Mokiwa: Hatutaongozwa na wanyoa vipara

Mokiwa: Hatutaongozwa na wanyoa vipara

Namuunga mkono askofu kwa hili.
Naona watu wanakurupuka kumpiga bila kupima kwa undani kauli yake.
Nadhani amehusisha upara na tabia flani flani ambazo si za kiongozi mkuu wa nchi.

We unasema watu wanakurupuka wakati we mwenyewe unadhani????!!!!
 
Yeye angesema htutaki majangili ccm ningemuhelewa sasa mtu kama lowassa,sitta na wssira migongo ilishapinda alafu ni wezi Wa ktupwa Wa nini sasa?? Ktu ni dk silaa aka ukawa
 
Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.

"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.

MOKIWA amesahau kwamba NCHI SIO KANISA.

Tunaongozwa na mtu tunayemuamini.

Njaa yake na PESA ZA lowassa ZITAMTOKEA PUANI
 
yeye angesema htutaki majangili ccm ningemuhelewa sasa mtu kama lowassa,sitta na wssira migongo ilishapinda alafu ni wezi wa ktupwa wa nini sasa?? Ktu ni dk silaa aka ukawa

january makamba atosha. Slaa anafaa zaidi kuwa mpinzani
 
Mokiwa aache kanisa aje kwenye siasa, ni aibu kwa askofu na taasisi kubwa anayoingoza kuwa na analysis kama hii. Hivi kuna mahusiano gani kati ya kunyoa na uongozi? Mbona Jacob Juma ananyoa kipara na anaongoza nchi
  • Mbona watu wenye nywele wameghubikwa na ufisadi wa richmond, iptl n.k
  • Sasa akili kuwa ubaguzi na unyanyasaji umeanzia kanisani kwake

Point of correction, Mokiwa haongozi kanisa lolote kwa sasa na tamko lake lisichukuliwe kama ni tamko la kanisa. Mokiwa aliisha staafu kuongoza kanisa. Na hata hivyo tamko lake lilimlenga individual sio wanyoa vipara wote!!!!! Tusitafsiri vibaya tamko lake.

Tiba
 
Aliwahi kuongelea mtu anayeutafuta urais huku akiongoza kwa kuwapua wake za watu?
 
Huwezi kutenganisha MOKIWA na Dhehebu la ANGLIKANA na huwezi kutenganisha Anglikana na USHOGA, Masharti ya CHADEMA kupewa misaada ni sera ya USHOGA, kuna nini nyuma ya pazia kufuatia kauli ya MOKIWA?

we m.p.u.m.b.a.v.u shika adabu yako

usikashifu dini za wengine au watu wengine kwa jambo usililolijua

rudi shule ukasome uelimike uweze fanya research ya comnents zako kabla hujaziweka hapa
 
Jamani mokiwa hajamaanisha kipara hicho mnachodhan.. Hv fasihi hamjui eti
 
Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.

"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.

njaa mbaya sana huyu mokiwa kanunuliwa kwa bei chee
 
Kwani jk alivyoongezea bajet ya matembez lengo ni nini kama si kuomba misaada
 
Point of correction, Mokiwa haongozi kanisa lolote kwa sasa na tamko lake lisichukuliwe kama ni tamko la kanisa. Mokiwa aliisha staafu kuongoza kanisa. Na hata hivyo tamko lake lilimlenga individual sio wanyoa vipara wote!!!!! Tusitafsiri vibaya tamko lake.

Tiba

Hapana Dada, unafikiri MOKIWA Kustaafu kunamuondolea sifa ya kuwa na lugha za staha? amekuwa kiongozi wa kwanza kabisa wa dini kuongea maneno ya mitaani.
 
Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.

"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.

kingine alichosahau ni kwamba hatuwezi kuongozwa na wavaa mitepesho inji hii bado changa sana.
 
Yeye angesema htutaki majangili ccm ningemuhelewa sasa mtu kama lowassa,sitta na wssira migongo ilishapinda alafu ni wezi Wa ktupwa Wa nini sasa?? Ktu ni dk silaa aka ukawa
 
juzi tulikuwa harambee kuchangia ununuzi wa gari ya paroko, niliwaeleza wazi natoa pesa yangu lakini gari ni lazima ubavuni iandikwe kwa maandishi makubwa kwamba gari hii ni ya parokia gani ili itambulike, mwenye magendo yake akodi tax ndio aende night club na guest house.

mokiwa hana akili na ndio maana waanglicana wamempiga chini uaskofu mkuu, jacob zuma ananyowa kipara na wasouth wamemwamini, hivi kama msomi wa level ya phd kama mokiwa anakuja na reasoning za kitoto namna hii bora mwanangu nimpeleke veta tu akapate ujuzi. tuna ombwe la wasomi wasioelimika Tanzania.

Mkuu Matola,
Kwa lugha ya sanaa,Askofu hakumaanisha tu Kunyoa kipara kama style.
Tamko lake lina maana pana zaid ya hivyo,kama vile hatuwezi kuwa na Rais mhuni na Blazamen,Sharo,nyangema ambaye aliachwa kwenye msafara wa Rais Marekani kwa sababu ya wanawake,Mtu ambaye kampeleka mkewe kujifungulia USA kwa kodi zetu for the sake ya mtoto wake kuwa na uraia wa states.
Hatuwezi kuwapa nchi wahuni.
 
Point of correction, Mokiwa haongozi kanisa lolote kwa sasa na tamko lake lisichukuliwe kama ni tamko la kanisa. Mokiwa aliisha staafu kuongoza kanisa. Na hata hivyo tamko lake lilimlenga individual sio wanyoa vipara wote!!!!! Tusitafsiri vibaya tamko lake.

Tiba

mimi naomba tuweke tu kumbukumbu sawa, mokiwa hajastaafu ila katika siasa za kanisa za Anglican mokiwa aliangushwa katika uchaguzi, hivyo basi mokiwa anabaki kuwa askofu tu wakawaida au wa heshima diocese zote ziko full zina maaskofu wake.

kwakifupi kabisa mokiwa hana connection ya kutafuna pesa za kanisa tena maana hana ofisi wala fund labda analipwa posho tu.
 
Hii ya siasa za kanisani inatuchanganya;
Wavue hayo majoho na hizo kola waje huku
tubebe bendera za vyama;

Wawafundishe watu namna ya kupata kiongozi bora,
siyo kuanza kunyoosheana vidole............
 
Mkuu usisahau kuwa wadhamini wa Kanisa la Anglikana ndiyo hao hao wafadhili wa CHADEMA na masharti ni yale yale ya USHOGA.

Je wafadhili wa chama cha CUF cha kiliberali ni akina nani?
 
Back
Top Bottom