Mo Ndani Ya Fox News

Mo Ndani Ya Fox News

Tanzania, watekaji wanatoka nchi jirani wanataka hela hawasemi ni kiasi gani halafu wanakuachia wanakupa simu halafu wanaacha bunduki na kupotea
Mo mwenyewe Amesema walikuwa na wasi wasi sana.

Tanzania sio nchi ya kuchezea. Kuna wajumbe wa nyumba kumi kumi. Hawa ni part ya wanachama wa CCM na wanalipwa kwa kazi yao. Hawafanyi bure. Katika security hapo utachoka mwenyewe. Mwalim Nyerere aliona mbali sana.

Nawashangaa vijana wa leo katika Press Conferences wanauliza maswali ya kinjinga kuhusu utendaji wa jeshi la usalama na ulinzi Tanzania. Hawajui jinsi hii nchi kiulinzi ikoje? Hiyo ndiyo msingi ya ulinzi wa nchi yetu. Vinginevyo moja wetu ungesha vunjika.

Hii system Mwalim Nyerere kaitoa kwa wachina. Unachosema na kufanya mitaani tayari kimesha reportiwa kwa wahusika na wanajua nini kinatendeka. Nyie kaeni tu na utaalam wenu fake na kuuliza maswali yenu ambayo ni irrelevant.
 
Tanzania sio nchi ya kuchezea. Kuna wajumbe wa nyumba kumi kumi.
Hawa ni part ya wanachama wa CCM na wanalipwa kwa kazi yao.
Hawafanyi bure. Katika security hapo utachoka mwenyewe. Mwalim Nyerere aliona mbali sana.
Hawajui jinsi hii nchi kiulinzi ikoje? Hiyo ndiyo msingi ya ulinzi wa nchi yetu.

Vinginevyo moja wetu ungesha vunjika.

Hii system Mwalim Nyerere kaitoa kwa wachina. Unachosema na kufanya mitaani tayari kimesha reportiwa kwa wahusika na wanajua nini kinatendeka.
Siku hizi hakuna kitu.

Waulize akina Jokakubwa ,Mag3 Fundi Mchundo zama hizo balozi wa nyumba kumi na majukumu na heshima yake

Kwa taarifa yako balozi wa nyumba kumi zama hizo alikuwa mjumbe bila kujali vyama
Bado kabisa na hujui nini ilikuwa Tanzania kiulinzi. Hakuna kitu siku hizi usijidanganye
 
Tanzania, watekaji wanatoka nchi jirani wanataka hela hawasemi ni kiasi gani halafu wanakuachia wanakupa simu halafu wanaacha bunduki na kupotea
Watanzani hapo zamani walikuwa wakiitwa wadanganyika hivyo kwa kawaida asiri haipotei
 
Naunga mkono hoja. Ila nashangaa... sijui tulijuaje kama walikuwa na hiyo nia lakini wakaogopa!
Ndio maana wakawa wapelelezi wana elimu ya ziada katika kubaini mambo yaliyofichikana hahaha
 
Kwani unapochoma gari moto unasubiri liwake uote moto? C'mon. Kuwasha gari moto ni sekunde tu na moto huwa unaanza kidogo wakati huo nyie mmeshaondoka.

Labda unambie walitaka kuwasha gari moto halafu wakae waote hapo ndo ntakuelewa.huu ni utetezi ambao hauna mashiko.

Mkuu ukichoma moto gari ina maana unazalisha moto mkubwa ukiambatana na moshi na hapo inakua ni rahisi kugundulika hata na mtu aliye mbali.
 
Kwani unapochoma gari moto unasubiri liwake uote moto? C'mon. Kuwasha gari moto ni sekunde tu na moto huwa unaanza kidogo wakati huo nyie mmeshaondoka.

Labda unambie walitaka kuwasha gari moto halafu wakae waote hapo ndo ntakuelewa.huu ni utetezi ambao hauna mashiko.
Mo kasema "watekaji walikua na wasiwasi sana" sasa huenda huo wasiwasi wao ndio uliowafanya waogope kucreate big smoke/fire,unapokua na wasiwasi sana hata maamuzi yako yanakua yakiuoga uoga sana,


Think big.
 
Wangekuwa na wasiwasi wasingempeleka gymkhana na gari lile lile walilomtekea .gymkhana ni maeneo yaliyo karibu na ikulu. Watekaji waliomteka asubuh sehemu ambayo waliweza piga risasi hewani zikasikika na wakapotea wasionekane 9 days.

Gari yao ikapigwa picha za mnato huko ilikokuwepo.ikaoneshwa kwenye vyombo vya habari.walikuwa na wasiwasi gani?they were faking...kumwonesha waswas.wamekaa naye 9 days. Wamemrudisha eneo ambalo ni la hatari kwao.unadhan walikosa utaalam wa kuwasha gari?

Think outside the box.coz you might think big in a small world.

Mo kasema "watekaji walikua na wasiwasi sana" sasa huenda huo wasiwasi wao ndio uliowafanya waogope kucreate big smoke/fire,unapokua na wasiwasi sana hata maamuzi yako yanakua yakiuoga uoga sana,


Think big.
 
Walinzi waliokua eneo lile hawakuliona gari lililomshusha Mo wala Mo hakuwaambia kua nilikua nimetekwa au walikua hawajui kua Mo alitekwa?

Watekaji walikuja na Mo wakamshusha na wakaondoka bila gari ila walinzi hawakuwaona wakaona Mo tu?
Mbona unahamisha magoli tena?! kwani tupo kwenye mashindano?! mimi nimekujibu kua Mo alisaidiwa na walinzi wa eneo lile,kwani unadhani Mo aliachiwa mbele ya hao walinzi huku wakimtizama? naona kama vile umejikoki kubishana!!!
 
Wangekuwa na wasiwasi wasingempeleka gymkhana na gari lile lile walilomtekea .gymkhana ni maeneo yaliyo karibu na ikulu. Watekaji waliomteka asubuh sehemu ambayo waliweza piga risasi hewani zikasikika na wakapotea wasionekane 9 days.

Gari yao ikapigwa picha za mnato huko ilikokuwepo.ikaoneshwa kwenye vyombo vya habari.walikuwa na wasiwasi gani?they were faking...kumwonesha waswas.wamekaa naye 9 days. Wamemrudisha eneo ambalo ni la hatari kwao.unadhan walikosa utaalam wa kuwasha gari?

Think outside the box.coz you might think big in a small world.
Kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko aliyetekwa eeh! tuamini maneno yako wewe uliyepo huko Tandahimba au tuamini maneno ya Mo?
 
Sikujosea nliposema you think you are thinking big while you live in a small world.

Kwanini usingenyamaza?au wewe hupendi kuonekana una busara/akili?

Kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko aliyetekwa eeh! tuamini maneno yako wewe uliyepo huko Tandahimba au tuamini maneno ya Mo?
 
Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.
Kwa hiyo watekaji walimkabidhi kwa walinzi?
Hiyo hadithi ya simu ya walinzi imekuja baada ya watu kuhoji kuhusu simu
 
Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.


Na mimi ndio habari niliyoisikia japo napo nikajiuliza hao walinzi wa gymkana hawakuiona hiyo gari mwanzo? Sijabahatika kufuatilia imeachwa eneo lipi ili kujua kama ni ndani ya eneo lao la kazi au ni barabarani tu huko nje.

Na kama haikua eneo lao la kazi walifika pale wakati gani tokea gari itelekezwe pale au kitu gani kiliwafanya kuifuata ile gari?
 
Back
Top Bottom