Uwezo wako wa kutafakari ni mdogo Sana Kama wa mende.
1. Bunduki walizinunua/waliziandaa ili kufanikisha zoezi la kupata pesa. Kumbuka walifyatua risasi wakati wa zoezi la kuteka so maganda ya risasi yalichukuliwa na polisi. Kupitia hayo maganda ya risasi wataalam wa polisi wangebaini ni bunduki hiyo/hizo ndizo zilizotumika. Kwa wenye uelewa ni lazima wazitelekeze kwa lengo la kupoteza ushahidi. Hivyo kushindwa kufanikiwa kwa zoezi lao ndiyo ilikuwa ukomo wa kuwa na hizo silaha
2. Watekaji siyo waliyompa MO cm ya kuongea na nduguze bali RAIA wema waliyomuokota
3. MO hakuwa na cash money na ili ipatikane cash money ilikuwa ni lazima afanye mawasiliano kupitia hayo mawasiliano watu wa cyber wangebaini location na ingekuwa ni rahisi kuwakamata
4. Mipaka ya nchi ilifungwa so wasingeweza kutoka nje ya nchi ambako wangekuwa na Uhuru wa kufanya communication
Kwa mazingira hayo Kama una akili ya kupambanua mambo ilitakiwa uwasifu hao watekaji ya kuwa wana uelewa mkubwa Sana wa maswala ya kiupelelezi. Kwa kurumia uelewa huo wamefanikiwa mukwepa mbinu zote za kukamatwa wao sambamba na kukamatwa na vielelezo[/QUOTHuna hata haya usoni,dahhh!