Waziri wa Maji fuatilia bili za DAWASA, wanawaibia watu na kuwafanya wananchi wamchukie Rais

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,505
51,106
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
 
Enzi za bwana yule ungetokwa mapovu kama yeye ndie anayeikuibia laivu saivi unalalamikia dawasa na sio rais mwenyewe. Je kama hayo ni maagizo toka juu
 
Nilidhani ni mimi tu. Nimetumiwa bill kuwa nimetumia units 15 ambapo kwa kawaida huwa haitumiki zaidi ya units 4 kwangu.

Mbaya zaidi katika kuonyesha hizo units 15 wameandika kuwa nimetumia kutoka units 385 mpaka 400 wakati huu mita inasoma unita 389.

Kuwapigia simu wananiambia nilipe kwanza halafu watafanya uchunguzi kukiwa na hitilafu watafidia malipo kama ziada ya miezi ijayo. Na anaejibu hivyo ni mpumbavu mmoja tu ambae hata maswali ya msingi hawezi kujibu.
 
Nilidhani ni mimi tu. Nimetumiwa bill kuwa nimetumia units 15 ambapo kwa kawaida huwa haitumiki zaidi ya units 4 kwangu.
Mbaya zaidi katika kuonyesha hizo units 15 wameandika kuwa nimetumia kutoka units 385 mpaka 400 wakati huu mita inasoma unita 389.
Kuwapigia simu wananiambia nilipe kwanza halafu watafanya uchunguzi kukiwa na hitilafu watafidia malipo kama ziada ya miezi ijayo. Na anaejibu hivyo ni mpumbavu mmoja tu ambae hata maswali ya msingi hawezi kujibu.
Wahuni sana. Bora wewe umeandikiwa umetumia unit kuanzia ngapi mpaka ngapi. Wengine hawajaandikiwa hiyo, wameandikiwa hela tu!. Jamaa wanataka kuficha information ili watu wasihakiki wenyewe!
 
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia Rais
Kuhusisha utendaji mbovu wa taasisi ya serikali na “kumchukia Rais” ni lugha ya propaganda za kikomunisti. Ni lugha ya ki- CCM. Hatuihitaji katika demokrasia makini.

Athari za kubambikiza ni kuibia na kudunisha uchumi wa wananchi, period. Who cares if the President smiles or sulks for the matter!
 
Kuhusisha utendaji mbovu wa taasisi ya serikali na “kumchukia Rais” ni lugha ya propaganda za kikomunisti. Ni lugha ya ki- CCM. Hatuihitaji katika demokrasia makini.

Athari za kubambikiza ni kuibia na kudunisha uchumi wa wananchi, period. Who cares if the President smiles or sulks for the matter!
Ndiyo maana ya mjadala. Mwandishi hawezi kuwaza kila kitu
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
tatizo lipo kwenye mita zao
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!

Una hoja za msingi, lakini ni kama umeathiriwa na huu ujinga ulioota mizizi wa kumuhusisha rais na kila jambo. Sikutegemea hata ww unaweza kuingia kwenye hizi propaganda uchwara!
 
Enzi za bwana yule ungetokwa mapovu kama yeye ndie anayeikuibia laivu saivi unalalamikia dawasa na sio rais mwenyewe. Je kama hayo ni maagizo toka juu
Huyo kimbwengo angekuwa Magufuli ndo Rais angekuja hapa anamlaamu yeye! Jinga sana hili jitu!
 
Kuomba njia nyingine ya malipo ni kukumbatia tatizo, je wengine waendelee kukabiliana na tatizo lililopo wakati wewe uliyegundua tatizo umechepuka? Tujenge hulka ya kutafuta utatuzi utakaofaidisha jamii nzima.
Prepaid wala si Kukimbia tatizo.....
Ni one way Ya kuzuia Non Revenue Water. ( faida kwa Mamlaka).
Mteja hana malalamiko tena.
Tumia as umenunua. ( faida kwa mteja )
Mwisho wa Siku mamlaka zote zitatumia prepaid.
Iringa washaanza 2021 zaidi ya wateja 5000 walikuwa washaunganishwa. ( kwa mujimu wa Katibu mkuu wa wizara wakati huo, Eng Sanga ).
 
Una hoja za msingi, lakini ni kama umeathiriwa na huu ujinga ulioota mizizi wa kumuhusisha rais na kila jambo. Sikutegemea hata ww unaweza kuingia kwenye hizi propaganda uchwara!
Nyinyi si ndo mnatakaga mambo ambayo serksali ya Samia inabidi ilaumiwe mnapindisha yakija mambo ya Serkali ya Magufuli lawama zote kwake! Jinga sana!
 
Mimi waliniwekea units 40 wakati mimi kwa mwezi natumia units 5 tuu..
Meter inasoma umetumia units 5 ..ila bili kubwa na units nyingi...

Nimepiga simu mpaka nimechoka..

Wanatuma msg kwamba watakuja kukata maji.. Nawasubiri.. Safari hii watanijua... Na maji yenyewe wanaleta baada ya wiki mbili maeneo ya Kinyerezi
 
Kagueni miundombinu ya maji, saa zingine connector zinavujisha.
Kwa mazingira ya Dsm ya mchanga mwingi ni ngumu kugundua maji yanamwagika.

Wewe naye soma Mita ili ulinganishe.

Jaribu weka Tank, jaza Tank afu funga kwenye Mita, kwenye koki inayopeleka maji kwenye mita.
 
Back
Top Bottom