The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,193
- 103,006
Wewe uliyeongea na Roma tuambie basi.Kwan wewe unadhan Mo yale ni maneno yake?kaongee na Roma then utajua
Wewe uliyeongea na Roma tuambie basi.Kwan wewe unadhan Mo yale ni maneno yake?kaongee na Roma then utajua
Na hao walinzi nn kiliwazuia kuwasiliana na polisi kiasi mambo leo na wengineo wakaenda kumuona mo nyumbani kwake?kwa nini haikuwa polisi then hospital kujiridhisha uzima wake?Hapo napo bado yanaibuka maswali mengine kwa hao walinzi, ni wakati gani wamegundua uwepo wa hiyo gari hilo eneo, inasemekana wao ndio waliomfungua kamba alizofungwa. Hawakuona chochote zaidi ya kuikuta tu hiyo gari ikiwa imeachwa?
Nani alikuja nayo, aliondokaje na vitu kama hivyo.
Kwa hiyo sasa hv hawawezi tena kukamatwa?Uwezo wako wa kutafakari ni mdogo Sana Kama wa mende.
1. Bunduki walizinunua/waliziandaa ili kufanikisha zoezi la kupata pesa. Kumbuka walifyatua risasi wakati wa zoezi la kuteka so maganda ya risasi yalichukuliwa na polisi. Kupitia hayo maganda ya risasi wataalam wa polisi wangebaini ni bunduki hiyo/hizo ndizo zilizotumika. Kwa wenye uelewa ni lazima wazitelekeze kwa lengo la kupoteza ushahidi. Hivyo kushindwa kufanikiwa kwa zoezi lao ndiyo ilikuwa ukomo wa kuwa na hizo silaha
2. Watekaji siyo waliyompa MO cm ya kuongea na nduguze bali RAIA wema waliyomuokota
3. MO hakuwa na cash money na ili ipatikane cash money ilikuwa ni lazima afanye mawasiliano kupitia hayo mawasiliano watu wa cyber wangebaini location na ingekuwa ni rahisi kuwakamata
4. Mipaka ya nchi ilifungwa so wasingeweza kutoka nje ya nchi ambako wangekuwa na Uhuru wa kufanya communication
Kwa mazingira hayo Kama una akili ya kupambanua mambo ilitakiwa uwasifu hao watekaji ya kuwa wana uelewa mkubwa Sana wa maswala ya kiupelelezi. Kwa kurumia uelewa huo wamefanikiwa mukwepa mbinu zote za kukamatwa wao sambamba na kukamatwa na vielelezo
Hiyo umesema weweKwa hiyo sasa hv hawawezi tena kukamatwa?
Na hao walinzi nn kiliwazuia kuwasiliana na polisi kiasi mambo leo na wengineo wakaenda kumuona mo nyumbani kwake?kwa nini haikuwa polisi then hospital kujiridhisha uzima wake?
Ili na mm nitekwe?Wewe uliyeongea na Roma tuambie basi.
Wanafanya jaribio la kuichoma gari,"wanashindwa" inawezekana ile gari imetengenezwa kwa madini ya asbestos. Na eneo walipomwachia haiingii akilini kwani ni eneo lenye ulinzi mkali. Drama nyingine ni kuacha silaha ndani ya gari. Mi naamini " kuchamba sana utatoka na mavi"Tanzania, watekaji wanatoka nchi jirani wanataka hela hawasemi ni kiasi gani halafu wanakuachia wanakupa simu halafu wanaacha bunduki na kupotea
Nyani Ngabu hii habari imetikisa kuanzi Latin America , Australia , Canada, hapo EU na mashariki ya kati. Hii kitu ina impact sijui ni kwa namna gani lakini ni habari ya mijini huko duniani
Ulichokosea ni kutokufuatilia nilichoandika awali, mtekwaji na habari zilizotolewa na wazee wetu ndio wamesema walinzi ndio walimpatia jamaa simu akawasiliana na ndugu zake. Hoja yangu ya walizi ndio ilianzia hapo. Nafikiri umenielewa.
Inategemea unaongelea Gymkana ipi, kuna siku mida kama ya saa moja jioni nilikua pale ufukweni usawa wa Gymkana nipondani ya gari, nilishangaa gari lapolisi wale wenye silaha wanaofanya doria walinibudhi sana na kunigombeza sana, walikagua gari kutaka kujua kwanini nipopale mida ile huku wakisema mambo mengine kuwatafutia lawama tu kwa vile pale ni eneo hatari ningeweza hata kuwa nimeshakatwakatwa kama sio kuvamiwa.
Sijataja Ikulu kwa sababu nilikua narejea maelezo yaliyotolewa jana, ukiniongezea huo mzigo utakua unanionea.
Nyani Ngabu hii habari imetikisa kuanzi Latin America , Australia , Canada, hapo EU na mashariki ya kati. Hii kitu ina impact sijui ni kwa namna gani lakini ni habari ya mijini huko duniani
Kwa hiyo watekaji walimkabidhi kwa walinzi?
Hiyo hadithi ya simu ya walinzi imekuja baada ya watu kuhoji kuhusu simu
Mkuu ukichoma moto gari ina maana unazalisha moto mkubwa ukiambatana na moshi na hapo inakua ni rahisi kugundulika hata na mtu aliye mbali.
Mkuu waweza kuwa sahihi kabisa, lakini kwa vyovyote vile wakora hao lazima wana mahusiano na system eitha officially or unofficially. Hakuna mkora anaweza kutumia maeneo yale kuhusisha ukora wake bila hofu.Pamoja na kuwa suspect mkubwa ni system
Bado kuna chances wazazi wa MO walipeleka mzigo, a.k.a ransom au hela!! they will never tell us anything
mzee alikuwa wa kwanza kupigiwa simu, kuliko hata mke wa jamaa!!
Aisee af wanaongea lugha ya kibabeli haieleweki ni ki Zulu, ama kiingereza ama kiswahili ipo ipo tuAfu wanataka kuchoma gari moto lakini wanaogopa...
Hivi unajua kuna watu hadi leo hawajawah kusoma na kuelewa mabalozi wa nyumba kumi hasa baada ya vyama vingi. Wengi Bado wanadhan hawa mabalozi ni wa Ccm tuSiku hizi hakuna kitu.
Waulize akina Jokakubwa ,Mag3 Fundi Mchundo zama hizo balozi wa nyumba kumi na majukumu na heshima yake
Kwa taarifa yako balozi wa nyumba kumi zama hizo alikuwa mjumbe bila kujali vyama
Bado kabisa na hujui nini ilikuwa Tanzania kiulinzi. Hakuna kitu siku hizi usijidanganye
Mkuu waweza kuwa sahihi kabisa, lakini kwa vyovyote vile wakora hao lazima wana mahusiano na system eitha officially or unofficially. Hakuna mkora anaweza kutumia maeneo yale kuhusisha ukora wake bila hofu.
Na kama ni wakora wenye mahusiano na system lakini unofficially basi lazima wana MTU ambaye ni untouchable na asiye muogopa yeyote maana anayeogopwa pekee yeye anammudu. JEE NI NANI HUYO?
Unauhalika gani? Au ndiyo speculations?Mo mwenyewe kaambiw aseme....
Hivi unajua kuna watu hadi leo hawajawah kusoma na kuelewa mabalozi wa nyumba kumi hasa baada ya vyama vingi. Wengi Bado wanadhan hawa mabalozi ni wa Ccm tu