Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
Hahahaani mzuri ila sio kiivo watu walivoushobokea
Nili ushabikia pia
*lakini naamini hukumfurahisha kila aliye usikia
Hahahaani mzuri ila sio kiivo watu walivoushobokea
Kuna jikubali,sofia,samboira,nikikupata,nk nk nkBefore hit song hii alitamba na wimbo gani? Siku nyingi zitakuwa zilipita.
ahahaaaWakija humu sikutetei.
Alikuwa ajauwona na kuusikia huo wimbo ndo mana leo anamsifia.Ulikuwa wapi kumsifia mda wote huo? Wanaume wa mikoani bwana
Hapana, alibadili lugha bwanaAhaaa jikubali ndio ali copy n paste?!

Nimemkumbuka, anaitwa lolimmwa sijui kama nimepatia spelling... Yeah kuimba ni jambo lingine na utunzi ni jambo lingine.. Tafuta Ngoma nyingine Ben amefanya cover ya Afro.. inaitwa Afro hivyo hivyo.. ni ile ya Les wa nyika.Nashukuru mkuu
Yes ni jambo zuri
*mbona naskia Linah toka ana zaliwa hajawahi tunga wimbo wake hata mmoja so ni swa tuu
Kwakweli.Alitusaidia tusiojua Kingreza! Okkkk
Alitungiwa na Goodluck Gozbert aliyeimba Ipo SikuBonge ya song
Naskia alitungiwa lakini
Naomba nijuzwe nani alimfanyia project kali hivo!!?
*namkubali sana ben pol
Unawapenda wakwe zako eeh (benny na Paulo lol). Afu waongezee barnaba boy (lover boy) na Christian Bella (nishike), hawa watu hapana tuBen Paul, yaani kati ya wasanii ninaowakubali ni huyu kijana, basi tu sijui ni nyota, ila this dude is good.
Nyie wanawake wa Dar, ebu punguzeni kutudharau sisi wa Ushirombo aiseeee..Ulikuwa wapi kumsifia mda wote huo? Wanaume wa mikoani bwana

Ona sasa unavyo muaibisha mwalimu wako wa kiswahili, shule ya msingi...Sawa karibu mjini ila usirime rami mura

AnhaaaAlitungiwa na Goodluck Gozbert aliyeimba Ipo Siku
Huwa sipendi nyimbo style ya bolingo za ki congo lakini C. Bella kanibadilisha ile hit song yake 'mie mie mie mieeeeeeeeee....Unawapenda wakwe zako eeh (benny na Paulo lol). Afu waongezee barnaba boy (lover boy) na Christian Bella (nishike), hawa watu hapana tu
Sidhani, mwimbo huu ni big G, hutausikia baada ya mudaNyimbo nzuri sana.
Kupitia nyimbo hii Ben Pol amepata na anaendelea kupata mafanikio makubwa kiasi amesema hata akikaa mwaka mzima bila kutoa nyimbo.moyo mashine itaendelea kumlipa