Daaah watu mna mawao hahahaha teteteteteh napita tu hapa siku hizi nimempokea yesu
Ya kale yamepita na sasa yamekuwa mapya
Mmesikia??? Nasema hivi ondokeni!!!!!!
Thread closed!!!!!
Mkuu Bishanga Ninakuona unazeeka vibaya wachumba wote waliopo JF bado unawafuata wachumba zangu 2? sasa niambie nikuachie yupi kati ya hao wawili?Gggggggrrrrrrrr hupendi kucha zako sio?
Itakuwa hivi:
Inbox ya Mr Rocky: from Mamndenyi..." i can't take it any more nameza sumu ya panya".
Inbox ya Madame B....." kwa nini umechoropoa mimba yangu? From Ben Saanane"
Inbox ya Paloma.... marejesho kachoka sana,mhemko unaniua nisaidie from Filipo
Inbox ya sosoliso.....hivi wewe Paloma kakuroga? From Arabela
Inbox ya Erickb52......achana na Chocs jana nimemwona na Arushaone mount meru,please call amu
Inbox ya pou: hivi huyo King'asti unamjua uzuri? From gfsonwin
Inbox ya Dena Amsi.....we told you Mr Rocky karudi kwa mkewe
Naona umeanza kunisarandia mchana kweupee
Afu nimekuona mahali unapromotiwa mume wangumount meru wapiii....! Wakati nawaona hapa nikk pub mmejikunyata mnapigwa na baridi?
Afu nimekuona mahali unapromotiwa mume wangu
Taratibu binti
Lady doctor nakutafuta ujueamezidi kunifuata fuata nyuma! We huoni tangu ni promotiwe huyo mumeo hanipigii kelele tena?
Lady doctor nakutafuta ujue