ndio nikisikia kitu amazing kama Moyo Mashine ndio nachukua hatua kufuatilia. Si unaona mimi nineishtukia moyo mashine a week ago kumbe imetoka siku nyingi. Ila recently kila nikisikiliza redio hata 15mins naisikia.Aaaah nshomile acha utani, barnaba ni humuelewagi kweli au hujawahi kumpa attention ukamsikiliza vizuri? Anyway taste zinatofautiana sometimes, sijawahi sikiliza nyimbo ya barnaba afu ikawa mbaya. Ukiondoa bella, mtu mwingine mwenye vocal ya uhakika ni barnaba, afu anapiga vitu vyake effortlessly
eeeeh hilo nililihisi pia, ndo maana masong amazing mengi yanakupita. Sasa hivi barnaba ana- hit na "lover boy", utausikia tu coz unapigwa sana piaTatizo huwa nawasikia redioni na huwa sina zaidi ya nusu saa kusikiliza redio fm. Kwahio muda huo ndio nikisikia kitu amazing kama Moyo Mashine ndio nachukua hatua kufuatilia. Si unaona mimi nineishtukia moyo mashine a week ago kumbe imetoka siku nyingi. Ila recently kila nikisikiliza redio hata 15mins naisikia.
Track ingine nikiisikia lazima niongeze sauti ya redio ni Sweet Mangi....Kuna mistari mizuri sanaeeeeh hilo nililihisi pia, ndo maana masong amazing mengi yanakupita. Sasa hivi barnaba ana- hit na "lover boy", utausikia tu coz unapigwa sana pia
Huo huoooooNimeusikia...chorus 'dont call me lover boy....'
Ngoja nichukue lines hizo nizifanyie practical.🙂🙂🙂Huo huooooo
Najua ushaumizwa mengi sana, ushakutana na ma-heart breaker,
Ila sio mimi, I am a good boy.
Walishazichezea hisia zako mpenzi wangu,
mwisho wa siku wakakuacha ukilia
Mapenzi ukayachukia,
ila sio mimi....;I am a good boy, I am a good boy.....
Haha I'm your sweet mangi. Wamefanya vizuri kama kawaida yaoTrack ingine nikiisikia lazima niongeze sauti ya redio ni Sweet Mangi....Kuna mistari mizuri sana
'sitakununulia brazilian hair nitakupa mtaji wa kuwauzia brazilian hair...'
'sitaki nikufanye tu, nataka nikufanyr mwanamke mjasiriamali..'
Haha no need ya tongozo, drop hizo lines tu, kazi kwisha. Ila ndo uwe good boy kweliNgoja nichukue lines hizo nizifanyie practical.🙂🙂🙂

aahaaa mtaji ni wa peruvian hair bana.je mboga saba? wa blue jamaa katuponda sana mademu wa uswaziTrack ingine nikiisikia lazima niongeze sauti ya redio ni Sweet Mangi....Kuna mistari mizuri sana
'sitakununulia brazilian hair nitakupa mtaji wa kuwauzia brazilian hair...'
'sitaki nikufanye tu, nataka nikufanyr mwanamke mjasiriamali..'