Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
nisingalikuwa mgonjwa, nisingaliomba uhusiano huu na Lady doctor.
ok basi naomba niwe nakutibia nyumbani kwako ila wape taarifa kabisaa wakezo!
asante Lady doctor wewe ndo daktari uliyefuzu, wake zangu hawana tatizo manake mficha maradhi kifo humuumbua, hivyo haina jinsi we njoo tu unitibie. Tunaanza lini tiba?
huwa naanza kutibu pale mgonjwa anapoonekana kuzidiwa na ugonjwa, so ukiwa hoi bin taabani we nijulishe!
As of now joto limepanda mbaya.... Lady doctor
hebu jimwagie maji ya baridi kwanza lishuke
Haliwezi kushuka kwa maji baridi hadi lipate dawa nayo hadi uje unipime uzuuuri
Shindwa Shetani!
Kanyamaza au kaenda kusanya nguvu!!amezidi kunifuata fuata nyuma! We huoni tangu ni promotiwe huyo mumeo hanipigii kelele tena?
Kanyamaza au kaenda kusanya nguvu!!
amezidi kunifuata fuata nyuma! We huoni tangu ni promotiwe huyo mumeo hanipigii kelele tena?
Hahahahahahaaje tu na hayo maguvu yake, dawa yake ni promotion za The secretary atageuza mwenyewe kama sokwe mwenye njaa!
umeona eeMh tabia mbovu hiyo lol..
Mh tabia mbovu hiyo lol..
Shindwa Shetani!
Hahahahahaha
Naomba tu ubadili avatar b'se hako kawowowo kanamzingua