mods wakianika PM zetu......

mods wakianika PM zetu......

kah! Nahisi nafuata nyayo zako ilo pepo linitoke kabisaa nitulie na my Chimbuvu hebu mlete mwenetu tumlee

Wewe,pepo hilo.
Chimbuvu bado hajanitamkia kuwa hanitaki.
Atoe tamko kupitia kwa mwenyekiti Baba V.
Mtoto wangu hatalelewa na mama wa kambo.
SITAKI!!!
 
Last edited by a moderator:
Wewe,pepo hilo.
Chimbuvu bado hajanitamkia kuwa hanitaki.
Atoe tamko kupitia kwa mwenyekiti Baba V.
Mtoto wangu hatalelewa na mama wa kambo.
SITAKI!!!

hivi wewe unamuamini baba wa kambo kuliko mama wa kambo?

Hebu mlete bwana, nawasiwasi akibaki kwako mapenzi yako na Chimbuvu yataendelea.
 
Last edited by a moderator:
hivi wewe unamuamini baba wa kambo kuliko mama wa kambo?

Hebu mlete bwana, nawasiwasi akibaki kwako mapenzi yako na Chimbuvu yataendelea.

Akha!
Kwanza kuna taarifa zimeenea kuwa mwataka kumfanya mwanangu ChiMa msukule ili mtajirike.
Sasa Ole wenu...
 
Wote nawaamrisha ondokeni kwenye thread yangu abaki Mamndenyi tu
 
Last edited by a moderator:
Mmesikia??? Nasema hivi ondokeni!!!!!!
Thread closed!!!!!
 
Akha!
Kwanza kuna taarifa zimeenea kuwa mwataka kumfanya mwanangu ChiMa msukule ili mtajirike.
Sasa Ole wenu...

mmmh.... Nani tena huyo katoa tarifa za uongo? Hebu niambie fasta...... Watu wanahamu ya kusutwa humu ndani?

My team anacondaaa.... Where a uuuuuu.......... Hebu njooooni na matarumbeta tusute watu humu ndani.

@ madame B huyo aliyesema aliniambia na mimi kuwa anataka akugeuze mbuzi wa kafara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom