Morogoro: Watu saba wakutwa wakitembea utupu

Morogoro: Watu saba wakutwa wakitembea utupu

Mimi hapa kitaa imekuwa ni kawaida lakini Wanawake ndio huwa nawaona zaidi
 
Mganga akishakula hela zako na bado unamsumbua anakupa masharti hayawezekani kiuhalisia...na wewe ukikomaa kama huyo bwana alivofanya inabidi sasa mganga yeye ndio ahame mji maana utakuwa umemshinda kwa kila kitu.
 
Sijawahi amini sabato ni dini,yaani ni full wanafiki hamna Mungu mule...haya ni maoni yangu binafsi
Acha chuki binafsi kwa imani za wenzako. Kila dini au dhehebu wakiamua kuchambana mabaya yao naamini hata wewe utaacha kwenda kusali kwenye hiyo dini/dhehebu lako unaloamini ndiyo safi. By the way nijuavyo mimi msingi mkuu wa wakristo ni biblia ambayo inatambua uwepo Mungu Baba, mwana na roho mtakatifu tu. Dini au dhehebu lolote linalokiri uwepo wa Mungu katika nafsi tatu na kwamba kristo ndiyo mwokozi hao ni Wakristo. Hayo makandokando mengine kila kikundi/ dhehebu linapuyanga ya kwake na mengi tu hayapo hata kwenye biblia mfano ibada za wafu (kuombea marehemu) n.k.
 
Ndiyo hao hapo
JamiiForums-492483968.jpg
 
Back
Top Bottom