MoU kati ya Tanzania na jimbo la China, bidhaa nyingi kuingia nchini

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,327
24,232
MAKUBALIANO BAINA YA SERIKALI YA TANZANIA NA JIMBO LA SHANDONG LA CHINA KUIFANYA UBUNGO KUWA SOKO LA KIMATAIFA



Serikali kupitia makubaliano ya Memorandum of Understanding almaarufu MoU na jimbo la China la Shandong sasa kugeuza eneo la Ubungo kuwa soko la bidhaa toka jimbo hilo la nchini China na waziri mdogo wa uwekezaji wa Tanzania na kwa kutaja kwa uchache bidhaa hizo

  • Vifaa vya ujenzi
  • Mabati
  • Tiles
  • Milango
  • Madirisha
  • Nguo
  • Vifaa vya matumizi vya ndani /Home appliances
  • N.k n.k
Hayo yamebainishwa na naibu waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mh. Exaud S. Kigahe leo katika kongamano lilowaleta wafanyabiashara wa Tanzania na wale wa Jimbo la Shandong uliofanyika hoteli ya Golden Tulip na naibu waziri wa uwekezaji, viwanda na biashara wa Tanzania kuhimiza watanzania kuongeza thamani bidhaa za vyakula vya Tanzania ili kupeleka China

Tanzania imedhamiria soko la kimataifa la Ubungo Dar es Salaam kuwa kitovu cha kuvutia wateja toka nchi zote zinazopakana kwa mpaka na Tanzania ili kuja kununua bidhaa za China badala ya kupanda ndege kwenda hadi China kupata bidhaa hizo .
 
Back
Top Bottom