Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
mjini shule tena 4m siksi.
kama simu yako ina ovi store itakuwa
vzuri zaidi. Nenda kwenye ovi store
utafute application inayoitwa f secure
n kama ukiikosa hyo waweza kuona
nyingne inaitwa netQin ant virus
yaaaani mkuu nilikuwa naogopa ila jamaa yangu alikuwa anajiamini sana wangeanzisha vurugu je? wangevunja vioo je? halafu jamaa yangu alikunja notebook yake akaweka kiunoni na kuficha na shati eti bastola haha...jamaaa walitoa macho kama wamebanwa na mlango....kila akiongea utasikia anasema nitakuvunja miguu ukijaribu kukimbia.
MMMMH..HADITHI YAKO INATUFUNDISHA NINI?oa
kama simu yako ina ovi store itakuwa
vzuri zaidi. Nenda kwenye ovi store
utafute application inayoitwa f secure
n kama ukiikosa hyo waweza kuona
nyingne inaitwa netQin ant virus
Kusoma huwezi,hata picha huoni?!!BelivdatMMMMH..HADITHI YAKO INATUFUNDISHA NINI?oa
Ni kweli F-Secure ni trial..hebu jaribu NetQin ambayo inafanya vizuri hadi kwenye mambo ya virus. Kama huipati kwenye ovi store itafute kwenye GetJar..(www.getjar.com)Mkuu nimepata F-secure lakini mbona nimepata trial version ya siku saba
Mkuu nimepata F-secure lakini mbona nimepata trial version ya siku saba
hata nokia mobile tracker yake mtu akiiba akabadilisha chipu simu itapiga makelele njia nzima na hataweza kuifungua hata akiipeleka kuiflash