mods wakianika PM zetu......

mods wakianika PM zetu......

Ewaaa
na ndio maana wanaume wote wa humu mkisimama mbele yangu nawaona mpaka ndani kbs.

ebwanaeeeeeee, ila Madame B we si umeniachia hiyo kazi ya kukagua?

Ebu tuweke pembeni lile swala letu la kupimana kwanza
 
Last edited by a moderator:
Sie tulikaguliwa na mwanamke wa shoka, mwanamke rijali, Bi mkubwa Madame B!

hata mimi ni rijali, we njoo tu nikurenew, nataka niwakague vikongwe wote wa humu ndani.

Lazima mrenewliwe bana tuone kama bado kazi ya kulima mnaweza au ndio mkifika shamba mnatupa jembe nakukimbia halafu mnajiover doze kwa kuoa nyumba mbilimbili
 
Last edited by a moderator:

umezuga eeee
na hii pm uliyonitumia
tukutane kule mahali pia umezuga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom