mods wakianika PM zetu......

mods wakianika PM zetu......

Itakuwa hivi:
Inbox ya Mr Rocky: from Mamndenyi..." i can't take it any more nameza sumu ya panya".
Inbox ya Madame B....." kwa nini umechoropoa mimba yangu? From Ben Saanane"
Inbox ya Paloma.... marejesho kachoka sana,mhemko unaniua nisaidie from Filipo
Inbox ya sosoliso.....hivi wewe Paloma kakuroga? From Arabela
Inbox ya Erickb52......achana na Chocs jana nimemwona na Arushaone mount meru,please call amu
Inbox ya pou: hivi huyo King'asti unamjua uzuri? From gfsonwin
Inbox ya Dena Amsi.....we told you Mr Rocky karudi kwa mkewe

Ha ha haaa, Bishanga... Madame B hawezi kunifanyia hivyo
 
Last edited by a moderator:
Daaah watu mna mawao hahahaha teteteteteh napita tu hapa siku hizi nimempokea yesu

Ya kale yamepita na sasa yamekuwa mapya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom