1. Maeneo mengi ya Morogoro mjini hayana maji toka June, 2022 wao wamekaa tu kama hawahusiki.
2. Sehemu zinazopata maji hasa eneo la Bong'ola, maji hayo ni machafu na hayatibiwi.
3. Bili haziakisi kiasi cha maji mteja alichotumia
4. Matatizo ya wateja hayafanyiwi kazi
4. Waziri wa maji tunakuomba uje uongee na wanao. Umeweza dawasa, hawa moruwasa hawakushindi.
2. Sehemu zinazopata maji hasa eneo la Bong'ola, maji hayo ni machafu na hayatibiwi.
3. Bili haziakisi kiasi cha maji mteja alichotumia
4. Matatizo ya wateja hayafanyiwi kazi
4. Waziri wa maji tunakuomba uje uongee na wanao. Umeweza dawasa, hawa moruwasa hawakushindi.